Hizi hotuba za kisiasa za Rais Magufuli zitatuponza. Tuchague mambo ya kusema hadharani

Hizi hotuba za kisiasa za Rais Magufuli zitatuponza. Tuchague mambo ya kusema hadharani

Tunaweza tukasikilizwa au hapana, ukweli ni kwamba rais anatakiwa kusaidiwa jinsi ya kuchagua maneno ktk majukwaa ya kisiasa. Tunaona jinsi Rais anavyotumia jukwaa na kujisahau kwamba maneno ya rais hutafsiriwa na ofisi zote nchini na kuvuka mipaka...

 
Nyie mnaojua kuongea mbona bado mnaishia kuwa na maisha mabaya Tu......kuongea kote na mkeo anafanana na Bibi yako......kuongea kote bado wewe ni punguani.......kuongea kote bado upo upo Tu kujifanya mjuaji akati ujui unacho kijua.......nyie ndio ambao kinga tunawachoma matakoni Kwa kihere here
Angalia ulicho comment hapa!! Halafu eti wewe ndiye anaetegemewa na Rais kwa Ushauri.
 
Magufuli ni Raisi wa aina yake, siyo mtu wa kumumunya maneno kuogopa mabeberu watamfikiriaje. Kwa Africa hadi sasa sijaona Rais mwenye uthubutu Kama huo, maraisi wengi wa Africa ni wanafiki wanaojipendekeza kwa mabeberu wakiogopa kusitishiwa misaada..
Uthubutu wa kupigana na tembo?
 
Kwan mkuu anavyoongelea hayo mambo Ya chanjo , ameshakubali kua , nchini corona ipo?
 
Fungua Aljazeerah uone jinsi walivyomshangaa na kumwona kuwa ni mwendawazimu mmoja amekaa ikulu huko Africa. Acheni ujinga hiyo misimamo yake aipeleke nyumbani kwake awaache wananchi wajipiganie afya zao. Ebo
Hivi kwa akili yako unategemea vyombo vya habari vya mabeberu vimuunge mkono Magufuli?
 
Tunaweza tukasikilizwa au hapana, ukweli ni kwamba rais anatakiwa kusaidiwa jinsi ya kuchagua maneno ktk majukwaa ya kisiasa. Tunaona jinsi Rais anavyotumia jukwaa na kujisahau kwamba maneno ya rais hutafsiriwa na ofisi zote nchini na kuvuka mipaka.

Ni vibaya kwa rais kutoonesha imani na chanjo ya COVID-19 hadharani. Baadhi ya wasiwasi aliyonayo rais alistahili ibaki moyoni mwake na vyombo husika na siyo kulitangazia taifa. Yaweza kuwa yuko sahihi lakini ni vibaya kuweka uhakika mkubwa kiasi hicho kwa wananchi. Siyo wa kwanza, maana Afrika yupo rais wa Gambia aliwahi jidai kuoteshwa dawa ya UKIMWI, lakini ilikuwa ni gumzo la dunia juu ya kituko hicho.

Kwa nini Tanzania tuwe kituko cha Dunia kwa kukataa mawazo ya wanasayansi waliotangulia mbele yetu? Tutakapozidiwa tutakwenda wapi? Ni vibaya kumiliki sifa. Kama mwanzo tumebahatisha, tusizidishe imani kwamba Tanzania ni kiboko. Wengine wakiizuia wakati sisi tunabeza mbinu zao, tutakwisha.

Washauri munaosikilizwa na rais, jipangeni. Tunakoelekea miaka hii mitano ya kujiamini ni pabaya sana. Rais aandikiwe hotuba na kupunguza michapo ya pembeni na utani majukwaani, mengine yanatia aibu taifa. Siyo vizuri pia kuendelea na mifano ya ndoa, wanawake weupe, sijui nini tena.
Analazimika kusema hadharani ili watanzania wote wasikie, kwa lengo la kuepusha taharuki inayoweza kujitokeza. Angalia humu JF matanzia yamezidi, na yeye anajua sababu kamili ya kwa nini matanzia hayo yamezidi, ila wewe hujui . Mungu siyo mwongo wala kigeugeu kwamba tuliomba akaondoa Korona, halafu eti aje airudishe tena, siyo kweli lazima kuna kitu. Hivi wewe unawaelewa baadhi ya watanzania mawazo yao yalivyo au unawasikia tu? Watu tunakaa tunaadika mambo muhimu ya kuwa-alert humu kwenye mitandoa lakini wala hata hamsoni!
 
Sina utaalamu wowote kuhusu mambo ya afya, lakini tangu nikiwa mtoto wa Miaka 10, Mwanafunzi wa darasa la 4, nilifundishwa na Mwalimu wangu wa Sayansi Kimu kuwa Ugonjwa wa Malaria huambukizwa na Vimelea(Parasites) aina ya Plasmodium wanaoenezwa na Mbu jike aina ya Anopheles..

Miaka mingi baadaye Daktari wa Madaktari, one John Magufuli ameitangazia dunia na amenitangazia mimi huku akionesha kujiamini kwamba Malaria, kama ilivyo Korona, ni moja ya Magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya Virusi (aina gani, hajafafanua).

Sasa nimeachwa kichwa kinazizima 💤💤

Sasa Wataalam mko Wapi? Some factchecking please!
Tatizo ni lako. Unalaumu Magufuli wakati unashindwa hata kurudia aliyoyasema. Mtu unaandika jambo ambalo hujalisikia kabisaa!!
Uchaguzi ulikwisha sijui munategemea iwe ni sehemu ya kampeni!!
 
Tunaweza tukasikilizwa au hapana, ukweli ni kwamba rais anatakiwa kusaidiwa jinsi ya kuchagua maneno ktk majukwaa ya kisiasa. Tunaona jinsi Rais anavyotumia jukwaa na kujisahau kwamba maneno ya rais hutafsiriwa na ofisi zote nchini na kuvuka mipaka.

Ni vibaya kwa rais kutoonesha imani na chanjo ya COVID-19 hadharani. Baadhi ya wasiwasi aliyonayo rais alistahili ibaki moyoni mwake na vyombo husika na siyo kulitangazia taifa. Yaweza kuwa yuko sahihi lakini ni vibaya kuweka uhakika mkubwa kiasi hicho kwa wananchi. Siyo wa kwanza, maana Afrika yupo rais wa Gambia aliwahi jidai kuoteshwa dawa ya UKIMWI, lakini ilikuwa ni gumzo la dunia juu ya kituko hicho.

Kwa nini Tanzania tuwe kituko cha Dunia kwa kukataa mawazo ya wanasayansi waliotangulia mbele yetu? Tutakapozidiwa tutakwenda wapi? Ni vibaya kumiliki sifa. Kama mwanzo tumebahatisha, tusizidishe imani kwamba Tanzania ni kiboko. Wengine wakiizuia wakati sisi tunabeza mbinu zao, tutakwisha.

Washauri munaosikilizwa na rais, jipangeni. Tunakoelekea miaka hii mitano ya kujiamini ni pabaya sana. Rais aandikiwe hotuba na kupunguza michapo ya pembeni na utani majukwaani, mengine yanatia aibu taifa. Siyo vizuri pia kuendelea na mifano ya ndoa, wanawake weupe, sijui nini tena.

Rais wetu ni ana afadhali akisoma hotuba iliyoandaliwa, nje ya hapo anaenda chaka. Yaani akianza kuhutubia hautamani hata mtu unayeheshimiana naye awepo karibu kwani saa yoyote "kiongozi" anaweza kuponyokwa na maneno yasiyo na utaratibu wala staha.

Natamani walio karibu naye wawe wanamshauri, vinginevyo wasipomwambia wanakuwa wanamkosea.
 
Mnapata wapi nguvu na mda wa kujadili hayo wakati mafuta ya kula kitaa lita elfu 6....''.kuweni serious basi.
 
Tunaweza tukasikilizwa au hapana, ukweli ni kwamba rais anatakiwa kusaidiwa jinsi ya kuchagua maneno ktk majukwaa ya kisiasa. Tunaona jinsi Rais anavyotumia jukwaa na kujisahau kwamba maneno ya rais hutafsiriwa na ofisi zote nchini na kuvuka mipaka.

Ni vibaya kwa rais kutoonesha imani na chanjo ya COVID-19 hadharani. Baadhi ya wasiwasi aliyonayo rais alistahili ibaki moyoni mwake na vyombo husika na siyo kulitangazia taifa. Yaweza kuwa yuko sahihi lakini ni vibaya kuweka uhakika mkubwa kiasi hicho kwa wananchi. Siyo wa kwanza, maana Afrika yupo rais wa Gambia aliwahi jidai kuoteshwa dawa ya UKIMWI, lakini ilikuwa ni gumzo la dunia juu ya kituko hicho.

Kwa nini Tanzania tuwe kituko cha Dunia kwa kukataa mawazo ya wanasayansi waliotangulia mbele yetu? Tutakapozidiwa tutakwenda wapi? Ni vibaya kumiliki sifa. Kama mwanzo tumebahatisha, tusizidishe imani kwamba Tanzania ni kiboko. Wengine wakiizuia wakati sisi tunabeza mbinu zao, tutakwisha.

Washauri munaosikilizwa na rais, jipangeni. Tunakoelekea miaka hii mitano ya kujiamini ni pabaya sana. Rais aandikiwe hotuba na kupunguza michapo ya pembeni na utani majukwaani, mengine yanatia aibu taifa. Siyo vizuri pia kuendelea na mifano ya ndoa, wanawake weupe, sijui nini tena.
Lazima awaambie Wananchi wake ukweli, Yeye ana taarifa za uhakika na muhimu, Wote tuamshe akili zetu na kufikiria hili. Kwanini Virusi sugu vipatikane Africa, na si Ulaya, Marekani na Asia? huko wanatumia Madawa makali na ni rahisi virusi kubadilika ili kujilinda, lakini kwa Africa visingeweza kubadilika kwani havishambuliwi na Madawa makali. Lazima turuhusu akili zetu kufikiri, na Hawa wataalamu wetu wafanye kazi zao kwa umakini sio kufuata kila kitu wanachoambiwa kutuka Nje au kwenye medias kama wananchi wa kawaida.
 
Ni bora tusitumie chanjo kabisa Kama hatuna uhakika wa ubora na usalama kwa hizo chanjo walizotengeneza kwa sababu miili yetu Ina uwezo wa kutengeneza kinga yake yenyewe (Natural immunity).

Kutengeneza chanjo ya virus siyo kitu kirahisi Kama unavyofikili. Virus Wana tabia ya kubadilika badilika (mutate) ndani ya muda mfupi Sana. Kwa hiyo haingii akilini katika muda wa miezi kadhaa tayari kuwe na vaccine ya Covid-19.
Mpaka leo wewe binafsi umechanjwa chanjo ngapi??? Na hivi tunapojadili ni watu wangapi au watoto wangapi wanapatiwa chanjo sehemu mbalimbali nchini
 
Tunaweza tukasikilizwa au hapana, ukweli ni kwamba rais anatakiwa kusaidiwa jinsi ya kuchagua maneno ktk majukwaa ya kisiasa. Tunaona jinsi Rais anavyotumia jukwaa na kujisahau kwamba maneno ya rais hutafsiriwa na ofisi zote nchini na kuvuka mipaka.

Ni vibaya kwa rais kutoonesha imani na chanjo ya COVID-19 hadharani. Baadhi ya wasiwasi aliyonayo rais alistahili ibaki moyoni mwake na vyombo husika na siyo kulitangazia taifa. Yaweza kuwa yuko sahihi lakini ni vibaya kuweka uhakika mkubwa kiasi hicho kwa wananchi. Siyo wa kwanza, maana Afrika yupo rais wa Gambia aliwahi jidai kuoteshwa dawa ya UKIMWI, lakini ilikuwa ni gumzo la dunia juu ya kituko hicho.

Kwa nini Tanzania tuwe kituko cha Dunia kwa kukataa mawazo ya wanasayansi waliotangulia mbele yetu? Tutakapozidiwa tutakwenda wapi? Ni vibaya kumiliki sifa. Kama mwanzo tumebahatisha, tusizidishe imani kwamba Tanzania ni kiboko. Wengine wakiizuia wakati sisi tunabeza mbinu zao, tutakwisha.

Washauri munaosikilizwa na rais, jipangeni. Tunakoelekea miaka hii mitano ya kujiamini ni pabaya sana. Rais aandikiwe hotuba na kupunguza michapo ya pembeni na utani majukwaani, mengine yanatia aibu taifa. Siyo vizuri pia kuendelea na mifano ya ndoa, wanawake weupe, sijui nini tena.
Huo ndo ukoloni mamboleo yaani Rais halali wa taifa fulani afiche mawazo anayoyaamini kwa wananchi wake kisa nchi zingine?
 
Tatizo ni lako. Unalaumu Magufuli wakati unashindwa hata kurudia aliyoyasema. Mtu unaandika jambo ambalo hujalisikia kabisaa!!
Uchaguzi ulikwisha sijui munategemea iwe ni sehemu ya kampeni!!
We ndo zuzu Kabisa, jinga kama huyo Jinga mwenzio, hukumsikia?
 
We ndo zuzu Kabisa, jinga kama huyo Jinga mwenzio, hukumsikia?
Tatizo siyo ujinga wangu, tatizo ni wewe kushindwa kurudia yaliyosemwa, unaunda ya kwako. Tunajadili aliyoyasema. Sikiliza tena na laumu kwa hayo. MUda wa kutungiana maneno ulikuwa zamani.
 
Back
Top Bottom