Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usichane mkuuNachana cheti cha uwalimu leoleo maana ujinga huu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Nachana cheti cha uwalimu leoleo maana ujinga huu.
UlichanaNachana cheti cha uwalimu leoleo maana ujinga huu.
TukumbisheMmewasahau wale wazee wa JW, wana balaa lao
Migration iweke hapo tunakula mpunga mrefu sana na marupurupu kibao [emoji14][emoji14]
Hana ubavu huoUlichana
HahahahaHana ubavu huo
Ewura andika 3mnatoa salary za ICTO 2,
1. TPDC==I don't know
2. TCRA==2.0m
4. Ngorongoro==1.8m
3. Ewura==I don't know
4. WCF==2.0m
5. TBS==I don't know
5. TANAPA==1.8m
5. Tume ya madini==I don't know
6. Mamlaka ya chakula na dawa==I don't know
7. SSRA==2.0m
8. NSSF/PSSS==I don't know
9. BOT==I don't know
9. Bunge==I don't know
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali==I don't know
10. TASAC==1.5m
10. TRA==2.5m
11. MSD==I don't know
11. TAKUKURU==I don't know
11. EGA==2.61m
12. NHIF==1.6m
13. TPA==1.6m
13. TIC==I don't know
TRA 2,340,000 maendeleo ya Jamii vijijini ni ngapi?Mtoa mada nikupe tu TAARIFA WATUMISHI wengi NI WATUMISHI wa kawaida wasokua na vyeo
Na mshahara wa MWISHO wa mtumishi wa serikali NI sh 2,727,500/- unless km ana cheo km mkuu wa KITENGO au idara au mkuu wa taasisi msikaririshane Mambo ambayo hayapo na nkupe tu TAARIFA huyo ambaye yupo TRA mwenye degree anaeanza Kazi Hana tofauti na mwenye degree ya maendeleo ya JAMII wa Moshi vijijini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ya Dar mfano customer service anaweza akavuta ngapi? Au mtu mwenye certificate/diploma.Mamlaka za maji kubwa.
DAR ES SALAAM
TANGA
ARUSHA
MBEYA
90,000,000.896Hiyo ya Dar mfano customer service anaweza akavuta ngapi? Au mtu mwenye certificate/diploma.
Kiherehere kama hiki ndo kinawafanya mbakwe.90,000,000.896
Ewura andika 3m
Lazima uwaze pesa, sio unawaza kazi bila maslahi.Vijana wengi hatutafuti kazi ila tunatafuta mishahara minono