Hizi hotel za Sinza ukilala unasikia kama vishindo vyumba vya pili n marekebisho ama?

Hizi hotel za Sinza ukilala unasikia kama vishindo vyumba vya pili n marekebisho ama?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Umaweza shangaaa kama n mara ya kwanza.

Ila najiuliza mbona n endelevu

Wengine wanakimbia kuja kupimzisha kichwa wa enjoy watoe stress

Ajabu ikifika saa saba mpaka 10 ama.11 asbh yaan unaskkia kulia vyumba vinapiga kishindo nkajua marekebisho

Hee ¹ 11 mpaka moja asbh na sikia upande wa pili kishindo pukuu pukuu pukuuu

Hapa sikuyapili nasubiri asbh nkaulize kwa manager mna ujenzi unaendelea usikh ama tumekutana na misukule kazini?

Maana unaweza kusema umekhja upimzike unabeba zigo likiondoka kumbe lina majini kama yotee weeweee

Weeexp mtupe. Mrejesho
 
Huo ujenzi ni nchi nzima hapo sinza ni sample space nchi nzima inajenga na ndio Raha ya dunia
 
Umaweza shangaaa kama n mara ya kwanza.

Ila najiuliza mbona n endelevu

Wengine wanakimbia kuja kupimzisha kichwa wa enjoy watoe stress

Ajabu ikifika saa saba mpaka 10 ama.11 asbh yaan unaskkia kulia vyumba vinapiga kishindo nkajua marekebisho

Hee ¹ 11 mpaka moja asbh na sikia upande wa pili kishindo pukuu pukuu pukuuu

Hapa sikuyapili nasubiri asbh nkaulize kwa manager mna ujenzi unaendelea usikh ama tumekutana na misukule kazini?

Maana unaweza kusema umekhja upimzike unabeba zigo likiondoka kumbe lina majini kama yotee weeweee

Weeexp mtupe. Mrejesho
we unapenda ngono sana nilishakujua.unatukashifu wanywa bia.sinza ulifata nini umalayaa tu
 
Back
Top Bottom