Hizi ndio hoja kuu zitazotawala kwa watu wa kanda ya ziwa mwaka 2025. Kubwa kabisa ni "Mungu kuamua ugomvi" na Nape na Membe kufurahia kwa kicheko

Hizi ndio hoja kuu zitazotawala kwa watu wa kanda ya ziwa mwaka 2025. Kubwa kabisa ni "Mungu kuamua ugomvi" na Nape na Membe kufurahia kwa kicheko

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Kwa mila na desturi za Kiafrika hata kama unamchukia mtu huwezi kufurahia kifo chake hata kidogo. Hii ya wanaCCM kufurahia kifo cha Hayati JPM ni agenda nzito. Hapa inatia mashaka.

CCM ina wenyewe hii nayo itatamalaki.

Ugumu na ughali wa maisha itagusiwa sana pia.

Ufisadi wa wazi na kibabe nao utagusiwa sana.

Watu wa Kigoma, Tabora, Mwanza ,Shinyanga na Mkoa wa Mara mwaka 2025 mfanye tathimini kubwa sana na maamuzi magumu.
 
Kwa mila na desturi za Kiafrika hata kama unamchukia mtu huwezi kufurahia kifo chake hata kidogo. Hii ya wanaCCM kufurahia kifo cha Hayati JPM ni agenda nzito. Hapa inatia mashaka...
Hamna jipya. Mnatapa tapa tu. 'Ooh Nape na Membe wamecheka, CCm inawenyewe sijui hali ngumu ya Maisha...' sasa hapo kuna kitu gani specific kama hujuma na athari kwa Kanda ya ziwa tu? Mumuulize huyo Nape basi kwa nini amechekw na kama kucheka ni dhambi? 'Ccm ina wenyewe' huo ni msemo wa kichama na upo miaka yote.

Acheni mambo yenu ya ukanda yasiyo na msingi. Kwa jinsi Mama SSH anavyoendesha nchi kwa Upendo, Ustaarabu Mwingi, Uhuru wa kujieleza uliopo, Kujali Maslahi ya watu na wafanyakazi nchini na mengine mengi tena kwa muda mfupi sana, kumchukia ni sawa na kujipambanua kuwa wewe na mchawi hamna tofauti.

Ukiambiwa ueleze hasa kwa dhati ya moyo wako, ni kitu gani Rais wa sasa amekufanyia wewe kibaya ama mtu aliyeonewa hasa na kudhalilishwa hadharani utateseka sana kujibu hilo swali kwa awamu hii.

Tuwe fair na tumuogope Mungu.
Mama Samia, chapa kazi. Umekuwa ni Mkombozi wetu kwa Mambo Mengi na Allah akubariki sana.
 
Back
Top Bottom