Hizi hotuba za kisiasa za Rais Magufuli zitatuponza. Tuchague mambo ya kusema hadharani

Vipi mitano tena? Kwanza mlisema huyu sio mwanasiasa na mkamvimbisha kichwa kuwa nchi nyingine wanamhitaji au nasema uongo ndugu zangu.
 
Uzuri wa Magu sio mnafiki. Ni vizuri ukaonesha your true colour na msimamo iwe upo sawa au umekosea. Watu design ya magu wanawavuruga sana wazungu kwani huwa hawakwepeshi maneno.
Magu on trend#, mwanaume msimamo siyo kumtetemekea mtu
 
Tukifail tutanunua chanjo coz tutakuw na pesa, tukifaulu tutakuw yumepiga step kubwa kiuchumi💪
 
Kina Emanuel buhohela wako wapi mbn tulisikiaga Ni wahandiashi was hotuba za rais
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…