Hizi ndio alama za mtu alieathirika na ukimwi kwa macho tu utamgundua

Hizi ndio alama za mtu alieathirika na ukimwi kwa macho tu utamgundua

appoh

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
5,262
Reaction score
2,184
Hii ni alama inayoonesha mtu huyo ameathirika na virus vya ukimw na hutokea kipind virus vina zaid ya miaka miwil kitaalamu tezi hiz huvimba kama ishara ya kukusanya virus na kuwarundika sehwm moja kutengeneza uvimbe yaan kama dead cell usaha uchafu virus na nk

Hii hutokea kwa wanawake na wanaume hutokea eneo la kuzunguka shingo kwa juu au chini huja na kukaa kwa miez kadhaa au miaka na kupotea kisha kurud

Ukiona hali hii mwambie mwenza wako mkapime
 

Attachments

  • image_search_1732346265628.jpg
    image_search_1732346265628.jpg
    74.4 KB · Views: 6
  • image_search_1732346101715.jpg
    image_search_1732346101715.jpg
    18.8 KB · Views: 7
  • image_search_1732346090222.jpg
    image_search_1732346090222.jpg
    44.6 KB · Views: 7
Hii ni alama inayoonesha mtu huyo ameathirika na virus vya ukimw na hutokea kipind virus vina zaid ya miaka miwil kitaalamu tezi hiz huvimba kama ishara ya kukusanya virus na kuwarundika sehwm moja kutengeneza uvimbe yaan kama dead cell usaha uchafu virus na nk

Hii hutokea kwa wanawake na wanaume hutokea eneo la kuzunguka shingo kwa juu au chini huja na kukaa kwa miez kadhaa au miaka na kupotea kisha kurud

Ukiona hali hii mwambie mwenza wako mkapime
Ingependeza ungeweza picha za waafrika (weusi).
 
Hao ndo madoctor wa tanzania kutoka kijiji cha Idimi, Mbozi mkoa wa mbeya,Nikujulishe tu zipo sababu nyingi za kuwa na uvimbe kwenye shingo, kuna ukosefu wa madini, kuna ukosefu wa vitamin, kuna sababu tele

Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Hizo ni dalili sio kwamba unao. ukizipata nenda kapime. Umekalia maubishi tu
 
Hii ni alama inayoonesha mtu huyo ameathirika na virus vya ukimw na hutokea kipind virus vina zaid ya miaka miwil kitaalamu tezi hiz huvimba kama ishara ya kukusanya virus na kuwarundika sehwm moja kutengeneza uvimbe yaan kama dead cell usaha uchafu virus na nk

Hii hutokea kwa wanawake na wanaume hutokea eneo la kuzunguka shingo kwa juu au chini huja na kukaa kwa miez kadhaa au miaka na kupotea kisha kurud

Ukiona hali hii mwambie mwenza wako mkapime
Balaa zito
 
Asee sie tunaangaliaga lile nundu la kukalia tu, hilo nundu la sikioni ajali kazini
 
Hii kwa kiasi kikubwa husababishwa na ukosefu wa iodine
Ni madini adimu sana kiasi kwamba mpaka Serikali ikalazimisha wasambazaji wa chumvi watie iodine ktk Kila pakti ya chumvi(iodized salt)
Njia nyingine unaweza pata iodine ni kwa kutumia samaki wa baharini au mwani

Gonjwa lolote linaloshusha Kinga ya mwili au ukosefu wa lishe hujenga usuhuba na hii tezi
 
hiv
nn
Tunajadili cancer saaahivii
Hioo hiv fata masharti
 
Tungepata hata alama 3 ingependeza

Vp kwa anaetumia arv

wAtumiaji wengine wa arv huwa na harufu fulan hv common
 
Hao ndo madoctor wa tanzania kutoka kijiji cha Idimi, Mbozi mkoa wa mbeya,Nikujulishe tu zipo sababu nyingi za kuwa na uvimbe kwenye shingo, kuna ukosefu wa madini, kuna ukosefu wa vitamin, kuna sababu tele

Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Ndio nasisitiza ukiona alama hiz kapime mkuu kama ni ukosefu wa madin au kama ni virus kapime usiwe muoga kwa nini unakua mbishi kwanini una kua na hofu unaogopq nini kupata ukimw sio mwisho wa maishq mi naomba nikutie moyo kapime kapime usiogope mbona wenzako weng wanaishi tu
 
Na Leo Kuna mtu anaiendea safari ya kutumia ARV siku zijazo
Kondomu hamzioni nyie mbwa?
 
Back
Top Bottom