Hizi mvua zinazoendelea sasa utazifurahia kama unaishi kwenye mitaa ya kishua

Hizi mvua zinazoendelea sasa utazifurahia kama unaishi kwenye mitaa ya kishua

Imagine unaishi Manzese, Buguruni, Luhanga, Mburahati, Tandika, Keko, Mbagala kwanza asilimia kubwa nyumba zinavuja miundombinu ya mitaa ni mibovu ongezea mifereji ya maji machafu inayotoa harufu watu wanatake opportunity ya mvua kuzibua vyoo very disgusting mitaa inatia kinyaa na hakuna anayejali yaani umasikini na uchafu ni vitu vinavyokwenda sambamba

Oysterbay Barabara ya lami mpaka getini nyumba ina paving stones, nyumba ina space ya kutosha hewa safi inaingia ndani, mazingira mazuri kwa nini usifurahie mvua.

Ukikaa uswazi ukiachilia mbali kuvuna maji ya mvua hakuna sababu nyingine inayoweza kufanya upende mvua.
Bro usikariri ushuwani ni Masaki na O/bay tu.
Mbagala kuu/Kijichi kuna mitaa imenyooka na imepigwa rami nzito mpaka kupindukia hapa Kibada chekechea na wala maji hayajai kuna mifereji mirefu mipana.
Kigamboni pia kuna maeneo mengi tu maji hayajai japo rami ndio bado haijasambazwa,na cha kushukuru Kigamboni hawana mtindo wa kufungulia makaro ya vyoo maana ardhi ya Kigamboni haitemi maji inameza maji aisee.
 
Imagine unaishi Manzese, Buguruni, Luhanga, Mburahati, Tandika, Keko, Mbagala kwanza asilimia kubwa nyumba zinavuja miundombinu ya mitaa ni mibovu ongezea mifereji ya maji machafu inayotoa harufu watu wanatake opportunity ya mvua kuzibua vyoo very disgusting mitaa inatia kinyaa na hakuna anayejali yaani umasikini na uchafu ni vitu vinavyokwenda sambamba

Oysterbay Barabara ya lami mpaka getini nyumba ina paving stones, nyumba ina space ya kutosha hewa safi inaingia ndani, mazingira mazuri kwa nini usifurahie mvua.

Ukikaa uswazi ukiachilia mbali kuvuna maji ya mvua hakuna sababu nyingine inayoweza kufanya upende mvua.
Mkuu njoo kwetu manzese midizini utafurahia hizi mvua....halafu mishe za kusaka chapaa ni ilala sokoni!!!
Yaani matope yalivyojaa na harufu mbaya ila hatuna cha kufanya inabidi tupambane tuu na maisha yetu!!
 
Imagine unaishi Manzese, Buguruni, Luhanga, Mburahati, Tandika, Keko, Mbagala kwanza asilimia kubwa nyumba zinavuja miundombinu ya mitaa ni mibovu ongezea mifereji ya maji machafu inayotoa harufu watu wanatake opportunity ya mvua kuzibua vyoo very disgusting mitaa inatia kinyaa na hakuna anayejali yaani umasikini na uchafu ni vitu vinavyokwenda sambamba

Oysterbay Barabara ya lami mpaka getini nyumba ina paving stones, nyumba ina space ya kutosha hewa safi inaingia ndani, mazingira mazuri kwa nini usifurahie mvua.

Ukikaa uswazi ukiachilia mbali kuvuna maji ya mvua hakuna sababu nyingine inayoweza kufanya upende mvua.
Wachawi wanapenda sana useahilini sio mahali pa kuishi kabisa!
 
Back
Top Bottom