Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Umaweza shangaaa kama n mara ya kwanza.
Ila najiuliza mbona n endelevu
Wengine wanakimbia kuja kupimzisha kichwa wa enjoy watoe stress
Ajabu ikifika saa saba mpaka 10 ama.11 asbh yaan unaskkia kulia vyumba vinapiga kishindo nkajua marekebisho
Hee ¹ 11 mpaka moja asbh na sikia upande wa pili kishindo pukuu pukuu pukuuu
Hapa sikuyapili nasubiri asbh nkaulize kwa manager mna ujenzi unaendelea usikh ama tumekutana na misukule kazini?
Maana unaweza kusema umekhja upimzike unabeba zigo likiondoka kumbe lina majini kama yotee weeweee
Weeexp mtupe. Mrejesho
Ila najiuliza mbona n endelevu
Wengine wanakimbia kuja kupimzisha kichwa wa enjoy watoe stress
Ajabu ikifika saa saba mpaka 10 ama.11 asbh yaan unaskkia kulia vyumba vinapiga kishindo nkajua marekebisho
Hee ¹ 11 mpaka moja asbh na sikia upande wa pili kishindo pukuu pukuu pukuuu
Hapa sikuyapili nasubiri asbh nkaulize kwa manager mna ujenzi unaendelea usikh ama tumekutana na misukule kazini?
Maana unaweza kusema umekhja upimzike unabeba zigo likiondoka kumbe lina majini kama yotee weeweee
Weeexp mtupe. Mrejesho