Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii imeenda. Sisi watumishi wa Mungu, tuko nyuma ya jambo hili. Na tunaamini na tunajua Mungu Yuko upande wetu. Tutashinda yote katika Mungu. Aamin!Kwanza kabisa natanguliza salamu, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja
View attachment 3235360View attachment 3235361
Umuhimu wa kuchangia Chadema kwenye jambo hili ni huu hapa.
1. Kuwezesha uchaguzi wa huru na haki
2.Kumtukuza Mungu kwa kuondoa dhuluma zote za Uchaguzi
3.Kukomesha viongozi kurithisha Watoto wao vyeo.
4 Kuwezesha Wananchi kuchagua viongozi wawatakao
5.Kuondoa Uchaguzi kwenye mikono ya dola na kuwarejeshea Wananchi wenyewe
6.Kuweka Usawa kwa Wagombea wote wa vyama vyote
7.Kuepusha Mauaji kama yale ya Akwilina na Wengine
8.Kulinda Utu na Heshima ya Nchi, Nchi isiyo ya kidemokrasia inadharauliwa
9.Kuepuka Laana ya Mungu.
10.Kupata viongozi halali wataowaheshimu Wananchi wao
View attachment 3235362
Jambo kubwa Zaidi kuliko yote ni hili, kuchangia kampeni ya kutafuta uchaguzi wa haki ni sawa na kufanya kazi ya Mungu, Tegemea thawabu siku ya kiama, Hii ni sawa na kujiwekea akiba kwenye akaunti ya Mungu.
Sina mashaka na wewe mtumishi.Kwa hili nitashiriki.
zamani tuliaminishwa kuwa watu wenye vipara huwa pia na hekima.Mada ni michango au kuna nyingine unipe maelekezo binafsi!
Kwanza kabisa natanguliza salamu, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja
View attachment 3235360View attachment 3235361
Lisu alisema makao makuu kuna pesa kibao ila hazifiki matawini zinaishia makao makuu kipindi cha Mbowe
Extrovert likes [thanks] zako siku hizi zimeshuka thamani sana. Hata hii?Si achukue hizo pesa nyingi zilizoko.makao makuu axitumie kudai hivho aitacho haki kwa nini achangishe wakati kipindi cha kampeni alisema yeye kama makamu mwenyekiti anajua ziko nyingi mno
hapo mmefeli pakubwa sanaaa hakuna mtu anawaamini tena kuwachangia mmeshakula nyingi sana hizo hapo tena mmeandika jina la lissu yaaanizianenda kuwa zinaliwa kama zilivyo tafuteni mapopoma wenzenu wakuwachangisha tumeshawashtukia muda sana wizi mtupu huoKwanza kabisa natanguliza salamu, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja
View attachment 3235360View attachment 3235361
Umuhimu wa kuchangia Chadema kwenye jambo hili ni huu hapa.
1. Kuwezesha uchaguzi wa huru na haki
2.Kumtukuza Mungu kwa kuondoa dhuluma zote za Uchaguzi
3.Kukomesha viongozi kurithisha Watoto wao vyeo.
4 Kuwezesha Wananchi kuchagua viongozi wawatakao
5.Kuondoa Uchaguzi kwenye mikono ya dola na kuwarejeshea Wananchi wenyewe
6.Kuweka Usawa kwa Wagombea wote wa vyama vyote
7.Kuepusha Mauaji kama yale ya Akwilina na Wengine
8.Kulinda Utu na Heshima ya Nchi, Nchi isiyo ya kidemokrasia inadharauliwa
9.Kuepuka Laana ya Mungu.
10.Kupata viongozi halali wataowaheshimu Wananchi wao
View attachment 3235362
Jambo kubwa Zaidi kuliko yote ni hili, kuchangia kampeni ya kutafuta uchaguzi wa haki ni sawa na kufanya kazi ya Mungu, Tegemea thawabu siku ya kiama, Hii ni sawa na kujiwekea akiba kwenye akaunti ya Mungu.
mada ya huo wizi mwingine manotaka kuufanya?Ni vema ukijikita kwenye mada
Anayechangisha hela siyo Lissu ni ChademaSi achukue hizo pesa nyingi zilizoko.makao makuu axitumie kudai hivho aitacho haki kwa nini achangishe wakati kipindi cha kampeni alisema yeye kama makamu mwenyekiti anajua ziko nyingi mno
Wasio na hela hawaruhusiwi kuchangiamada ya huo wizi mwingine manotaka kuufanya?
Hayakuhusu, wenye nchi watachangia kwa moyo safi.Michango ya gari ,Join the chain za mama abdul ziko wapi zisaidie chama!
Kwanini kasoro mabalozi wa African countries?Wiki ijayo tunasambaza Waraka ofisi zote za Mabalozi (Kasoro mabalozi wa Nchi za kiafrica)
hauko peke yako. Ile namba ya CHADEMA HQ umeiona?baada ya kwenda YouTube kusikiliza hotuba ya Lissu, nimeshawishika
Yes, nimei note pembenihauko peke yako. Ile namba ya CHADEMA HQ umeiona?
Chadema inachangishaje wakati Lisu aliaminisha wapiga kura wajumbe kuwa makao kuna pesa kibao yeye kama makamu mwenyekiti anajua ila zinaliwa na Mbowe na genge lake haziendi hata matawini na akapewa kura kuwa mwenyekitiAnayechangisha hela siyo Lissu ni Chadema
Huna ndugu wenye shida huko kwenu wa kuwasaidia?Asante, leo hii kabla jogoo hajawika mara 3, elfu hamsini yangu itasoma kwenye account.
Sababu zake zinafahamikaKwanini kasoro mabalozi wa African countries?