Hizi hapa dalili chache kwamba DP world na mengine si madili mazuri

Wanafiki wanafanana nawewe wanyeuchungu walitoka kwenye yale maandamano wewe ulikua wapi hebu kama mmeshindwa kuipambania nchi yako kaa kimya serikali ifanye inayoyajua
 
Wanafiki wanafanana nawewe wanyeuchungu walitoka kwenye yale maandamano wewe ulikua wapi hebu kama mmeshindwa kuipambania nchi yako kaa kimya serikali ifanye inayoyajua
Kuna SERIKALI, WATU na KICHWA CHA SIMBA.

Mimi niko upande wa kichwa cha Simba. Huku hakunaga wanafiki. #RIP JPM

#LionOfAFrica
 
Kumekuchaaa Kumekuuuchaaa
 
Kuna SERIKALI, WATU na KICHWA CHA SIMBA.

Mimi niko upande wa kichwa cha Simba. Huku hakunaga wanafiki. #RIP JPM

#LionOfAFricaView attachment 2665164
kumtukuza marehemu JPM nikuonyesha wewe nimnafiki mkubwa kabisa kwasababu Mfumo wote huu kautengeneza yeye kwaajili yakupenda kutukuzwa akaweka watu wadhaifu sasa kafa kaacha vilaza wasio namsaada kwataifa
 
kumtukuza marehemu JPM nikuonyesha wewe nimnafiki mkubwa kabisa kwasababu Mfumo wote huu kautengeneza yeye kwaajili yakupenda kutukuzwa akaweka watu wadhaifu sasa kafa kaacha vilaza wasio namsaada kwataifa
Wadhaifu wote alikua anawatumbua. Na wakati wa enzi zake , hawa unaowaita wadhaifu sasa walikua Wafanyakazi wazuri tu. Sema walikua wamevaa vazi la kondoo kwà nje ,..lakini ndani la mbwa mwitu
 
Wadhaifu wote alikua anawatumbua. Na wakati wa enzi zake , hawa unaowaita wadhaifu sasa walikua Wafanyakazi wazuri tu. Sema walikua wamevaa vazi la kondoo kwà nje ,..lakini ndani la mbwa mwitu
Acha unafiki magufuli sialikua kila sekta yeye wizara zote waziri yeye mkuu wa Wilaya yeye CAG yeye kilakitu yeye akawa piga waliokua nakauwezo kakumshauli kukawa namakundi yasiyo julikana au yupi unae muongelea?
 
Tanzania yetu 🎵
 
7. Kitu gani kimewatia upofu wabunge hadi waamini wanaokosoa waonekane wanapotosha?
pesa,marupurupu ya kila kikao si mchezo... wakisikia ni kikao tu uwe nyumbani uwe wapi fungu lako unapata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…