Block tu zitaenda direct kwenye spam.Tigo/zantel
Inaonekana ni shortcode
π€£π€£π€£π€£Nawewe wakomoe mkuu, nenda na familia nzima.
tigo aisee kero kweliMtandao gani? Mark hiyo namba sms ziingie kama spam., simple tu.
Washajuwa hawa,mtanzania we muweke tamasha aka festivoooUpumbavu na kuharibu hela
Tamasha halijawahi kuwa hitaji la mwananchi
Kwa Nini wasihamasishe kujiandikisha
Kwenye daftari la kura