Hizi hapa ni Sababu za msingi kwa Watu wote kuichangia Chadema ili kusambaza "NO REFORM NO ELECTION"

Hizi hapa ni Sababu za msingi kwa Watu wote kuichangia Chadema ili kusambaza "NO REFORM NO ELECTION"

Uchungu wa kuzaa bado? Unaumia ukiwa wapi mtafiti uchwara?
Gentleman,
naona unashupaza shingo ili kupata uzoefu wa kutapeliwa na kibaka wa siasa za Chadema,

mpaka uje kujitambua, utakua umehenyentwa maokoto ya kutosha na umechoka vizuri sana kiuchumi 🐒
 
Michango ya hali na mali inaweza kupatikana.
Lakini hatua ile ya mwisho ya kushinikiza kwa maandamano ya heri na shari nina wasi wasi sana na hawa Watanzania.
Ndo nchi pekee ninayoijua watu wake hata uwafanyie uovu gani hawaendi barabarani.(labda siku 1 bivi ya kimihemko).
Historia ilituondolea aggressiveness.
Nadhan kuna haja CDM pia wawe na plan B kama trained militia.(kuzipiga kavu kavu)
Hakuna asiyejua kwamba kinachohubiriwa na CDM ni kikubwa hivyo kitajibiwa kwa ukubwa ule ule na kundi lenye ukubwa pia.
Wanaoamini nguvu za nje (za kimaslahi na kinafiki) kuleta matokeo, nitakuwa wa mwisho kumuelewa.
CDM waboreshe mfumo wa propaganda kupitia social media kuliko kuzunguka tuuuuu.
 
Gentleman,
naona unashupaza shingo ili kupata uzoefu wa kutapeliwa na kibaka wa siasa za Chadema,

mpaka uje kujitambua, utakua umehenyentwa maokoto ya kutosha na umechoka vizuri sana kiuchumi 🐒
Mimi ninazo na naweza kukusaidia kila kitu huko kwako usiwe na wasiwasi ila propaganda za kiccm hazinatija kwa hapa.
 
-ZILE ZILIZOCHANGWA KWA AJILI YA GARI LAKE MBONA HAKUNA GARI LIPYA / TOA KWA MOYO WAKO, USIULIZE MATUMIZI YAKE.
 
Acheni utapeli, mna tofauti gani na kiboko ya wachawi?? Mwenyekiti wenu mpya tulimchangia kununua gari mpaka leo hajanunua. Mnasema wananchi wana umaskini wa kutupwa, hizo fedha za kuchangia watazitoa wapi? Ulaghai.
 
Nitachanga kuchangia mabadiliko ya msingi katika uendeshaji wa nchi yetu.
Tunahitaji viongozi wazalendo wapatikane kupitia chaguzi huru na za haki.
 
Acheni utapeli, mna tofauti gani na kiboko ya wachawi?? Mwenyekiti wenu mpya tulimchangia kununua gari mpaka leo hajanunua. Mnasema wananchi wana umaskini wa kutupwa, hizo fedha za kuchangia watazitoa wapi? Ulaghai.
Kwani umelazimishwa?
Toka lini chawa akachangia chochote?
We subiri ulipwe vijisenti vya uchawa huko uliko kwa hao wanaokula kodi zetu, wakivimbiwa wakukumbuke na wewe.
 
Kwanza kabisa natanguliza salamu, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja

View attachment 3235360View attachment 3235361

Umuhimu wa kuchangia Chadema kwenye jambo hili ni huu hapa.

1. Kuwezesha uchaguzi wa huru na haki
2.Kumtukuza Mungu kwa kuondoa dhuluma zote za Uchaguzi
3.Kukomesha viongozi kurithisha Watoto wao vyeo.
4 Kuwezesha Wananchi kuchagua viongozi wawatakao
5.Kuondoa Uchaguzi kwenye mikono ya dola na kuwarejeshea Wananchi wenyewe
6.Kuweka Usawa kwa Wagombea wote wa vyama vyote
7.Kuepusha Mauaji kama yale ya Akwilina na Wengine
8.Kulinda Utu na Heshima ya Nchi, Nchi isiyo ya kidemokrasia inadharauliwa
9.Kuepuka Laana ya Mungu.
10.Kupata viongozi halali wataowaheshimu Wananchi wao

View attachment 3235362

Jambo kubwa Zaidi kuliko yote ni hili, kuchangia kampeni ya kutafuta uchaguzi wa haki ni sawa na kufanya kazi ya Mungu, Tegemea thawabu siku ya kiama, Hii ni sawa na kujiwekea akiba kwenye akaunti ya Mungu.
Pia tunaaswa kuchangia sana ili watawala wajue kuwa wananchi kweli wamechoka tuchangie kila mtu kuwatia moyo wapambanaji tuchangie kama hatuna akili nzuri, usiangalie wewe chama gani au huna chama, viongozi wamekuwa jeuri kwakuwa wanajua nchi hii hakuna uchaguzi na vyama vina hali ngumu kifedha na mara nyingi wanawahinga viongozi wakuu wa vyama ili wafifishe harakti ila safari hii wamekutana na kigagashi hali rushwa, hatishwi na hatishiki na wala hafi kwa risasi na hana biashara yoyote ya kuhofia kupoteza ni yeye kama yeye tumuunge mkono Lisu. Usindi upo karibu sana. Ulimwengu utambue kuwa wale Watanzania ambao Mzee Jomo Kinyata alimwambia Nyerere kuwa anatawala Maiti, wawaone kuwa Maiti zimeamka. Mama ntilie machinga, mwalimu, mfanyabiashara, Polisi, mwanajeshi, mfanyakazi serikalini, secta binafsi, mwanafunzi, na yoyote yule mwenye mapenzi y,, ya nchi hii changia harakati hizi, changia mapambano haya, hata kama CDM hitashinda ila kukiwa na mifumo mizuri ya kupata viongozi hata hao wa CCM watatueshimu. Kwa sasa waafanya maamuzi wanayopebda wao kwakuwa wanajua kua watawaengua robo tatu ya wapinzani na robo itayobaki watawafanyia vitimbwi kwenye box la kura
 
hapo mmefeli pakubwa sanaaa hakuna mtu anawaamini tena kuwachangia mmeshakula nyingi sana hizo hapo tena mmeandika jina la lissu yaaanizianenda kuwa zinaliwa kama zilivyo tafuteni mapopoma wenzenu wakuwachangisha tumeshawashtukia muda sana wizi mtupu huo
Sisi tunachangia,sema wewe huchangii
 
Chadema inachangishaje wakati Lisu aliaminisha wapiga kura wajumbe kuwa makao kuna pesa kibao yeye kama makamu mwenyekiti anajua ila zinaliwa na Mbowe na genge lake haziendi hata matawini na akapewa kura kuwa mwenyekiti

Akajidai Yeye Lisu akishika madaraka ya uenyekiti atahakikisha hela zinaenda matawini

Sasa anataka kumchangisha nani tena? Wakati makao makuu kuna mipesa kibao? Utapeli una nukta hauna maisha

Hizo pesa alizosema ziko makao makuu zitumike hizo.Hachangishwi mt

Wana Chadema msikubali kuchanga kama vichwa vyenu viko vizuri hiyo itasaidia kukomesha siasa za ulaghai kusaka vyeo au kura.au uteuzi ndani ya Chadema

Kupambana na ulaghai na Utapeli kunatakiwa kuanzia ndani ya vyama

Wanachadema mkakamalieni Lisu hakuna michango tunataka mipesa iliyoko.makao.makuu ije matawini na kanda
Empty head
 
Mshawaona wanachama wenu mazuzu! Za join the chain mligawana sasa mnatafuta nyingine
 
Kwanza kabisa natanguliza salamu, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja

View attachment 3235360View attachment 3235361

Umuhimu wa kuchangia Chadema kwenye jambo hili ni huu hapa.

1. Kuwezesha uchaguzi wa huru na haki
2.Kumtukuza Mungu kwa kuondoa dhuluma zote za Uchaguzi
3.Kukomesha viongozi kurithisha Watoto wao vyeo.
4 Kuwezesha Wananchi kuchagua viongozi wawatakao
5.Kuondoa Uchaguzi kwenye mikono ya dola na kuwarejeshea Wananchi wenyewe
6.Kuweka Usawa kwa Wagombea wote wa vyama vyote
7.Kuepusha Mauaji kama yale ya Akwilina na Wengine
8.Kulinda Utu na Heshima ya Nchi, Nchi isiyo ya kidemokrasia inadharauliwa
9.Kuepuka Laana ya Mungu.
10.Kupata viongozi halali wataowaheshimu Wananchi wao

View attachment 3235362

Jambo kubwa Zaidi kuliko yote ni hili, kuchangia kampeni ya kutafuta uchaguzi wa haki ni sawa na kufanya kazi ya Mungu, Tegemea thawabu siku ya kiama, Hii ni sawa na kujiwekea akiba kwenye akaunti ya Mungu.
Tunataka kwanza Taarifa za Mapato na Matumizi ya;
a) Join the chain
b) Pesa ya kununulia gari aliyekuwa Makamu Mwenyekiti ambaye sasa ni Mwenyekiti.
c) Pesa zote za Chadema Digital
d) Pesa za ruzuku tangu 2020 hadi sasa

Chadema ya sasa iliahidi ukweli na uwazi kwenye Mapato na Matumizi, hivyo tunaomba tatizo hizo ili tufikirie kuwashawishi wachangiaji!!
 
Mimi ninazo na naweza kukusaidia kila kitu huko kwako usiwe na wasiwasi ila propaganda za kiccm hazinatija kwa hapa.
muulize tu mbona alichangiwa anunua gari jipya na hajanunua mpaka leo na bado anaomba kuchangiwa pesa tena 🐒
 
Tunataka kwanza Taarifa za Mapato na Matumizi ya;
a) Join the chain
b) Pesa ya kununulia gari aliyekuwa Makamu Mwenyekiti ambaye sasa ni Mwenyekiti.
c) Pesa zote za Chadema Digital
d) Pesa za ruzuku tangu 2020 hadi sasa

Chadema ya sasa iliahidi ukweli na uwazi kwenye Mapato na Matumizi, hivyo tunaomba tatizo hizo ili tufikirie kuwashawishi wachangiaji!!
NAFURAHI KUONA WATANZANIA WAMEAMKA SASA, KABLA YA KUCHANGA TUHOJI ZILE ZOTE ZA AWALI, CHADEMA NI TAASISI, INAENDESHWA KWA MAHESABU, TUPIGIWE MAHESABU NA MATUMIZI, NDIPO TUANZE KUCHANGIA UPYA, PIA MBOWE ASIANGUSHIWE JUMBA BOVU, KWA SABABU CDM NI TAASISI
 
NAFURAHI KUONA WATANZANIA WAMEAMKA SASA, KABLA YA KUCHANGA TUHOJI ZILE ZOTE ZA AWALI, CHADEMA NI TAASISI, INAENDESHWA KWA MAHESABU, TUPIGIWE MAHESABU NA MATUMIZI, NDIPO TUANZE KUCHANGIA UPYA, PIA MBOWE ASIANGUSHIWE JUMBA BOVU, KWA SABABU CDM NI TAASISI
Uko sahihi.Mali bila dafttari na ripoti hupotea kimyakimya bila taarifa

Watoe ripoti kwanza kabla kuitisha michango mipya sio hiari ni lazima sio watoe sijui kwa CAG watoe kwa wanachama
 
Back
Top Bottom