LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Kwa maoni yangu wimbo wa " Baba" by Ney wa Mitego ni " commercial" Na sio wimbo wa kisiasa kama watu wengi wanavyo weza kuutafsiri
Msanii Ney wa Mitego amemtumia Hayati Magufuli kama " point of contact" kufikisha ujumbe wenye lengo la kupush agenda yake ktk biashara ya muziki wake
Lengo Hasa la Ney wa Mitego ni Ku acquire popularity among the so called " Wamachinga"
Ney wa Mitego amegundua kwamba Magufuli alipendwa Sana Na Wamachinga Kwa Sababu aliwalea Na kuwapa uhuru wa kufanya umachinga mahali popote..
Leo Magufuli hayupo amekuja kiongozi mwingine ambae ameona kwamba si vyema Wamachinga wakaachwa kuzagaa zagaa bila utaratibu, Wamachinga pamoja Na wananchi wanao sympathise Na Wamachinga Wana complain huku wakitaja ngano za kumkumbuka Hayati Magufuli
Ney wa Mitego ame capitalise kwenye hiyo factor so ameamua kufanya Huu wimbo Kwa lengo la kujitengenezea popularity Kwa Wamachinga..
Hongera Sana Ney wa Mitego , show zianze sasa Wamachinga watajaa kwenye shows zako ila ukweli utabaki pale pale Mama Samia ana upiga mwingi Sana. Binafsi Nina Imani kubwa Sana Na mama Samia and am telling you Mama huyu atafanya mambo mengi makubwa Na mazuri Kwa nchi yetu..
Ni mapema mno kumjudge mama huyu Kwa chochote cause tangu apewe nchi ana miezi Saba Tu..
NB: let me refresh ur memories. Niliwahi kuandika hapa kwamba Mama Samia amewekwa madarakani Na Mungu mwenyewe.. Her Presidency is an act of God himself)
Usijaribu kushindana Na maamuzi / mipango ya Mungu
Msanii Ney wa Mitego amemtumia Hayati Magufuli kama " point of contact" kufikisha ujumbe wenye lengo la kupush agenda yake ktk biashara ya muziki wake
Lengo Hasa la Ney wa Mitego ni Ku acquire popularity among the so called " Wamachinga"
Ney wa Mitego amegundua kwamba Magufuli alipendwa Sana Na Wamachinga Kwa Sababu aliwalea Na kuwapa uhuru wa kufanya umachinga mahali popote..
Leo Magufuli hayupo amekuja kiongozi mwingine ambae ameona kwamba si vyema Wamachinga wakaachwa kuzagaa zagaa bila utaratibu, Wamachinga pamoja Na wananchi wanao sympathise Na Wamachinga Wana complain huku wakitaja ngano za kumkumbuka Hayati Magufuli
Ney wa Mitego ame capitalise kwenye hiyo factor so ameamua kufanya Huu wimbo Kwa lengo la kujitengenezea popularity Kwa Wamachinga..
Hongera Sana Ney wa Mitego , show zianze sasa Wamachinga watajaa kwenye shows zako ila ukweli utabaki pale pale Mama Samia ana upiga mwingi Sana. Binafsi Nina Imani kubwa Sana Na mama Samia and am telling you Mama huyu atafanya mambo mengi makubwa Na mazuri Kwa nchi yetu..
Ni mapema mno kumjudge mama huyu Kwa chochote cause tangu apewe nchi ana miezi Saba Tu..
NB: let me refresh ur memories. Niliwahi kuandika hapa kwamba Mama Samia amewekwa madarakani Na Mungu mwenyewe.. Her Presidency is an act of God himself)
Usijaribu kushindana Na maamuzi / mipango ya Mungu