thatonegAl
JF-Expert Member
- Aug 28, 2013
- 825
- 1,884
[emoji2] [emoji2] [emoji2] hii kibokoKuna wasanii wanatoa nyimbo lakini hata wao wenyewe wanashindwa kusikiliza halafu wanataka sisi ndo tuzipende. Kama hiyo Yono sijui kama Dully anaweza kukaa geto akaisikiliza
kama hujaielewa hata waya ambayo legendary wa hiphop (fid q) ameusifia basi endelea kusikiliza singel
Ama gona lachaa gona laacha [emoji23][emoji23][emoji23]sjui alkua anataka kumaanisha nn hapa...... Au altaka kwenda kiraracha NNKwani fid q ndio nan mpaka akuteke fikra na akili zako upende anachopenda yeye? Mungu amekupa akili ya kupambanua mambo acha kuwa mtumwa wa fikra za wengine "OVER"
Kama kausifia kinafki je?ila ni nyimbo mbaya mno.kama hujaielewa hata waya ambayo legendary wa hiphop (fid q) ameusifia basi endelea kusikiliza singel
Mbaya mnoo,tatizo anajiona jay z kweli.fake rapper.Ama gona lachaa gona laacha [emoji23][emoji23][emoji23]sjui alkua anataka kumaanisha nn hapa...... Au altaka kwenda kiraracha NN
Asee ngoma ni mbayaa uwiiii af kideo kimekula ela ya KUTOSHA [emoji56][emoji56][emoji56]
Hater!Habari wakuu,sio jambo jema kusema msanii fulani anabebwa,kwa kuwa msanii hawezi kutoa nyimbo zote mbovu bali kuna baadhi tu ya nyimbo mbovu atatoa.hizi ndio nyimbo mbovu za bongofleva ila zinabebwa na media(radio na tv).
1. Kijuso ya Rayvan na queen dalin
2. Waya ya Joh makini
3. Yono ya Dully sykes
4. Hela ya Madee
5. AY yupo a dada mmoja jina la wimbo silijui ila ni mpya
6. CHEGE yupo na dada mmoja jina la wimbo silijui ila ni mpya
Hizo ndio zangu mbaya ila redioni zinapigwa sana ,ongezea na wewe za kwako
NB:kuupenda wimbo tumetofautiana,mimi mala ya kwanza nikisikia wimbo,basi hapohapo jibu linakuja,nisipoupenda hapo basi sitaupenda tena,ilas wengie jinsi wimbo unavopigwapigwa redioni anajikuta anaupenda(unakaririshwa hadi unakariri),
Alikiba vocalist bora kwako mi wangu baranba ukisema kuliko wote sijui umeangalia vigezo vipi au umejishauri na akili yakonakupinga kwenye nusu yako moja.
Muziki wa darasa kachanwa sana 'Domo'.....lazima iwe nyimbo nzuri sana kwangu. na anshukuru watanzania woote wameipenda na kuikubali.
Moyo Mashine wa Ben Pol a.k.a Ben Mashine........kama hauuelewi wimbo huu, basi wewe hujui Muziki.
Alafu, ally kiba ni vocalist bora kuliko wote kwa wanaume......hakoseagi.
na media za nje pia wanambeba?Aje ya alikiba pia inabebwa na media
Mambo vipi madamHivi ile hela ni kweli Madee ndo kaachia ngoja mpya au ni behind the scene? mi bado nasubiri ngoma original labda ina afadhali, waya sijui ni ule wenye kutu! Ama Darasa kawapanikisha wakaachia kabla hawajaweka mambo sawa.
Sio lazima wote tuwe wasanii,wengine tubakie ushabikiNa tunga za kwako!
Singeli sio muziki mkuu bali ni ukichaaHainaga ushemeji haieleweki kabisa.
Chorus anazungumzia mapenzi kwenye verse anazungumzia nguo za mitumba na jinsi anavyoulamba
Yaani huyu kanishangaza hata mimiKwani fid q ndio nan mpaka akuteke fikra na akili zako upende anachopenda yeye? Mungu amekupa akili ya kupambanua mambo acha kuwa mtumwa wa fikra za wengine "OVER"