Hizi ndio animation movies kali ambazo sio za kukosa

Hizi ndio animation movies kali ambazo sio za kukosa

Animations ni nzuri sana wanajua kutafuta characters wanaofit kwenye nafasi zao.
Kwa mfano kwenye secret life of pets kuna ka sungura keupe kama sikosei walikapa jina la Mike, ni kadogo ila kanajiamini halafu kana mikwara mizito. Pia nilikaona tena kwenye Sing kakiwa na tabia zake zilezile.
 
Hivi hizi katuni si za watoto? Au kuna watu wazima na midevu huwa wanaangalia?



Achana na kushahabiana katika utengenezaji ila kuna utofauti wa cartoon na animation movie kinadharia..

Ndo maana hata uki search cartoon Google utapata clips za kina sponge bob na tom and jerry ila animation ni tofauti

Utofauti uko kwenye maudhui sio utengenezwaji wake

So cartoon ni tofaut na animation movie kinadharia.. animation movie zinapigana vibega na movie halis za binadam kwenye mauzo


Mwisho chukulia animation movie na cartoon ni kama enzi zile za gazeti la Sani huku una kina madenge. A baba ubaya ambazo tuite ni cartoon upande wa pili una hadith za kina mzee Ole ambazo ni hadithi za picha..

Utaona madenge na na kina mzee ole wote wamechorwa ila maudhui ndo yanatofautisha kundi lipi linalengwa

So animation ni kama usome riwaya kwa mtindo wa picha
 
Achana na kushahabiana katika utengenezaji ila kuna utofauti wa cartoon na animation movie kinadharia..

Ndo maana hata uki search cartoon Google utapata clips za kina sponge bob na tom and jerry ila animation ni tofauti

Utofauti uko kwenye maudhui sio utengenezwaji wake

So cartoon ni tofaut na animation movie kinadharia.. animation movie zinapigana vibega na movie halis za binadam kwenye mauzo


Mwisho chukulia animation movie na cartoon ni kama enzi zile za gazeti la Sani huku una kina madenge. A baba ubaya ambazo tuite ni cartoon upande wa pili una hadith za kina mzee Ole ambazo ni hadithi za picha..

Utaona madenge na na kina mzee ole wote wamechorwa ila maudhui ndo yanatofautisha kundi lipi linalengwa

So animation ni kama usome riwaya kwa mtindo wa picha
Zipo ambazo mpaka uelewe kisa ni mziki
 
Animations ni nzuri sana wanajua kutafuta characters wanaofit kwenye nafasi zao.
Kwa mfano kwenye secret life of pets kuna ka sungura keupe kama sikosei walikapa jina la Mike, ni kadogo ila kanajiamini halafu kana mikwara mizito. Pia nilikaona tena kwenye Sing kakiwa na tabia zake zilezile.
Kama nyani kwenye muvi nyingi ni mlinzi au jambazi
 
Kweli kabisa. Tena sishauri kabisa waroto kuangalia anime zenye +12 maana izo ni hatari kwa maadili.

Yeah tazama izo mm ninazo apa 1tb ya anime nimecheki zote mpaka zingine sizikumbuki majina.

Kama hii One Piece ina 1000+ episodes ila ni kali kinoma.

View attachment 2539007
Kuna hii inaitwa arcane sijui kama ni anime iko tofauti kidogo ila ni nzuri balaa
IMG_20230525_112311.jpg
 
Back
Top Bottom