Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Mimi sijataka kubishana nae sababu kubishana na mbishi ni kujiumiza kichwa..

Tra degree holder wana entrance position ambazo mojawapo ni assistant custom officer, assistant tax officer, etc... hizo nafasi mshahara wake haufiki hata milioni moja gross
Ww upo TRA? huo mshahara ndio wanaopokea.. Usipende kubishia vitu usivyovijua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1.TPDC
2. TCRA
4.Ngorongoro
3.Ewura
4. WCF
5.TBS
5.TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7.SSRA
8.NSSF/PSSSF
9.BOT
9.Bunge
9.ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10.TASAC
10. TRA
11.MSD
11.TAKUKURU
11. EGA
12.NHIF
13.TPA
13. TIC
14.KADCO
15.TANESCO
16.TANROAD
17.TAA
unajilopokea kwa sababu haujui....mwone kwanza...😕😕😕😕😕😕😕😕😕😕
 
Kwenye blue, nakukumbusha kuwa hata kwenye mashirika ya umma napo ni serikalini. Daktari (MD) aliyesoma miaka mitano anaefanya kazi Temeke Hospitali analipwa 1.48 M wakati Fundi Sanifu wa Dawa (Pharmaceutical Technician) aliyesoma miaka mitatu aliyepo TFDA (then) alikua analipwa 1.2M. hapo hatujui wa juu wanalipwaje. Kwa hiyo hii general statement naona haijakaa sawa.

Kwenye red, hawaangalii tu miaka mingapi uliyosoma, pia kuna cheo. Kama wewe umesoma miaka minne mimi nimesoma mitatu ila wote tuna cheo/position moja, mishahara yetu itakua sawa sawa.

Kwa hiyo tukubaliane kwamba, kuna sehemu hapo serikalini (serikali kuu/serikali za mitaa na mashirika/taasisi za umma), cheo/position, miaka uliyosoma, unyeti wa taaluma n.k zote kwa pamoja zinadetermine nani analipwa nini.

Karibu.

Kuna baadhi ya sehem umepatia ila kwingine umekosea ndo maana nikatoa mfano kuwa mfano kuwa kama wewe umesomea bsc pharmacy na mm nikasoma Md na tukaajiriwa sehem moja md atakuwa na mshahara mkubwa kuliko pharmacist

But mfano huyu pharmacist akaajiriwa kwenye parastatal organization ie TFDA ataanza na mshahara mkubwa kuliko pharmacist ambae kaajiriwa na serikali kuu(halmashauri)
Mfano Md akiajiriwa halmashauri huwa ana mshahara wa kati ya 1.4-1.5
Ila Md huyu huyu kama angeajiriwa Kwenye parastatal organization kama muhimbili angekuwa na mshahara zaid ya 1.5m


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwa hiyo tukubaliane kwamba, kuna sehemu hapo serikalini (serikali kuu/serikali za mitaa na mashirika/taasisi za umma), cheo/position, miaka uliyosoma, unyeti wa taaluma n.k zote kwa pamoja zinadetermine nani analipwa nini.

Karibu.
Hapa naweza nikakubaliana na ww
Ila mimi nilichokuwa nakisema ni kwamba katika degree zote hapa Tz mkiajiriwa serikalini degree zenye mishahara mikubwa kuliko zote regardless upo serikali kuu or kwenye parastatal organization ni MD,DDS,DVM,Pharmacy,nursing and engineer






Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwenye red, hawaangalii tu miaka mingapi uliyosoma, pia kuna cheo. Kama wewe umesoma miaka minne mimi nimesoma mitatu ila wote tuna cheo/position moja, mishahara yetu itakua sawa sawa.



Karibu.

Hapa ni kweli ila kwenye cheo c ni mpaka ufanye kazi mda fulani mi nasema at the time mnaajiriwa MD anakuwa na salary ndefu kuzid wengine

Nakubaliana na ww hapo ambapo umesema kuwa tunaweza kusoma course tofauti ila position yetu ikawa moja na tukalipwa sawa
Mfano daktari na pharmacist watalipwa mshahara sawa endapo wote wataajiriwa kama drug inspectors [emoji1417][emoji1417][emoji1417][emoji1417]




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1.TPDC
2. TCRA
4.Ngorongoro
3.Ewura
4. WCF
5.TBS
5.TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7.SSRA
8.NSSF/PSSSF
9.BOT
9.Bunge
9.ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10.TASAC
10. TRA
11.MSD
11.TAKUKURU
11. EGA
12.NHIF
13.TPA
13. TIC
14.KADCO
15.TANESCO
16.TANROAD
17.TAA
Asante kwa kutujuza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye blue, nakukumbusha kuwa hata kwenye mashirika ya umma napo ni serikalini. Daktari (MD) aliyesoma miaka mitano anaefanya kazi Temeke Hospitali analipwa 1.48 M wakati Fundi Sanifu wa Dawa (Pharmaceutical Technician) aliyesoma miaka mitatu aliyepo TFDA (then) alikua analipwa 1.2M. hapo hatujui wa juu wanalipwaje. Kwa hiyo hii general statement naona haijakaa sawa.



Karibu.
Hapo ni kwamba hao wawili wote wameajiriwa sehem tofauti tfda ni parastatal organization while temeke ni serikali kuu so automatically huyo pharmacist atakuwa na salary iliyoongezeka kidg
Ila hao wawili wangekuwa wote hapo temeke expect kwamba huyo msanifu dawa atakuwa na salary ndogo kuliko alie TFDA/TMDA



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Not true
Mtoa mada nikupe tu TAARIFA WATUMISHI wengi NI WATUMISHI wa kawaida wasokua na vyeo

Na mshahara wa MWISHO wa mtumishi wa serikali NI sh 2,727,500/- unless km ana cheo km mkuu wa KITENGO au idara au mkuu wa taasisi msikaririshane Mambo ambayo hayapo na nkupe tu TAARIFA huyo ambaye yupo TRA mwenye degree anaeanza Kazi Hana tofauti na mwenye degree ya maendeleo ya JAMII wa Moshi vijijini

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom