Hizi ndio Familia 13 za Illuminati zenye nguvu duniani Zilizopewa nafasi ya Kuumaliza Ulimwengu

Hizi ndio Familia 13 za Illuminati zenye nguvu duniani Zilizopewa nafasi ya Kuumaliza Ulimwengu

Hiyo kazi wamepewa na nani??Na wewe Anzisha ANTI-NEW WORLD ORDER.
 
Mkuu habari ya siku?

Mkuu hebu nisaidie kuthibitisha huu uongo maana hii kitu inaniumiza sana kichwa na utakuwa umenisaidia sana mkuu!

Za siku nzuri mkuu sijui kwa upande wako,

Ninasema haya mambo ni uongo kwa sababu hawa jamaa hawana uthibitisho na wasemacho.
 
wakuu hivi huyo DISNEY hapo kwa list ndio WALTY DISNEY au ndo mwingine huyo ??
na huyo Kennedy je ndio yuleyule JOHN KENNEDY au ??
na vp kuhusu rebo ya JAY-Z iitwayo ROCKEFELLER ??
nimemuona Rockefeller hapo
 
Mkuu tukiwa tunaendelea na mada hii nahisi wafia dini watakuja na povu likiwatoka mdomoni kuona wanatukaniwa dini/dhehebu lake, kumbe mfumo ndivo ulivo na historia ipo wazi kutuhukumu.
Hebu tupeane weledi na tuweze kuendelea kujadili huku tukiweka ujazo kidogodogo.

Tukiwa tunasubiri utashi naomba mwenye kuwahi kukisoma kijitabu kidogo kiitwacho, "The secret of terrorist" atupe kidogo kilichojiri ndani ya kijitabu hicho.
 
wakuu hivi huyo DISNEY hapo kwa list ndio WALTY DISNEY au ndo mwingine huyo ??
na huyo Kennedy je ndio yuleyule JOHN KENNEDY au ??
na vp kuhusu rebo ya JAY-Z iitwayo ROCKEFELLER ??
nimemuona Rockefeller hapo



Kwa jibu la haraka John f Kennedy na hausiki hapo kwa hiyo familier, lakini mr rapa j-z n lazima awape shavu hao jamaa hata kutumia jina lao maana kuna secret issues ambazo kwa ndani yake kwenye mkakati wa NWO wote wanaingia humo, hapo inategemea wewe upo sector ipi, na ndiyo maana huyo ndg rapa j-z huko nyuma aliwahi kutoa rebo iitwayo 'blueprint one'...
 
Nina ushauli huu, kama unaweza basi jitahidi kutafuta kajikitabu kadoogo kanaitwa (kama sijakosea) 'The secret of Terrorist' kisha tutarejea kwa history.


Za siku nzuri mkuu sijui kwa upande wako,

Ninasema haya mambo ni uongo kwa sababu hawa jamaa hawana uthibitisho na wasemacho.
 
shukrani sana mkuu TODAYS
hawa jamaa wa ROCKEFELLER na ROTHSCHILD FAMILY nimewasoma kwenye uzi mmoja hapo chini..
weeeeeee hawa jamaa ni balaa, yaani wana-control each and everything katka dunia yetu

.made in mby city.
 
Last edited by a moderator:
hawa jamaa nimesikia kuwa wana uhusiano pia na wale malaika walioshuka kutoka mbinguni na kuja duniani na kuzaa na binti za binadamu baada ya kuona totoz nzuri-nzuri duniani

imagine the disaster baada ya kutoa offspring kati ya binadamu na hao malaika
 
hawa jamaa nimesikia kuwa wana uhusiano pia na wale malaika walioshuka kutoka mbinguni na kuja duniani na kuzaa na binti za binadamu baada ya kuona totoz nzuri-nzuri duniani

imagine the disaster baada ya kutoa offspring kati ya binadamu na hao malaika

hakuna malaika aliyewahi kuzaa na mwanadamu.
 
mkuu ALEYN hapo ndipo patam haswaaaa
kwani wewe umeelewaje ?
elezea kidogo ulivyo elewa hayo maandiko ili tupate pa kuanzia
 
kennedy wangekuwa that powerful wasinge uwawa vile..
onasisi nae uzushi mtupu...
 
#Singa Singa unatupa utamu tu wa mada murua si umwage mchele huo au mpaka shangazi aupike pilau afu ukose kuumwaga chini?
 
Hii ni kweli wakuu, hizi blodline families zina miaka mingi sana zinaendesha dunia hii tunayoishi...km huamini nenda Wikipedia utapata haya yote

yaani ushahidi unaupata wikipedia!!!
 
Back
Top Bottom