Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Katika degree zote hapa Tanzania degree yenye mshahara mkubwa mkiajiriwa serikalini ni udaktari ndo inaongoza

Kuna Md,Dds,Dvm then wanafuata manesi(bsc nursing) na engineers

Hii ni kwa sabab serikalini scale ya mshahara ya kuanzia huwa wanaangalia degree uliyosoma ni ya miaka mingap
Ndo maana madaktari( Md,Dds na Dvm) ndo huwa wana mshahara Mkubwa kuliko degree zingine kama engineers ambazo ni miaka minne

So kama daktari na engineer wataajiriwa sehem moja kwa wakat mmoja ie halmashauri daktari atakuwa na mshahara mkubwa kidogo kuliko mhandisi


Sent from my iPhone using JamiiForums

Kwenye blue, nakukumbusha kuwa hata kwenye mashirika ya umma napo ni serikalini. Daktari (MD) aliyesoma miaka mitano anaefanya kazi Temeke Hospitali analipwa 1.48 M wakati Fundi Sanifu wa Dawa (Pharmaceutical Technician) aliyesoma miaka mitatu aliyepo TFDA (then) alikua analipwa 1.2M. hapo hatujui wa juu wanalipwaje. Kwa hiyo hii general statement naona haijakaa sawa.

Kwenye red, hawaangalii tu miaka mingapi uliyosoma, pia kuna cheo. Kama wewe umesoma miaka minne mimi nimesoma mitatu ila wote tuna cheo/position moja, mishahara yetu itakua sawa sawa.

Kwa hiyo tukubaliane kwamba, kuna sehemu hapo serikalini (serikali kuu/serikali za mitaa na mashirika/taasisi za umma), cheo/position, miaka uliyosoma, unyeti wa taaluma n.k zote kwa pamoja zinadetermine nani analipwa nini.

Karibu.
 
Kwenye blue, nakukumbusha kuwa hata kwenye mashirika ya umma napo ni serikalini. Daktari (MD) aliyesoma miaka mitano anaefanya kazi Temeke Hospitali analipwa 1.48 M wakati Fundi Sanifu wa Dawa (Pharmaceutical Technician) aliyesoma miaka mitatu aliyepo TFDA (then) alikua analipwa 1.2M. hapo hatujui wa juu wanalipwaje. Kwa hiyo hii general statement naona haijakaa sawa.

Kwenye red, hawaangalii tu miaka mingapi uliyosoma, pia kuna cheo. Kama wewe umesoma miaka minne mimi nimesoma mitatu ila wote tuna cheo/position moja, mishahara yetu itakua sawa sawa.

Kwa hiyo tukubaliane kwamba, kuna sehemu hapo serikalini (serikali kuu/serikali za mitaa na mashirika/taasisi za umma), cheo/position, miaka uliyosoma, unyeti wa taaluma n.k zote kwa pamoja zinadetermine nani analipwa nini.

Karibu.
Kabisa mkuu
 
[emoji23][emoji23]Kumbe ulifanya kazi Tra saccos, kibarua chako pale Tra saccos kilikoma mwaka gani? nianzie hapo kwanza mana kwa majibu wa maelezo yako bila shaka kwa sasa sio mtumishi wa Tra saccos, ila tu kwa kukusaidia waulize wale maofisa wa Tra saccos kama bado una connection nao scale ya Tras 3/1, Tras 3/2, Tras 4/1 after lawson wanapokea kiasi gani hao ni maofisa wa kawaida sana na highest scale inagotea 12 huko usifike. Na none officers wote naamanisha ma office attendants na nk net salary yao not less than 800k.
Uko sahihi.. yaan yule office attendant mwenye certificate anapokea 800k ikiwa imeshakatwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kujuzwa kinachofany mtu apande mshahara n nin??chambua kwa kutumia fani/kada husika.....Na kinachoamua waajiriwa wa awamu ya kwanza wasilingane mshahara n nin??au wapate tofauti ya mshahara Ni nin??kwa kada husika
 
Mtoa mada nikupe tu TAARIFA WATUMISHI wengi NI WATUMISHI wa kawaida wasokua na vyeo

Na mshahara wa MWISHO wa mtumishi wa serikali NI sh 2,727,500/- unless km ana cheo km mkuu wa KITENGO au idara au mkuu wa taasisi msikaririshane Mambo ambayo hayapo na nkupe tu TAARIFA huyo ambaye yupo TRA mwenye degree anaeanza Kazi Hana tofauti na mwenye degree ya maendeleo ya JAMII wa Moshi vijijini

Sent using Jamii Forums mobile app

Huu ni uongo mkubwa, kuna watu sio wakuu wa vitengo wala idara ila wanalipwa hela zaidi ya hiyo uliyoandika nina uhakika na hili.
 
Binafsi nimesoma nikaishia tu kushangaa
Nadhani kuna namna tunaishi kwa kukaririshwa sana.
Mleta mada hajajua kuna taasisi zinalipa vizuri hizo alizozitaja hapo zinasubiri..
Mfano mdogo ni CMSA..


Sent using Jamii Forums mobile app

Watu wanakariri sana[emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna Taasisi naijua wanalipa vizuri tu ila sijaiona hapo ikitajwa.
 
Pamoja nakukosa kwako uadilifu kwakutangaza mishahara ya watu acha nikujibu tu na mimi nikose uadilifu kama wewe.
mshahara wa kuanzia TRA kwa bachelor holder kwasasa ni zaidi ya milioni 2.3 bado alowance nyingine na ndio maana wameacha wizi..
Wameacha wizi upi huo unaosema? Halafu hii 2.3 unayotaja ni TRA officer gani huyo kwa hiyo ngazi ya degree? Kuna TRA wanaanzia kazi makao makuu na wengine wanapelekwa huko wilayani sasa hiyo 2.3 unayosema kisa degree sio kweli kachunguze tena utarudisha jibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wameacha wizi upi huo unaosema? Halafu hii 2.3 unayotaja ni TRA officer gani huyo kwa hiyo ngazi ya degree? Kuna TRA wanaanzia kazi makao makuu na wengine wanapelekwa huko wilayani sasa hiyo 2.3 unayosema kisa degree sio kweli kachunguze tena utarudisha jibu

Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi sijataka kubishana nae sababu kubishana na mbishi ni kujiumiza kichwa..

Tra degree holder wana entrance position ambazo mojawapo ni assistant custom officer, assistant tax officer, etc... hizo nafasi mshahara wake haufiki hata milioni moja gross
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1.TPDC
2. TCRA
4.Ngorongoro
3.Ewura
4. WCF
5.TBS
5.TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7.SSRA
8.NSSF/PSSSF
9.BOT
9.Bunge
9.ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10.TASAC
10. TRA
11.MSD
11.TAKUKURU
11. EGA
12.NHIF
13.TPA
13. TIC
14.KADCO
15.TANESCO
16.TANROAD
17.TAA
Tiss je?
 
Back
Top Bottom