Hizi hapa ni Sababu za msingi kwa Watu wote kuichangia Chadema ili kusambaza "NO REFORM NO ELECTION"

Hizi hapa ni Sababu za msingi kwa Watu wote kuichangia Chadema ili kusambaza "NO REFORM NO ELECTION"

Hiyo namba iliyowekwa pale juu ni sahihi, nataka nirushe 50,000 jioni ya leo. Hakikisheni pesa zetu zinatumika kwa matumizi sahihi safari hii.
Risit utapewa ili kuthibisha kwamba pesa zako hazijanunuliwa konyagi ya Mwenyekiti?
 
Kwenye uongozi wa mbowe michango ya ovyo ovyo kama hii haikuwepo, lisu kama chama kimemshinda amrudishie mbowe chama chake
 
Kama chadema hadi leo hii 2025 hamna mradi unaoleweka wa kuwaingizia pesa kuendesha chama... Maana yake hamuwezi kuongoza hata Kata useless hopeless nyie...
Mkiendelea kutaka michango maana yake mtadhaminiwa soon as possible na mashoga na hatimaye chama kitakuwa na mlengo wa kishoga... Japo taarifa zilizopo Lissu anapokea pesa za mashoga jambo ambalo lilileta migogoro ndani ya chama...
Naichukia ccm ila ni heri ccm idumu miaka 100 kutawala Tz kuliko kuicha chadema na upuuzi wake
 
Chadema inachangishaje wakati Lisu aliaminisha wapiga kura wajumbe kuwa makao kuna pesa kibao yeye kama makamu mwenyekiti anajua ila zinaliwa na Mbowe na genge lake haziendi hata matawini na akapewa kura kuwa mwenyekiti

Akajidai Yeye Lisu akishika madaraka ya uenyekiti atahakikisha hela zinaenda matawini

Sasa anataka kumchangisha nani tena? Wakati makao makuu kuna mipesa kibao? Utapeli una nukta hauna maisha

Hizo pesa alizosema ziko makao makuu zitumike hizo.Hachangishwi mt

Wana Chadema msikubali kuchanga kama vichwa vyenu viko vizuri hiyo itasaidia kukomesha siasa za ulaghai kusaka vyeo au kura.au uteuzi ndani ya Chadema

Kupambana na ulaghai na Utapeli kunatakiwa kuanzia ndani ya vyama

Wanachadema mkakamalieni Lisu hakuna michango tunataka mipesa iliyoko.makao.makuu ije matawini na kanda
Hoja yako ni dhaifu
 
Kama chadema hadi leo hii 2025 hamna mradi unaoleweka wa kuwaingizia pesa kuendesha chama... Maana yake hamuwezi kuongoza hata Kata useless hopeless nyie...
Mkiendelea kutaka michango maana yake mtadhaminiwa soon as possible na mashoga na hatimaye chama kitakuwa na mlengo wa kishoga... Japo taarifa zilizopo Lissu anapokea pesa za mashoga jambo ambalo lilileta migogoro ndani ya chama...
Naichukia ccm ila ni heri ccm idumu miaka 100 kutawala Tz kuliko kuicha chadema na upuuzi wake
Chadema haijawahi kupora majengo ya serikali wala haijawahi kujimilikisha viwanja vya soka
 
Kwanza kabisa natanguliza salamu, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja

View attachment 3235360View attachment 3235361

Umuhimu wa kuchangia Chadema kwenye jambo hili ni huu hapa.

1. Kuwezesha uchaguzi wa huru na haki
2.Kumtukuza Mungu kwa kuondoa dhuluma zote za Uchaguzi
3.Kukomesha viongozi kurithisha Watoto wao vyeo.
4 Kuwezesha Wananchi kuchagua viongozi wawatakao
5.Kuondoa Uchaguzi kwenye mikono ya dola na kuwarejeshea Wananchi wenyewe
6.Kuweka Usawa kwa Wagombea wote wa vyama vyote
7.Kuepusha Mauaji kama yale ya Akwilina na Wengine
8.Kulinda Utu na Heshima ya Nchi, Nchi isiyo ya kidemokrasia inadharauliwa
9.Kuepuka Laana ya Mungu.
10.Kupata viongozi halali wataowaheshimu Wananchi wao

View attachment 3235362

Jambo kubwa Zaidi kuliko yote ni hili, kuchangia kampeni ya kutafuta uchaguzi wa haki ni sawa na kufanya kazi ya Mungu, Tegemea thawabu siku ya kiama, Hii ni sawa na kujiwekea akiba kwenye akaunti ya Mungu.
Lazima nichange
 
Mnatoa mwanya wa watu kuja na tafisri zao. Kuwa aligned zaidi na mataifa ya magharibi ni kuzipa nguvu tuhuma za kwamba viongozi wenu ni vibaraka wa Wazungu!
Atakayewaza hivyo atakuwa mjinga sana, hii ni kwa sababu viongozi walio madarakani leo ndio wanaokesha kuombaomba kwa wazungu.

Kingine ni hiki, unawezaje kupeleka malalamiko ya Demokrasia kwenye ubalozi wa Uganda au Rwanda?
 
Kwanza kabisa natanguliza salamu, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja

View attachment 3235360View attachment 3235361

Umuhimu wa kuchangia Chadema kwenye jambo hili ni huu hapa.

1. Kuwezesha uchaguzi wa huru na haki
2.Kumtukuza Mungu kwa kuondoa dhuluma zote za Uchaguzi
3.Kukomesha viongozi kurithisha Watoto wao vyeo.
4 Kuwezesha Wananchi kuchagua viongozi wawatakao
5.Kuondoa Uchaguzi kwenye mikono ya dola na kuwarejeshea Wananchi wenyewe
6.Kuweka Usawa kwa Wagombea wote wa vyama vyote
7.Kuepusha Mauaji kama yale ya Akwilina na Wengine
8.Kulinda Utu na Heshima ya Nchi, Nchi isiyo ya kidemokrasia inadharauliwa
9.Kuepuka Laana ya Mungu.
10.Kupata viongozi halali wataowaheshimu Wananchi wao

View attachment 3235362

Jambo kubwa Zaidi kuliko yote ni hili, kuchangia kampeni ya kutafuta uchaguzi wa haki ni sawa na kufanya kazi ya Mungu, Tegemea thawabu siku ya kiama, Hii ni sawa na kujiwekea akiba kwenye akaunti ya Mungu.
Tupo tayari, tunaomba utaratibu.
 
Back
Top Bottom