Kama una taxi yako unatoboa haraka kwa mwanza naona fursa ya taxi watu hawajaisanukiaVipi biashara ya taxi mtandao kama nitaendesha mwenyewe,,? makadilio ya mapato ya kila siku yakoje,,? changamoto zake ni zipi,,? niko Mwanza nataka niachane na kibarua kiwandani nijiajiri huko mwenye uzoefu na hii kazi anijuze abc zake tafadhali,,
Ama kwa hakika umeijua kweli.. nayo kweli itakukomboaBiashara zinazoweza kumsaidia mtu kutoboa haraka ni hizi zifuatazo:-
1. Biashara ya madawa ya kulevya.
2. Ujangili
3. Umafia/dhuluma/utapeli wa kimtandao, nk.
4. Siasa
5. Utume/Uchungaji/Unabii (Yaani kama yule Mwamposa)
6. nk.
Nje hizo biashara hapo juu nilizozitaja, basi kutoboa kwako kutakuwa na changamoto nyingi sana kutokana na uwepo wa hawa kupe mf. TRA, polisi, serikali, mamlaka mbalimbali, nk.
ππππππππππ,πππ£π πππππ π£ππππππ πππ ππ π πππ π πππππππππ ππππππ ππππ π πππππππKama una taxi yako unatoboa haraka kwa mwanza naona fursa ya taxi watu hawajaisanukia
Nenda pale airport sajili taxi yako au town
Tafuta wateja wanaoishi ushuani Capri point, Bwiru, kiseke, Nyamhongolo
Utatoboa mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi. Kuna boss mmoja alikuwa analia kwamba madereva wake wanapata hela kuliko yeye.Daladala aisee kama ndio vihela vyako vinaishia japo aisee landa uendeshe mwenyewe. Madereva hawana utu kabisa speaking from experience. Utanunua spea kila siku na kola siku hesabu viaingizio kibao.
Hii ni nzuri ila ushindani wake ni mkali. Kwenye viatu tafuta chimbo la China ili ku-maximize profit. Nguo hazina noma hata hapahapa bongo bei za jumla zimetofautiana kidogo na China.Vip biashara ya nguo na viatu
Kuweka bei ndogo bila kuzingatia ubora ndo utaharibu zaidi.Kuzungumza ni rahisi sanaa ila ingia mzigoni ni mbingu na ardhi.
Fanya kwa bidii kua mmbunifu,jali wateja wako na bei iwe chini ya bei ya sokoni mfano: nyanya wenzako wote wanauza moja 100/= wewe uza 90/= watu huwa wanavutiwa na bei ndogo kulinganisha na sehemu zingine.
NB:
Ndio taratibu taratibu utaanza kuitwa firimasoni ( nizamu ya pesa pia coz pesa hua haikai na malofa).
Hakuna biashara ya peke ako, na wengine wamefanikiwaMbona hizo zote ulizotaja kuna wanaozifanya huku kwetu na bado hawajafanikiwa?
Jomba uko nje ya muda. Hiyo biashara ya kizamani.Kama una taxi yako unatoboa haraka kwa mwanza naona fursa ya taxi watu hawajaisanukia
Nenda pale airport sajili taxi yako au town
Tafuta wateja wanaoishi ushuani Capri point, Bwiru, kiseke, Nyamhongolo
Utatoboa mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yote nmeyasema (kua mmbunifu) ndio majumuisho ya ubora,wingi,huduma safi kauli safi na mengineyo.Kuweka bei ndogo bila kuzingatia ubora ndo utaharibu zaidi.