Hizi ndio nyimbo mbovu ila zinabebwa na media

Hizi ndio nyimbo mbovu ila zinabebwa na media

Kuna wasanii wanatoa nyimbo lakini hata wao wenyewe wanashindwa kusikiliza halafu wanataka sisi ndo tuzipende. Kama hiyo Yono sijui kama Dully anaweza kukaa geto akaisikiliza
[emoji2] [emoji2] [emoji2] hii kiboko
 
Mie wimbo WA phone WA benpol sijaupenda!una mashairi mepesi sana!!,,'na maneno common mno!mf.'unachokitafuta utakipata'',,dm ,inbobow(ilivyotamkwa hainogi kabisa'!)yaani hata ukijaribu kuangalia maana haswa ya huu wimbo haiwezi vutia watu wote.
Wimbo mwingine ambao umepewa airtime ya utosha ila mbovu ni Wa joh makini WA waya,give it to me,
Moja ya wimbo wangu nlioukubali kwa 2016 ni WA linah WA malkia wangu WA nguvu
 
Hainaga ushemeji haieleweki kabisa.

Chorus anazungumzia mapenzi kwenye verse anazungumzia nguo za mitumba na jinsi anavyoulamba
 
kama hujaielewa hata waya ambayo legendary wa hiphop (fid q) ameusifia basi endelea kusikiliza singel

Kwani fid q ndio nan mpaka akuteke fikra na akili zako upende anachopenda yeye? Mungu amekupa akili ya kupambanua mambo acha kuwa mtumwa wa fikra za wengine "OVER"
 
Kwani fid q ndio nan mpaka akuteke fikra na akili zako upende anachopenda yeye? Mungu amekupa akili ya kupambanua mambo acha kuwa mtumwa wa fikra za wengine "OVER"
Ama gona lachaa gona laacha [emoji23][emoji23][emoji23]sjui alkua anataka kumaanisha nn hapa...... Au altaka kwenda kiraracha NN
Asee ngoma ni mbayaa uwiiii af kideo kimekula ela ya KUTOSHA [emoji56][emoji56][emoji56]
 
Ama gona lachaa gona laacha [emoji23][emoji23][emoji23]sjui alkua anataka kumaanisha nn hapa...... Au altaka kwenda kiraracha NN
Asee ngoma ni mbayaa uwiiii af kideo kimekula ela ya KUTOSHA [emoji56][emoji56][emoji56]
Mbaya mnoo,tatizo anajiona jay z kweli.fake rapper.
 
Habari wakuu,sio jambo jema kusema msanii fulani anabebwa,kwa kuwa msanii hawezi kutoa nyimbo zote mbovu bali kuna baadhi tu ya nyimbo mbovu atatoa.hizi ndio nyimbo mbovu za bongofleva ila zinabebwa na media(radio na tv).

1. Kijuso ya Rayvan na queen dalin
2. Waya ya Joh makini
3. Yono ya Dully sykes
4. Hela ya Madee
5. AY yupo a dada mmoja jina la wimbo silijui ila ni mpya
6. CHEGE yupo na dada mmoja jina la wimbo silijui ila ni mpya

Hizo ndio zangu mbaya ila redioni zinapigwa sana ,ongezea na wewe za kwako

NB:kuupenda wimbo tumetofautiana,mimi mala ya kwanza nikisikia wimbo,basi hapohapo jibu linakuja,nisipoupenda hapo basi sitaupenda tena,ilas wengie jinsi wimbo unavopigwapigwa redioni anajikuta anaupenda(unakaririshwa hadi unakariri),
Hater!
 
nakupinga kwenye nusu yako moja.
Muziki wa darasa kachanwa sana 'Domo'.....lazima iwe nyimbo nzuri sana kwangu. na anshukuru watanzania woote wameipenda na kuikubali.
Moyo Mashine wa Ben Pol a.k.a Ben Mashine........kama hauuelewi wimbo huu, basi wewe hujui Muziki.
Alafu, ally kiba ni vocalist bora kuliko wote kwa wanaume......hakoseagi.
Alikiba vocalist bora kwako mi wangu baranba ukisema kuliko wote sijui umeangalia vigezo vipi au umejishauri na akili yako
 
Hivi ile hela ni kweli Madee ndo kaachia ngoja mpya au ni behind the scene? mi bado nasubiri ngoma original labda ina afadhali, waya sijui ni ule wenye kutu! Ama Darasa kawapanikisha wakaachia kabla hawajaweka mambo sawa.
Mambo vipi madam
 
Kwani fid q ndio nan mpaka akuteke fikra na akili zako upende anachopenda yeye? Mungu amekupa akili ya kupambanua mambo acha kuwa mtumwa wa fikra za wengine "OVER"
Yaani huyu kanishangaza hata mimi
 
Binadamu hatuwezi kufanana kamwe...ndio maana unaweza kwenda kwa Masela kumi huku una picha ya Zari huku ya Mama Solomonii...ukawauliza yupi bomba na usishangae wapo watakaoruka na Mama Solomonii.
 
Back
Top Bottom