Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Na serikalini kinachowaokoa WATUMISHI baadhi ya taasisi NI maposho na upigaji taasisi km NAOT pale MISHAHARA NI ya kawaida

ila Kazi zao NI za field trip Sana hivyo kinawabeba posho...
Hiv NAOT wana posho nzuri kaka? Maana mishara yao ni midogo sana kawaida sana.
 
A
kwa maelezo yako mkuu inaonyesha huna uhakika ulichokiandika!
ulishafanya proff yoyote ukajua kiasi wanacholipwa ngorongoro?
ook hivi hujui Afisa tuu wa TRA mwenye dip anavuta mpunga mrefu!!? Mbali na hayo makando kando uliyoyaorodhesha!?

Sent using Jamii Forums mobile app
fiSa II wa TRA yoyote anaanzia 2.7 hiyo ndo tra scale ya sasa 4.1 scale, unakatwa laki 4 ya tra hapo hpo, inabaki 2.3 nfo makato mengine yanafuata baada ya makato ni around 1.68 mil take home hiyo, naongea nikiwa nasoma mkataba wa mwaka huu wa mshikaji wangu wa karibu sana.

Tuzidi kusaidiana kwa data zaidi ili tuujue ukweli, jamani nataka kujua kuhusu hawa NAOT najua mshahara tgs E ni wq kawaiiida sana, vip posho zip jamani mwenye data halisi tusaidiane ikiwezekana nataka nitoke private nalipwa 900,000 niingile setikalin database audit, kabla sijaanza kujiumiza na hizi interview ningependa nipate data kwa wazalendo wenzangu kutoka kwenye hii forum.
 
Mtoa mada nikupe tu TAARIFA WATUMISHI wengi NI WATUMISHI wa kawaida wasokua na vyeo

Na mshahara wa MWISHO wa mtumishi wa serikali NI sh 2,727,500/- unless km ana cheo km mkuu wa KITENGO au idara au mkuu wa taasisi msikaririshane Mambo ambayo hayapo na nkupe tu TAARIFA huyo ambaye yupo TRA mwenye degree anaeanza Kazi Hana tofauti na mwenye degree ya maendeleo ya JAMII wa Moshi vijijini

Sent using Jamii Forums mobile app
Umekaririshwa mkuu
 
Tatizo la kuja na mada bila utafiti wa kutosha ndiyo hili hapo hakuna chochote kwenye hiyo list hapo kuna watu wana mishahara bana katengeneze list nyingine hizo taasisi inawezekana hao watu wa Karibu yako wanakuzidi mshahara unadhani ndiyo wanalipa vizuri just kwa sababu unalipwa kidogo ya wao..
 
Sasa ndugu si ungeziorodhesha tu hapa nasi tupate kuzifahamu kuliko kumpa kazi tena ya kutafuta orodha mpya
Tatizo la kuja na mada bila utafiti wa kutosha ndiyo hili hapo hakuna chochote kwenye hiyo list hapo kuna watu wana mishahara bana katengeneze list nyingine hizo taasisi inawezekana hao watu wa Karibu yako wanakuzidi mshahara unadhani ndiyo wanalipa vizuri just kwa sababu unalipwa kidogo ya wao..
 
fiSa II wa TRA yoyote anaanzia 2.7 hiyo ndo tra scale ya sasa 4.1 scale, unakatwa laki 4 ya tra hapo hpo, inabaki 2.3 nfo makato mengine yanafuata baada ya makato ni around 1.68 mil take home hiyo, naongea nikiwa nasoma mkataba wa mwaka huu wa mshikaji wangu wa karibu sana, tuzidi kusaidiana kwa data zaidi ili tuujue ukweli...
Mkuu una uhakika?
 
Hv wadau mshahara mkubwa Unaazia kiasi gani maana humu ndani kila figure zikiwekwa watu wanasema ndogo
Mpaka nashangaa inawezekana watu humu wana mishahara ya kibabe sana.
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Serikali hailipi mkuu, taasisi za serikali ni njaa tu labda zikiwa ofisi kama hizo zenye madeal muda wote...ila mshahara hawana, kwenye mashirika ya wakimbizi haya mkuu ni hatari
 
Back
Top Bottom