Hizi habari zimenishangaza sana sikuwa nafahamu jambo hili

Hizi habari zimenishangaza sana sikuwa nafahamu jambo hili

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,072
Reaction score
2,384
ndo naambiwa kuwa huyu mchezaji ana asili ya Tanzania. Andendekyise Mwakikole na wanasema wazungu wakaamua kumuita Andy Cole. hayo nimeaambiwa leo nikiwa hapa Jangwani na wazee wangu wa Yanga wakinipa stories mbili tatu za michezo na wanamichezo. nikashangaa kuwa kuna mchezaji ambaye anachezea Argentina baba yake ana asili ya Kitanzania. anaitwa Diego Lugano.

kuna akuna Sol Campbell ambaye alitoka Tanzania miaka hiyo akiitwa Sauli Mwankembo kule kwao wakambilisha jina na kuwa Sol Campbell. hawa wote walikuwa hazina ya Tanzania miaka hiyo wakaenda nchi za watu.

kiukweli nimefurahi sana kuona hawa wazee wetu wana kumbukumbu nzuri na wanafuatilia sana kabumbu ndani na nje ya nchi yanga ni team iliyojaa historia kubwa sana. Yanga ni team ya Kihistoria ina wazee wenye uelewa mkubwa sana. nawaza hawa akina Andendekisye Mwakikole akina Lugano, akina Sauli Mwankembo wangekuwa TZ tungekuwa mbali sana.

YANGA NI BINGWA 2024/2025
 
ndo naambiwa kuwa huyu mchezaji ana asili ya Tanzania. Andendekyise Mwakikole na wanasema wazungu wakaamua kumuita Andy Cole. hayo nimeaambiwa leo nikiwa hapa Jangwani na wazee wangu wa Yanga wakinipa stories mbili tatu za michezo na wanamichezo. nikashangaa kuwa kuna mchezaji ambaye anachezea Argentina baba yake ana asili ya Kitanzania. anaitwa Diego Lugano.

kuna akuna Sol Campbell ambaye alitoka Tanzania miaka hiyo akiitwa Sauli Mwankembo kule kwao wakambilisha jina na kuwa Sol Campbell. hawa wote walikuwa hazina ya Tanzania miaka hiyo wakaenda nchi za watu.

kiukweli nimefurahi sana kuona hawa wazee wetu wana kumbukumbu nzuri na wanafuatilia sana kabumbu ndani na nje ya nchi yanga ni team iliyojaa historia kubwa sana. Yanga ni team ya Kihistoria ina wazee wenye uelewa mkubwa sana. nawaza hawa akina Andendekisye Mwakikole akina Lugano, akina Sauli Mwankembo wangekuwa TZ tungekuwa mbali sana.

YANGA NI BINGWA 2024/2025
Ni kweli nilisoma naye kijiji cha Ipinda Mbeya, alikuwa kapiteni wa timu ya shule, kwahiyo hata wadhungu kupindisha jina lake si ajabu.
 
Diego Alfredo Lugano Morena.
(Diego Lugano) Uruguay
Beki wa kati na Nahodha wa Uruguay.

Hata mimi huyu jamaa alinisumbua sana 2010 WC yani Mzungu Kuitwa Lugano ilinisumbua sana.

Wanyakyusa wengi sana wanaitwa Lughano.
Lughano kwa kiswahili ni upendo
 
ndo naambiwa kuwa huyu mchezaji ana asili ya Tanzania. Andendekyise Mwakikole na wanasema wazungu wakaamua kumuita Andy Cole. hayo nimeaambiwa leo nikiwa hapa Jangwani na wazee wangu wa Yanga wakinipa stories mbili tatu za michezo na wanamichezo. nikashangaa kuwa kuna mchezaji ambaye anachezea Argentina baba yake ana asili ya Kitanzania. anaitwa Diego Lugano.

kuna akuna Sol Campbell ambaye alitoka Tanzania miaka hiyo akiitwa Sauli Mwankembo kule kwao wakambilisha jina na kuwa Sol Campbell. hawa wote walikuwa hazina ya Tanzania miaka hiyo wakaenda nchi za watu.

kiukweli nimefurahi sana kuona hawa wazee wetu wana kumbukumbu nzuri na wanafuatilia sana kabumbu ndani na nje ya nchi yanga ni team iliyojaa historia kubwa sana. Yanga ni team ya Kihistoria ina wazee wenye uelewa mkubwa sana. nawaza hawa akina Andendekisye Mwakikole akina Lugano, akina Sauli Mwankembo wangekuwa TZ tungekuwa mbali sana.

YANGA NI BINGWA 2024/2025
Haya kijana wangu, tuma salamu kwa watu watatu tafadhali. 🎤
 
ndo naambiwa kuwa huyu mchezaji ana asili ya Tanzania. Andendekyise Mwakikole na wanasema wazungu wakaamua kumuita Andy Cole. hayo nimeaambiwa leo nikiwa hapa Jangwani na wazee wangu wa Yanga wakinipa stories mbili tatu za michezo na wanamichezo. nikashangaa kuwa kuna mchezaji ambaye anachezea Argentina baba yake ana asili ya Kitanzania. anaitwa Diego Lugano.

kuna akuna Sol Campbell ambaye alitoka Tanzania miaka hiyo akiitwa Sauli Mwankembo kule kwao wakambilisha jina na kuwa Sol Campbell. hawa wote walikuwa hazina ya Tanzania miaka hiyo wakaenda nchi za watu.

kiukweli nimefurahi sana kuona hawa wazee wetu wana kumbukumbu nzuri na wanafuatilia sana kabumbu ndani na nje ya nchi yanga ni team iliyojaa historia kubwa sana. Yanga ni team ya Kihistoria ina wazee wenye uelewa mkubwa sana. nawaza hawa akina Andendekisye Mwakikole akina Lugano, akina Sauli Mwankembo wangekuwa TZ tungekuwa mbali sana.

YANGA NI BINGWA 2024/2025
Mtu pekee mwenye asili ya Tanzania na anaichezea timu ya taifa lingine ni Akram Afif, huyu anacheza kwenye timu ya taifa ya Qatar. Baba yake ni Hassan Afif former player wa Simba. Hizo zingine ni porojo tu.
 
Nilidhani umeambiwa na wazee wa Maana kumbe hivyo vizee viongo viongo vya Yanga
 
Sauli Mwankembo🤣🤣🤣

Basi tu kijana kutoka ukolokoloni anakuja kuwachafua wazazi wake bila yeye mwenyewe kujitambua
 
Bob Marle baba yake ni mchaga ..

Kiasili bob Marley ni mchaga aliyezaliwa jamaika

Baba yake Ni Nesta Malya ...

Wajamaika kushindwa kutamka Malya wakaamua kutamka Maley maley ..

So baba ake Bob akaamu kwenda na Marley
 
Hata Rick Ross ni Rick Ndosi SI unajua wazungu na uzungu wao matamshi kipengele..

Rick Ross ni mchaga Pyuwa
 
Back
Top Bottom