[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tuache utani Dar kuna makazi zaidi ya Jehanam.....watu wanaroho ngumu sana!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tuache utani Dar kuna makazi zaidi ya Jehanam.....watu wanaroho ngumu sana!!
Bro usikariri ushuwani ni Masaki na O/bay tu.Imagine unaishi Manzese, Buguruni, Luhanga, Mburahati, Tandika, Keko, Mbagala kwanza asilimia kubwa nyumba zinavuja miundombinu ya mitaa ni mibovu ongezea mifereji ya maji machafu inayotoa harufu watu wanatake opportunity ya mvua kuzibua vyoo very disgusting mitaa inatia kinyaa na hakuna anayejali yaani umasikini na uchafu ni vitu vinavyokwenda sambamba
Oysterbay Barabara ya lami mpaka getini nyumba ina paving stones, nyumba ina space ya kutosha hewa safi inaingia ndani, mazingira mazuri kwa nini usifurahie mvua.
Ukikaa uswazi ukiachilia mbali kuvuna maji ya mvua hakuna sababu nyingine inayoweza kufanya upende mvua.
Uswekeni tope kama uji yaniInategemea unaishi dar ipi mrembo?!
Mkuu njoo kwetu manzese midizini utafurahia hizi mvua....halafu mishe za kusaka chapaa ni ilala sokoni!!!Imagine unaishi Manzese, Buguruni, Luhanga, Mburahati, Tandika, Keko, Mbagala kwanza asilimia kubwa nyumba zinavuja miundombinu ya mitaa ni mibovu ongezea mifereji ya maji machafu inayotoa harufu watu wanatake opportunity ya mvua kuzibua vyoo very disgusting mitaa inatia kinyaa na hakuna anayejali yaani umasikini na uchafu ni vitu vinavyokwenda sambamba
Oysterbay Barabara ya lami mpaka getini nyumba ina paving stones, nyumba ina space ya kutosha hewa safi inaingia ndani, mazingira mazuri kwa nini usifurahie mvua.
Ukikaa uswazi ukiachilia mbali kuvuna maji ya mvua hakuna sababu nyingine inayoweza kufanya upende mvua.
Wachawi wanapenda sana useahilini sio mahali pa kuishi kabisa!Imagine unaishi Manzese, Buguruni, Luhanga, Mburahati, Tandika, Keko, Mbagala kwanza asilimia kubwa nyumba zinavuja miundombinu ya mitaa ni mibovu ongezea mifereji ya maji machafu inayotoa harufu watu wanatake opportunity ya mvua kuzibua vyoo very disgusting mitaa inatia kinyaa na hakuna anayejali yaani umasikini na uchafu ni vitu vinavyokwenda sambamba
Oysterbay Barabara ya lami mpaka getini nyumba ina paving stones, nyumba ina space ya kutosha hewa safi inaingia ndani, mazingira mazuri kwa nini usifurahie mvua.
Ukikaa uswazi ukiachilia mbali kuvuna maji ya mvua hakuna sababu nyingine inayoweza kufanya upende mvua.
karibu bahari beach upepo unapovumaUswekeni tope kama uji yani
Asante mkuu leo kajua kamewaka basi mambo ni bull bull tope limekaukakaribu bahari beach upepo unapovuma
Sure lo.