Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
kwa hicho kiswahili ulicho andika nina wasiwasi kama ulifanya kazi bank tena Idara ya kutoa Mikopo???TPA
TRA
TANESCO
nimewaprocessia mikopo sana hao kipindi nafanya kazi bank flani mshahara wao wakawaida tu msikalili
Enzi za mwalimu walikuwa na posho sio sasa
Sent using Jamii Forums mobile app