Hili ndo bifu Bora Sana kwangu.. [emoji28]weka Afande Sele vs Solo Thang
beef tangia 2004 mpaka leo
jamaa akitoa track, hata za miaka ya karibuniHili ndo bifu Bora Sana kwangu.. [emoji28]
Napenda Sana kwenye Ngoma ya Solo Thang "Travela" anavomdiss Afande Sele na kumuita "Mgambo Sele" hahahah
Rufe🤣Hapo beef genuine ilikuwa ya Rufe na Sugu.
By the way kwangu Solo Thang atabaki kua Katika top 5 ya wasanii wakali wa hip-hop bongo naowakubali Sana...jamaa akitoa track, hata za miaka ya karibuni
basi ataingiza lines kadhaa za kumchokonoa Afande
mie nacheka kichizi
Solo anajua sana, na atabaki kuwa anajuaBy the way kwangu Solo Thang atabaki kua Katika top 5 ya wasanii wakali wa hip-hop bongo naowakubali Sana...
Hata kwenye hili bifu sikuzote nipo upnde wake ..
Cc Kilio Changu ft Q Chillah
Zifuatazo ni bifu zilizowahi kutokea hapa nchini ,baadhi yao ziliwahi kutokea na wahusika kumaliza tofauti zao na nyingine bado zinaendelea mpaka sasa.
*Kwa upande wa Diamond Platnumz bifu mara nyingi zipo kwa upande mmoja ,yani watu wanajiskia tu kumchukia pasipo na sababu ya msingi ila wakipata bahati ya kuwa karibu naye wanagundua Diamond ni mtu mmoja poa sana ndio maana wengi wao nafsi zinawasuta na kuamua kujirudi tukichukulia mifano ya haraka haraka, Ommy Dimpoz,Sheta,Mr Blue, Chege,Darasa, Diva the bawse nk
- Clouds media vs Kalapina
- Clouds media vs Pfunk
- Clouds media vs Dudubaya
- Ruge vs Lady JayDee
- Ruge vs Sugu
- Ruge vs Diamond Platnumz
- Ruge vs Qchief
- Kalapina vs Chidy Benz
- Kalapina Vs Dudubaya
- Dudubaya Vs Mr Nice
- Kikosi Cha mizinga vs Nako 2Nako
- Kikosi cha mizinga vs Salama Jabir
- Pfunk vs Dogo Janja 😂😂😂😂😂kisa kufuma meseji za mapenzi za dogo Janja kwa Paula na kipindi hicho Paula bado anasoma .
- Pfunk Vs Prof J
- Prof J Vs Afande Sele
- Afande Sele Vs Bwana Misosi
- Afande Sele Vs Madee
- Afande Sele Vs Clouds Media
- Afande Sele Vs Oten
- Oten Vs Rado
- Rado Vs Fid Q
- Fid Q Vs John Makini
- Joh Makini Vs Salam Sk
- Joh Makini Vs Roma
- Roma Vs Izo bussinez
- Roma Vs Nay wa mitego
- Roma Vs Wakazi
- Roma Vs Mon Centrozone
- Roma Vs Madee
- Madee Vs Nay Wa Mitego
- Nay Wa Mitego Vs Ommy Dimpoz
- Nay Wa Mitego Vs Kimbunga Mchawi
- Nay Wa Mitego Vs Calisah
- Lady Jaydee Vs Mwana FA
- Lady Jaydee Vs Chidy Benz
- Lady Jaydee Vs Ray C
- Zay B vs Sister P
- Sugu Vs FA
- Ngwair Vs Mchizi Mox
- Langa Vs Jaymoo
- TID Vs Dully Sykes
- TID Vs Billnas
- TID Vs Q Chief
- Luteni vs Inspector Harun
- Inspector Harun vs Juma Nature
- Juma Nature vs Sintah
- Juma Nature vs Said Fella
- TMK Wanaume vs East Coast
- TMK Wanaume Halisi vs TMK Wanaume Family.
- Joslin vs Mr Blue
- Mr Blue vs Diamond Platnumz
- Diamond Platnumz vs Chege
- Diamond Platnumz vs Q Chief
- Diamond Platnumz vs Tundaman
- Diamond Platnumz vs Shetta
- Diamond Platnumz vs Ommy Dimpoz
- Diamond Platnumz vs Bob Junior
- Diamond Platnumz vs Mb doggy.
- Diamond Platnumz vs Rich Mavoko
- Diamond Platnumz vs Ali Kiba
- Diamond Platnumz vs H baba
- Diamond Platnumz vs Harmonize
- Diamond Platnumz vs Baby Madaha
- Diamond Platnumz vs Diva the bawse
- Diva the bawse vs Harmonize
- Harmonize vs Rayvan
- Harmonize vs Dully Sykes
- Ali Kiba vs Shilole
- Shilole vs Snura
- Dogo Mfaume vs Omari Omari
- Nasma Kidogo vs Khadija Kopa
- Leyla Rashid vs Jokha Kasim
- Leyla Rashid vs Isha Mashauzi
- Leyla Rashid vs Marehemu mke mwenzake (Chiku)
- Mzee Yusuph Vs ISSA Kijoti
- Mzee Yusuph Vs Khadija Yusuph
- Sholo Mwamba vs Man fongo
- Kidene Fighter vs Dulla Makabila
- Dulla Makabila vs Meja Kunta
- Dulla Makabila vs Wasafi media.
- Diamond Platnumz vs Darasa
- Ibrah Vs Rayvan
Na la Oten n Afande ambaye..weka Afande Sele vs Solo Thang
beef tangia 2004 mpaka leo
Solo anajua bhna ,Akiimba mduara anaimba bora kuliko wote na huko hiphop ndo kabisa..Solo anajua sana, na atabaki kuwa anajua
nakumbuka lines zake katibua hatari sana kwa ile "usione soo, sema nae, kuhusu kusubiri, kuwa mwaminifu" -ISHI STARS
Aliwapoteza Sana hata kwenye mtazamo solo aliangamiza Sana... Ile intro tu Hakuna S bila O, L bila O mwingine aitwae Thang bila Solo shupavu awajibike ka mwanaapolo....Solo anajua sana, na atabaki kuwa anajua
nakumbuka lines zake katibua hatari sana kwa ile "usione soo, sema nae, kuhusu kusubiri, kuwa mwaminifu" -ISHI STARS
😍 Solo ni kiungo mmoja na nusu nakuapiaAliwapoteza Sana hata kwenye mtazamo solo aliangamiza Sana... Ile intro tu Hakuna S bila O, L bila O mwingine aitwae Thang bila Solo shupavu awajibike ka mwanaapolo....
Living Legend
Ni zaidi ya msanii[emoji7] Solo ni kiungo mmoja na nusu nakuapia
kitambo sana hiyo, mpaka Zouk kapiga kadhaa na Q-Chief kwa Allan MapigoUnaikumbuka Mtoto sio riziki ya Solo thang...
Man-X alidai aliitaka beat, akamcheki Bwana Misosi, Misosi akampa beat kwa CDBwana Misosi vs Man x (hii ilikuja baada ya Man x kuiba beat la Bwana misosi nitoke vipi nakuimba kwenye nyimbo yake nimechezea bahati ambayo alimshirikisha dully sykes)
Hii diss ilikaa kikuda sana. Chanzo cha bifu ni pale Afande aliposhinda shindano la rapa bora na kupewa gari. Solo alidai yeye ndio alistahili kuwa mshindi na sio "Mgambo Sele". Sijajua kama walishapatana. Ila ile "Mtazamo" ndio inabaki kuwa collabo yangu ya muda woteHili ndo bifu Bora Sana kwangu.. [emoji28]
Napenda Sana kwenye Ngoma ya Solo Thang "Travela" anavomdiss Afande Sele na kumuita "Mgambo Sele" hahahah
Ongeza na flow za kwenye " Uwezo Mia Mia" ft. Zilla"Sina hereni sina rasta, hila nina vina tele, Mi sio mfalme njozi, mi sio mgambo sele, sitodharau masela kwa pesa mbuzi ya mchele"
Travelah~ solo thang
Yeah mkuu.kitambo sana hiyo, mpaka Zouk kapiga kadhaa na Q-Chief kwa Allan Mapigo