Hizi hapa ni Sababu za msingi kwa Watu wote kuichangia Chadema ili kusambaza "NO REFORM NO ELECTION"

Hizi hapa ni Sababu za msingi kwa Watu wote kuichangia Chadema ili kusambaza "NO REFORM NO ELECTION"

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kwanza kabisa natanguliza salamu, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja

Screenshot_2025-02-13-13-03-52-1.png
Screenshot_2025-02-13-13-03-52-2.png


Umuhimu wa kuchangia Chadema kwenye jambo hili ni huu hapa.

1. Kuwezesha uchaguzi wa huru na haki
2.Kumtukuza Mungu kwa kuondoa dhuluma zote za Uchaguzi
3.Kukomesha viongozi kurithisha Watoto wao vyeo.
4 Kuwezesha Wananchi kuchagua viongozi wawatakao
5.Kuondoa Uchaguzi kwenye mikono ya dola na kuwarejeshea Wananchi wenyewe
6.Kuweka Usawa kwa Wagombea wote wa vyama vyote
7.Kuepusha Mauaji kama yale ya Akwilina na Wengine
8.Kulinda Utu na Heshima ya Nchi, Nchi isiyo ya kidemokrasia inadharauliwa
9.Kuepuka Laana ya Mungu.
10.Kupata viongozi halali wataowaheshimu Wananchi wao

Screenshot_2025-02-13-09-44-20-1.png


Jambo kubwa Zaidi kuliko yote ni hili, kuchangia kampeni ya kutafuta uchaguzi wa haki ni sawa na kufanya kazi ya Mungu, Tegemea thawabu siku ya kiama, Hii ni sawa na kujiwekea akiba kwenye akaunti ya Mungu.
 
Mleta Uzi ubarikiwe saaana mimi nimechukua namba mchango natoa sio kulalamika na kutaka wengine walete mabadiliko ni Bora kutoa kumchangia mwanasiasa kuliko mwanasiasa kukuchangia wewe.ccm wanatoaga viberiti na chumvi chadema tuwachangie ndugu zangu nimekukubali mwenyekiti tumia fedha halali tutafika mbali.
 
Mleta Uzi ubarikiwe saaana mimi nimechukua namba mchango natoa sio kulalamika na kutaka wengine walete mabadiliko ni Bora kutoa kumchangia mwanasiasa kuliko mwanasiasa kukuchangia wewe.ccm wanatoaga viberiti na chumvi chadema tuwachangie ndugu zangu nimekukubali mwenyekiti tumia fedha halali tutafika mbali.
Mungu akuzidishie
 
Back
Top Bottom