Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Biashara zinazoweza kumsaidia mtu kutoboa haraka ni hizi zifuatazo:-
1. Biashara ya madawa ya kulevya.
2. Ujangili
3. Umafia/dhuluma/utapeli wa kimtandao, nk.
4. Siasa
5. Utume/Uchungaji/Unabii (Yaani kama yule Mwamposa)
6. nk.
Nje hizo biashara hapo juu nilizozitaja, basi kutoboa kwako kutakuwa na changamoto nyingi sana kutokana na uwepo wa hawa kupe mf. TRA, polisi, serikali, mamlaka mbalimbali, nk.
1. Biashara ya madawa ya kulevya.
2. Ujangili
3. Umafia/dhuluma/utapeli wa kimtandao, nk.
4. Siasa
5. Utume/Uchungaji/Unabii (Yaani kama yule Mwamposa)
6. nk.
Nje hizo biashara hapo juu nilizozitaja, basi kutoboa kwako kutakuwa na changamoto nyingi sana kutokana na uwepo wa hawa kupe mf. TRA, polisi, serikali, mamlaka mbalimbali, nk.