Hizi ndio biashara 17 zitakazofanya utoboe haraka maisha

Hata daladala ni kama grovery tu labda uendeshe mwenyewe au uwe nazo kama tatu au nne otherwise hesabu maumivu kama una moja.
 
Great πŸ‘
 
Biashara yakutoboa ni biashara ambayo itakuweka mbali na vyombo vya ukusanyaji mapato,, yupo Mzee frani anapiga pesa mbaya amejichimbia mashambani semi zinafata mizigo na mifugo,swala ni uthubutu na ukubaki kuutumia muda wako inavyotakiwa, hakikisha wakienda kuswali/ kusali wewe upo chaka! Utajua mwenyewe unafanya shughuri gani
 
Wewe jamaa bhna....😁😁😁
 
Daladala aisee kama ndio vihela vyako vinaishia hapo aisee labda uendeshe mwenyewe. Madereva hawana utu kabisa speaking from experience. Utanunua spea kila siku na kila siku hesabu visingizio kibao.
Wana honga sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…