botafongo jr
Senior Member
- Aug 13, 2013
- 107
- 17
OSHA nao nasikia wapo vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SikweliChuo cha Nelson Mandela dereva anachukua 1mil na ushee. Bado trip na overtime...!
Sikweli
ShavuUsiwe unaandika tu ili mradi nawe uonekane ume-comment muda mwengine uwe unajaribu kuficha ujinga wako itakusaidia kwa njia moja au nyingine mama. Ahsante.
View attachment 1506301
Binafsi nimesoma nikaishia tu kushangaa
Nadhani kuna namna tunaishi kwa kukaririshwa sana.
Mleta mada hajajua kuna taasisi zinalipa vizuri hizo alizozitaja hapo zinasubiri..
Mfano mdogo ni CMSA..
Sent using Jamii Forums mobile app
Shavu
Walinzi tu wa TAA wanakuja 900k...apo kakatwa kila kitu wakati mwalimu anakuja 510K tena wa digrii huyu.....
Taarifa yako haijakamilika. Wanalipwa kiasi gani? Tuwekee hapa, isije ikawa ni majungu tuWakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
CMSA hawa noma
600K ivi ila malupulupu kibao...Hivi madereva wao wanakunja shingapi kiongozi...?
600K ivi ila malupulupu kibao...
Hilo tangazo lako umeficha ficha sana haielezei ni position ganiUsiwe unaandika tu ili mradi nawe uonekane ume-comment muda mwengine uwe unajaribu kuficha ujinga wako itakusaidia kwa njia moja au nyingine mama. Ahsante.
View attachment 1506301
Hawahawa wanaotukamata pale kwa kukanyaga mistari na kutaka tuwaachie chochote kitu? Una utan ww[emoji28]Walinzi tu wa TAA wanakuja 900k...apo kakatwa kila kitu wakati mwalimu anakuja 510K tena wa digrii huyu.....
Sh.ngap?CMSA hawa noma
Hamna kampun ndogo inayolipa hela hyoKwenye kila Kampuni kuna range ya mishahara kuanzia ya chini mpaka ya juu!! Hivi vikampuni vidogo vidogo ndio vinavyolipa mishahara minono sana kuliko mijikampuni yenye majina makubwa!! Kuna Dogo wa kitaani ameajiriwa kampuni ndogo to anakunja "MIGUU SITA" aka MILIO 6 aka Meter 6 hiyo inayoingia BANKWA.
Sh 3000/-Sh.ngap?