Hizi mvua zinazoendelea sasa utazifurahia kama unaishi kwenye mitaa ya kishua

Hizi mvua zinazoendelea sasa utazifurahia kama unaishi kwenye mitaa ya kishua

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Imagine unaishi Manzese, Buguruni, Luhanga, Mburahati, Tandika, Keko, Mbagala kwanza asilimia kubwa nyumba zinavuja miundombinu ya mitaa ni mibovu ongezea mifereji ya maji machafu inayotoa harufu watu wanatake opportunity ya mvua kuzibua vyoo very disgusting mitaa inatia kinyaa na hakuna anayejali yaani umasikini na uchafu ni vitu vinavyokwenda sambamba.

Oysterbay Barabara ya lami mpaka getini nyumba ina paving stones, nyumba ina space ya kutosha hewa safi inaingia ndani, mazingira mazuri kwa nini usifurahie mvua.

Ukikaa uswazi ukiachilia mbali kuvuna maji ya mvua hakuna sababu nyingine inayoweza kufanya upende mvua.
 
Mkuu hata sehemu za ushuani kuna maeneo yanajaa maji, ile January hukuona clips zinasambaa mitandaoni maeneo ya Kunduchi na Mbweni maji yaliondoka na madaraja tena makubwa tu, huko Goba na Salasala mabondeni ndio kabisa kuna maeneo yaligeuka mito kwa siku kadhaa
 
Mkuu hata sehemu za ushuani kuna maeneo yanajaa maji, ile January hukuona clips zinasambaa mitandaoni maeneo ya Kunduchi na Mbweni maji yaliondoka na madaraja tena makubwa tu, huko Goba na Salasala mabondeni ndio kabisa kuna maeneo yaligeuka mito kwa siku kadhaa
Point yangu ilikuwa uchafu sehemu nyingi zinajaa maji
 
Yeah una hoja..

Kingine ni swala la Usafiri, kwa matajiri walaa hawana shida anapaki gari yake ya chini chini anahamia ktk gari ya juu juu..

Sasa mwenzangu na mimi unabadiri kutoka viatu vya kawaida kwenda kwenye NDALA, YEBOYEBO etc
 
Ona hili eneo la kishuwa mikocheni feza matajiri kibao wako huku wakina karamagi wakina white star nk lakini njiaa mashimo matope
Matajiri wanashindwa hata kupitisha grader

Ova
 

Attachments

  • 20240407_123942.jpg
    20240407_123942.jpg
    1.6 MB · Views: 4
  • 20240407_123942.jpg
    20240407_123942.jpg
    1.6 MB · Views: 4
Back
Top Bottom