Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Ndio wanalipwa vzr, mm nipo bodi ya korosho nakula 1.3+ ukitoa makato napata 980 na vichenji bado safari kila kukicha. Mwanajeshi ananizidi tu kwasabab wao hawana makato kama kodi ya mshahara na Chama cha wafanya kazi lakin pia wana mikopo ya gharama nafuu lakin pia mm naweza kukopa hazina kwa riba ya 4% tukaenda Sawa tu
Nikopeee kaka!!
 
Jambo lingine ni kwamba hio mishahara mnayotaja hapa huwa ni basic salary😀

Huyu mmoja anatamba analipwa 3m hio basic tu unakuja kuta katika hio 3m analipa income tax 800k Bado bodi wanataka 15% yao inapanda kadri mshahara unavyopanda

Bado chama,Bado bima ya afya, Bado pssf.

Kama huna per diem za hapa na pale huna tofauti na maticha🤣

Utakuwa umewazidi laki 1 2 3. Stress ziko pale pale.
 
Back
Top Bottom