Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miundombinu yetu hasa madaraja inahitaji tathmini.Mkuu hata sehemu za ushuani kuna maeneo yanajaa maji, ile January hukuona clips zinasambaa mitandaoni maeneo ya Kunduchi na Mbweni maji yaliondoka na madaraja tena makubwa tu, huko Goba na Salasala mabondeni ndio kabisa kuna maeneo yaligeuka mito kwa siku kadhaa
Tuache utani Dar kuna makazi zaidi ya Jehanam.....watu wanaroho ngumu sana!!Kwa jiji la daslama ni maeneo machache sana yenye nafuu kipindi hiki, wengine ni wakati wa kucheza na mfinyanzi asee.
Sema mkuu nunua gari hiyo sio gariOna hili eneo la kishuwa mikocheni feza matajiri kibao wako huku wakina karamagi wakina white star nk lakini njiaa mashimo matope
Matajiri wanashindwa hata kupitisha grader
Ova
Haha mm mjini dsm nadandia lift tu sina gariSema mkuu nunua gari hiyo sio gari
Nakubali 😂Haha mm mjini dsm nadandia lift tu sina gari
Alafu gari yangu kwanza kubunua ilikuwa 1999 mkuu
Ova
Kama nje ya elements pale mvua ikinyesha madimbwi kibao.Nani kakuambia obay/masaki yote ina lami.....
Kuna sehemu madongo mashimo kama kawaida
Ova
Tegeta barabara yote inageuka mto..!!Mbezi Beach Tangi bovu hadi Makonde nako panatingishwaga na mvua
Kote huko topeee tuKama nje ya elements pale mvua ikinyesha madimbwi kibao.
Vijana watukutu. Unamjua Dida?Utanieleza nini kuhusu sweet corner wakat nilikuwa mwanafunzi mzururaji pale Manzese Secondary..
Naam bidhaa ikija mjini tutaexchangeNgoja inyeshe tulime.
Tutakutana sokoni.
Pongezi kwa serikali ta awamu ya 6Imagine unaishi Manzese, Buguruni, Luhanga, Mburahati, Tandika, Keko, Mbagala kwanza asilimia kubwa nyumba zinavuja miundombinu ya mitaa ni mibovu ongezea mifereji ya maji machafu inayotoa harufu watu wanatake opportunity ya mvua kuzibua vyoo very disgusting mitaa inatia kinyaa na hakuna anayejali yaani umasikini na uchafu ni vitu vinavyokwenda sambamba
Oysterbay Barabara ya lami mpaka getini nyumba ina paving stones, nyumba ina space ya kutosha hewa safi inaingia ndani, mazingira mazuri kwa nini usifurahie mvua.
Ukikaa uswazi ukiachilia mbali kuvuna maji ya mvua hakuna sababu nyingine inayoweza kufanya upende mvua.
Karibu na kazi zangu zilipoKwa nini umeamua kuishi uswazi?
Inategemea unaishi dar ipi mrembo?!Aaah daslam daslam ila ndo haturudi mikoani