Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Walimu wanalipwa vizuri balaa hapa Tz
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1.TPDC
2. TCRA
4.Ngorongoro
3.Ewura
4. WCF
5.TBS
5.TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7.SSRA
8.NSSF/PSSSF
9.BOT
9.Bunge
9.ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10.TASAC
10. TRA
11.MSD
11.TAKUKURU
11. EGA
12.NHIF
13.TPA
13. TIC
14.KADCO
15.TANESCO
16.TANROAD
17.TAA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muongo huyo!
Anatuuzia chai

We jamaa Mshamba kweli; Milioni 21 kwa mwezi kwako ni hela ? Unajua kazi ninazofanya?

Mkurugenzi wa MSD Aliyetumbuliwa anapokea 20 M kwa mwezi ; Mbona mishahara ya 20 M ni kawaida hata bongo!

Unajua Range za mishahara ya WHO?

Punguzeni ushamba basi kwa yale msiyoyajua. Unaweza kusikia nalipwa Dola hizo lakini do you know work permit nalipia kiasi gani kila mwaka ?

Yaani katika East Africa Tz ndio taifa Lina watu washamba na wasiokuwa na exposure ya maisha.


Mk54
 
We jamaa Mshamba kweli; Milioni 21 kwa mwezi kwako ni hela ? Unajua kazi ninazofanya?

Mkurugenzi wa MSD Aliyetumbuliwa anapokea 20 M kwa mwezi ; Mbona mishahara ya 20 M ni kawaida hata bongo!

Unajua Range za mishahara ya WHO?

Punguzeni ushamba basi kwa yale msiyoyajua. Unaweza kusikia nalipwa Dola hizo lakini do you know work permit nalipia kiasi gani kila mwaka ?

Yaani katika East Africa Tz ndio taifa Lina watu washamba na wasiokuwa na exposure ya maisha.


Mk54
CEO wa MSD anakula 20s M kumbe! Yaani anamzidi JAJI kweli?
Tatizo sio ushamba, Kenya kuna maCEO wanalipwa million 100+ za Tanzania, unasema million 20 sio hela uko nyuma ya keyboard ha ha sasa ukitaka kujua milioni 20 ni hela au sio hela kwa nchi yetu hii Fanya study ujue ni watumishi wangapi wa umma na binafsi wanapokea 20M kwa mwezi, kwa nchi kama Kenya ni kweli milioni 20 sio hela kubwa sana kwa sababu kuna watu wanakula hadi milioni 500 (including bonus) kwa mwezi,
UN agencies zina hela haina ubishi issue ni je wewe unafanya kazi huko? Au unatuuzia Chai muda upite, na kama uko huko WHO au taasisi yenye maslahi (kwa maana wewe mwenzetu una exposure) unaonaje ukatoa mbinu kwa vijana wenzio ili wafike huko kwenye 'exposure' ?
 
CEO wa MSD anakula 20s M kumbe! Yaani anamzidi JAJI kweli?
Tatizo sio ushamba, Kenya kuna maCEO wanalipwa million 100+ za Tanzania, unasema million 20 sio hela uko nyuma ya keyboard ha ha sasa ukitaka kujua milioni 20 ni hela au sio hela kwa nchi yetu hii Fanya study ujue ni watumishi wangapi wa umma na binafsi wanapokea 20M kwa mwezi, kwa nchi kama Kenya ni kweli milioni 20 sio hela kubwa sana kwa sababu kuna watu wanakula hadi milioni 500 (including bonus) kwa mwezi,
UN agencies zina hela haina ubishi issue ni je wewe unafanya kazi huko? Au unatuuzia Chai muda upite, na kama uko huko WHO au taasisi yenye maslahi (kwa maana wewe mwenzetu una exposure) unaonaje ukatoa mbinu kwa vijana wenzio ili wafike huko kwenye 'exposure' ?

Sawa. Majibu yote yapo kwenye maandiko yako. Ni wewe kuchagua utatumia Jibu gani kk.

Thanks


Mk54
 
Screenshot_2020-02-16-09-40-34.jpeg
Screenshot_2020-02-16-09-41-37.jpeg
Screenshot_2020-02-16-09-41-29.jpeg
Screenshot_2020-02-16-09-41-57.jpeg
Screenshot_2020-02-16-09-41-45.jpeg
 
Kuna kitu wengi hamkijui bado humu ndani.
Mishahara kwa kada zinazofanana Tanzania haipishani sana but utofauti unakuja kwenye syringe benefits. Wengine wanalipa posho ya pango ya nyumba, usafiri, vocha na lunch bila kusahau overtime.
Sasa hapa ndipo magape yanapojitokeza.
Dereva anayeanza kazi kuna sehemu akikusanyiwa anaondoka na 2.1 as take home. Sehemu nyingine take home ya dereva ni 3.5 hapo hana cha ziada zaidi ya kusubiri safari.
 
Ni sahihi kabisa. Nimefanya kazi taasisi ya Serikali, Mshahara wangu wa kwanza ulikuwa 1.5K. Take home ilikuwa laki 9. Miaka 3 baadae nikaenda kwenye NGO, nikawa nalipwa 3.8Mil kwa mwezi na safari kila wakati.

Baada ya miaka 3 wazungu hao hao wakatoa Post kwa wanaotaka kufanya kazi nchi za nje. Tukafanya interview tukapita wachache sana mwishowe tukabaki 3 tu.

Wakatupa shavu kufanya internship Uholanzi mwaka mmoja, baada ya hapo tukapelekwa kwenye vituo vya kazi, mimi nikapangiwa Nambia. Salary yangu niliyoanza nayo ilikuwa ni USD 9, 400 plus house and transport allowance.

Je kuna Afisa anayelipwa hivo serikalini ?

Wakurugenzi (DG)wa taasisi tajwa wengi wanacheza kati ya 15M hadi 20 M plus risk ya kutumbuliwa muda wowote kama Nehemia.

Wenzangu niliowaacha Serikali I am sure mpaka leo bado hawajafika salary ya 4M, tena sidhani kabisa maana sijasikia kupanda kwa madaraja wala salary.

Kibaya zaidi taasisi zote kwa sasa wanatakiwa kufuata sheria za Utumishi wa Umma Kwenye kupandisha salary na madaraja.

Tofauti na mwanzo; taasisi kama MSD, NHIF, TPA zilikuwa zinaajiri wenyewe na wanaviwango vyao vya mishahara na madaraja na ndio maana ukienda hizo taasisi unakuta Mkurugenzi, Manager, Afisa Wote wana Masters yaaani wapo sawa; tofauti yao ni aliyekaa muda mwingi ofisini na mwenye performance nzur.

Yaani hupaswi kuwa jeuri maana inawezekana leo nina report kwako but in few years Wewe uta report kwangu na utakuwa chini yangu.

Hakuna watu wana njaa kama watumishi wa umma; na ndio maana wakurugenzi wa hizo taasisi wanaishi kwa ku deal fake na rushwa. Unashangaa Yaani unakamatwa na Takukuru; ili akuachie Wanakuomba Rushwa lol [emoji23] .




Mk54
Niliajiriwa kampuni moja, nilikuwa nalipwa hela kiduchu tu na degree yangu(600k) take home plus accommodation (nyumba,chakula,umeme, maji)

Hiyo sio story wadau!!

Aisee nilikuta kuna jamaa wanavuta mpunga mrefu sana na wengi wabongo tu....Nilibahatika kuwa rafiki na human resources manager alikuwa ananihamasisha sana... Alivunja maadili ya kazi yake na kuniambia mishahara ya wadau nilichoka kuna mbongo tulikuwa naye alikuwa anavuta dola elfu 10.

Huyu boss wangu mwenyewe alikuwa anavuta 8m alikuw na Masters by then na akawa ameomba kupiga PhD. Na hiyo 8m sio kwamba ni mkongwe kazini hapana alikuwa na kama mwaka tu alikuja pale kwenye kampuni akitokea Barrick.

Hatimaye mkataba ulipoisha niliamua kutembea. Kikubwa nilichojifunza kwa boss wangu ili ulipwe vizuri inabidi uwe na qualifications konki, wakati naondoka alinisisitiza sana sana nisome [emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1.TPDC
2. TCRA
4.Ngorongoro
3.Ewura
4. WCF
5.TBS
5.TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7.SSRA
8.NSSF/PSSSF
9.BOT
9.Bunge
9.ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10.TASAC
10. TRA
11.MSD
11.TAKUKURU
11. EGA
12.NHIF
13.TPA
13. TIC
14.KADCO
15.TANESCO
16.TANROAD
17.TAA
TISS IKO WAPI????
 
Kama bajeti yao tu bungeni haijadiliwi, je mshahara ambao hata teacher wa primary anavyopewa barua ya mkataba wa mshahara huandikiwa ni siri ilhali sote tunajua salary ya mwalimu?
Kule utaambulia posho ya suit au kombati tu
unajua unachokisemaaaaa???/
 
Niliajiriwa kampuni moja, nilikuwa nalipwa hela kiduchu tu na degree yangu(600k) take home plus accommodation (nyumba,chakula,umeme, maji)

Hiyo sio story wadau!!

Aisee nilikuta kuna jamaa wanavuta mpunga mrefu sana na wengi wabongo tu....Nilibahatika kuwa rafiki na human resources manager alikuwa ananihamasisha sana... Alivunja maadili ya kazi yake na kuniambia mishahara ya wadau nilichoka kuna mbongo tulikuwa naye alikuwa anavuta dola elfu 10.

Huyu boss wangu mwenyewe alikuwa anavuta 8m alikuw na Masters by then na akawa ameomba kupiga PhD. Na hiyo 8m sio kwamba ni mkongwe kazini hapana alikuwa na kama mwaka tu alikuja pale kwenye kampuni akitokea Barrick.

Hatimaye mkataba ulipoisha niliamua kutembea. Kikubwa nilichojifunza kwa boss wangu ili ulipwe vizuri inabidi uwe na qualifications konki, wakati naondoka alinisisitiza sana sana nisome [emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
Mshahara wa 8 M ni mkubwa lakini hapo kodi ni 30% (kama sikosei)
 
Back
Top Bottom