Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Wafuasi wa Magufuli na siasa za kikanda
Hawa watu ni wajinga sana...Kanda ya ziwa wanapiga kura kama kanda?
Kura za nchi hii zinapigwa na mtu mmoja mmoja sio kanda wala kabila au dini.
Anyway vyovyorw vile mtakavypfanya CCM itashinda kwa kishindo 2025 mtake msitake
Hawa watu ni wajinga sana...Kanda ya ziwa wanapiga kura kama kanda?
Kura za nchi hii zinapigwa na mtu mmoja mmoja sio kanda wala kabila au dini.
Anyway vyovyorw vile mtakavypfanya CCM itashinda kwa kishindo 2025 mtake msitake