Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Kwani hawa si wanalipwa kutokana na elimu na muda kazini?! kasoro ngorongoro ndo anajilipa mshahara

Ss ww unaandika unono, unono upi unaongelea ww
Mosi, kuna Watumishi wa Umma na Watumishi wa Taasisi na Agencies za Umma!

Hawa watumishi wa umma ndio ambao mishahara yao inafanana fanana across various sectors! Ndo maana utakuta Wakili wa Serikali Grade II anaanza na Salary Scale ya Grade D, at the same time Mhasibu Grade II nae anaanza na Salary Scale Grade D!

Kinyume chake, taasisi na agencies za serikali zina grading yao ya mishahara, na haifanani kutoka sekta moja na nyingine! Kwa mfano, salary scales ya public universities haiwezi kuwa sawa na salary scale, say ya TBS!

Salary scale ya TBS haiwezi kuwa sawa na salary scale ya THA or TRA!

Kuna taasisi/agencies ambazo DIRECTLY zinazalisha pesa for the govt wakati zingine kazi yao ni kutumia pesa inayotengenezwa na taasisi zingine!!

TRA, THA, Ngorongoro, and the like; hawa wanazalisha pesa but still salary scales zao haziwezi kuwa sawa!!
 
Watu wanataja mishahara ya vijiweni,Fanya utafiti utajua kwamba mishahara sio constant kama mnavyodhani hizo scale za constant ni halmashauri na serikali kuu ambapo sometime unaweza kuwa na master ila mshahara usizidi m 1.2 na Taasisi za umma ambazo zinajitengenea faida mishahara ni minono utakuta Mara tatu ya halmashauri hasa kama umeajiliwa ukiwa na uzoefu wanao utaka wao ila kama ni graduate ndo unaingia unafata scale za kawaida tu.

So mkuu kama unataka kwenda usiende halmashauri Uko kuna majungu sana na kurogana we nenda taasisi zinazotengeneza na kuigawaia serikali na sio zinazopiga hodi wizara ya fedha kila mwaka zikumbukwe ili zijiendeshe,
Zipo taasisi nyingi zinatemgeza pesa nzuri na wanalipana vizuri siwezi kuzitaja maana itakuwa ni ujuaji we tafiti utazijua anzia wizara ya fedha ,then nenda kilimo,maliasili utapata majibu sahihi .
taja hata taasisi nne tu twaweza jua pa kuanzia mkuu.
 
Tra ndio maana inapendwa sana na graduates wanatangaza nafasi 7 watu wanaomba zaidi ya 3900, maana yake tra inaonyesha pengine labda kuna pesa.
Hata walio ofisi nyingine wanaomba TRA nafasi zikitoka. Wakipata wanaacha kazi ya zamani
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Mkuu NIMR unawachukuliaje?
Wanatakiwa kuwa 2 au 3 hapo
 
Huo ndio ukweli, mtu kafulia lakini kila Siku anasukuma gari ya 2400CC kutoka bunju hadi ofisini posta. Fanya wewe na TGS yako uone cha moto.
Hahaa na bata anakula kama kawa.
 
Huo ndio ukweli, mtu kafulia lakini kila Siku anasukuma gari ya 2400CC kutoka bunju hadi ofisini posta. Fanya wewe na TGS yako uone cha moto.
Duh bunju posta mafuta mengi sana aisee,
Hiyo mtu mshahara wake labda 5M
 
Lkn Kuna agencies ambazo zinatumia scale za serikali kuu Kama TBA, hii inalizungumxiaje?
TBA bado hawajapata mkurugenzi mwenye msimamo kama yule wa MSD aliyeongeza posho ya nyumba bila kibali cha katibu mkuu
 
TBA bado hawajapata mkurugenzi mwenye msimamo kama yule wa MSD aliyeongeza posho ya nyumba bila kibali cha katibu mkuu
Pengine anaogopa kutokana na upepo ulivyo hivi Sasa, Mimi nlitegemea TBA wangekua na scale zao, ijapokuwa cjajua watumishi wake wanaishije uenda marurupu na safari wanapata
 
Pengine anaogopa kutokana na upepo ulivyo hivi Sasa, Mimi nlitegemea TBA wangekua na scale zao, ijapokuwa cjajua watumishi wake wanaishije uenda marurupu na safari wanapata
Apo ndo wanapopiga pesa hawa.
 
natoa salary za ICTO 2,

1. TPDC==I don't know
2. TCRA==2.0m
4. Ngorongoro==1.8m
3. Ewura==I don't know
4. WCF==2.0m
5. TBS==I don't know
5. TANAPA==1.8m
5. Tume ya madini==I don't know
6. Mamlaka ya chakula na dawa==I don't know
7. SSRA==2.0m
8. NSSF/PSSS==I don't know
9. BOT==I don't know
9. Bunge==I don't know
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali==I don't know
10. TASAC==1.5m
10. TRA==2.5m
11. MSD==I don't know
11. TAKUKURU==I don't know
11. EGA==2.61m
12. NHIF==1.6m
13. TPA==1.6m
13. TIC==I don't know
 
natoa salary za ICTO 2,

1. TPDC==I don't know
2. TCRA==2.0m
4. Ngorongoro==1.8m
3. Ewura==I don't know
4. WCF==2.0m
5. TBS==I don't know
5. TANAPA==1.8m
5. Tume ya madini==I don't know
6. Mamlaka ya chakula na dawa==I don't know
7. SSRA==2.0m
8. NSSF/PSSS==I don't know
9. BOT==I don't know
9. Bunge==I don't know
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali==I don't know
10. TASAC==1.5m
10. TRA==2.5m
11. MSD==I don't know
11. TAKUKURU==I don't know
11. EGA==2.61m
12. NHIF==1.6m
13. TPA==1.6m
13. TIC==I don't know
TAMISEMI MTU anastaafu na 2.2mill wakati hao WCF anaanza kazi na 2.0mill.
Halafu serikali ya wanyonge IPO na inaomba ridhaa tena miaka mengine mitano.
 
TAMISEMI MTU anastaafu na 2.2mill wakati hao WCF anaanza kazi na 2.0mill.
Halafu serikali ya wanyonge IPO na inaomba ridhaa tena miaka mengine mitano.

Ndio mana kumbe WCF madereva wao wana uwezo wa kumvimbia hata mtu na degree yake mabegani aisee...!
 
Sijaona mamlaka ya usafiri wa anga TCAA
 
Back
Top Bottom