Hizi kazi akiwa nazo mwanaume anaweza kula tunda hadi kusaza bila kuhonga ama kutumia gharama ndogo sana

Wapaka rangi na wachora tattoo ,Hawa baada ya muda Huwa hawawezi hata dindisha.



Nasikita sanaz hujaweka MADAKTARI !!.


Sijui kwann yaan !!!. Sijui kwann umetusahau.


Sisi hata hatuhongi yaan kuonga nipale umeamua mwenyewe.

Sisi bana uwe wa kishua, Usiwe wa kishua .....,
 
[emoji23][emoji28]aiseee ila mwanamke anaekubali kuliwa kirahisi kwa vigezo hvo aisee ni kiazi sana
 
😂😂 Yaani hapa nimecheka utadhani mazuri, majamaa walitisha sana
 
Duh! Aisee hapoe umepiga kwenye mshono.Wanaume wa hizo kazi wanakula wanawake Sana.
 
Ni ngumu sana kuzitimiza tamaa za hii miili yetu ya damu na nyama
 
Triiiiiiiiiiii mpaka Maka,
Sisi maselemala na UTI ni mbalimbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…