Nazi Ignition
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 1,740
- 4,859
Huwezi ndio sahihi.nao ni watu kama wewe kukosea kupo tu.
hivi kati ya hauwezi na huwezi ni neno lipi ni sahihi?
Huwezi ndio sahihi.
Halafu kukosea mbona kupo tu, hata mashine sijui inatumia infared maana inaona kwenye giza ila ikikosea utasikia "Aaah sio huko"
Huwezinao ni watu kama wewe kukosea kupo tu.
hivi kati ya hauwezi na huwezi ni neno lipi ni sahihi?
Kuna sisi wengine π€£π€£π€£usafiri ni foot sio shida zetu kabisakuna mtu service ya elfu 60 natokwaa povu kinoma π π π ..
unadaka tu boda boda.. au bajaza shwaa shwaaa huyo umefikaKuna sisi wengine π€£π€£π€£usafiri ni foot sio shida zetu kabisa
Ila leo umuhimu wa gari umeonekanaunadaka tu boda boda.. au bajaza shwaa shwaaa huyo umefika
leo kama huna gari lazima uone uchungu wa umaskini.. π π π alafu leo kwa wenye gari ndio siku nzuri ya kupata bahati unapewa lift alafu foleni huwa haitembei.. aaah mbona siasa kama zoteIla leo umuhimu wa gari umeonekana
Kuna watu wameliwa kwenye foleni leo ππππleo kama huna gari lazima uone uchungu wa umaskini.. π π π alafu leo kwa wenye gari ndio siku nzuri ya kupata bahati unapewa lift alafu foleni huwa haitembei.. aaah mbona siasa kama zote
kama kawaaa.. nilipata mpenzi kisa nimempa lift . tumefika anapo enda nikamuuliza umepata breakfast akasema hapana, nikamuambia basi twende mahala akakubari nikala kimasihara π π πKuna watu wameliwa kwenye foleni leo ππππ
Aiseeee penzi likadumu au likafaπkama kawaaa.. nilipata mpenzi kisa nimempa lift . tumefika anapo enda nikamuuliza umepata breakfast akasema hapana, nikamuambia basi twende mahala akakubari nikala kimasihara π π π
Penzi lipo kama kawaaa π π sema yupo mbali sana sasa hivi ila akiwa karibu nampumulia tu kama kawaaa π π πAiseeee penzi likadumu au likafaπ
NakaziaPesa jawabu la mambo yote, watu na IST zao wanashindwa kufanya services π π
ππkuna mtu service ya elfu 60 natokwaa povu kinoma π π π ..
πππππmvua ipewe heshima yakePenzi lipo kama kawaaa π π sema yupo mbali sana sasa hivi ila akiwa karibu nampumulia tu kama kawaaa π π π
Pm hujibu siku hizi? πππππWazee wa Oil za SAE tukutane hapa[emoji28]