Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania


Usiwe unaandika tu ili mradi nawe uonekane ume-comment muda mwengine uwe unajaribu kuficha ujinga wako itakusaidia kwa njia moja au nyingine mama. Ahsante.

Screenshot_20200621-221445.png
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Taarifa yako haijakamilika. Wanalipwa kiasi gani? Tuwekee hapa, isije ikawa ni majungu tu
 
Kwenye kila Kampuni kuna range ya mishahara kuanzia ya chini mpaka ya juu!! Hivi vikampuni vidogo vidogo ndio vinavyolipa mishahara minono sana kuliko mijikampuni yenye majina makubwa!! Kuna Dogo wa kitaani ameajiriwa kampuni ndogo to anakunja "MIGUU SITA" aka MILIO 6 aka Meter 6 hiyo inayoingia BANKWA.
 
Walinzi tu wa TAA wanakuja 900k...apo kakatwa kila kitu wakati mwalimu anakuja 510K tena wa digrii huyu.....
Hawahawa wanaotukamata pale kwa kukanyaga mistari na kutaka tuwaachie chochote kitu? Una utan ww[emoji28]
 
Kwenye kila Kampuni kuna range ya mishahara kuanzia ya chini mpaka ya juu!! Hivi vikampuni vidogo vidogo ndio vinavyolipa mishahara minono sana kuliko mijikampuni yenye majina makubwa!! Kuna Dogo wa kitaani ameajiriwa kampuni ndogo to anakunja "MIGUU SITA" aka MILIO 6 aka Meter 6 hiyo inayoingia BANKWA.
Hamna kampun ndogo inayolipa hela hyo
 
Back
Top Bottom