Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Mtoa mada nikupe tu TAARIFA WATUMISHI wengi NI WATUMISHI wa kawaida wasokua na vyeo

Na mshahara wa MWISHO wa mtumishi wa serikali NI sh 2,727,500/- unless km ana cheo km mkuu wa KITENGO au idara au mkuu wa taasisi msikaririshane Mambo ambayo hayapo na nkupe tu TAARIFA huyo ambaye yupo TRA mwenye degree anaeanza Kazi Hana tofauti na mwenye degree ya maendeleo ya JAMII wa Moshi vijijini

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo unataka kusema huyo wa moshi vijijini anakula 1.8M? Mishahara ya halmashauri ni 900k tena kwa mzoefu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada nikupe tu TAARIFA WATUMISHI wengi NI WATUMISHI wa kawaida wasokua na vyeo

Na mshahara wa MWISHO wa mtumishi wa serikali NI sh 2,727,500/- unless km ana cheo km mkuu wa KITENGO au idara au mkuu wa taasisi msikaririshane Mambo ambayo hayapo na nkupe tu TAARIFA huyo ambaye yupo TRA mwenye degree anaeanza Kazi Hana tofauti na mwenye degree ya maendeleo ya JAMII wa Moshi vijijini

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo unataka kusema huyo wa moshi vijijini anakula 1.8M? Mishahara ya halmashauri ni 900k tena kwa mzoefu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona hamna sekta ya
Doctors
Nurses
Teachers
?!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hats Mimi nasubiri wenye uzoefu walete kwa fani hizo mipunga yao inakuaje
Mkuu mshahara kwa kiasi kikubwa unakua defined na position na sio elimu.

Daktari (MD) anaefanya kazi Halmashauri analipwa 1.48M kabla ya makato wakati yule anaefanya kwenye hospitali maalum (Muhimbili, Mlonganzila, MOI, Ocean Road) yeye yuko juu kidogo.

Hivyo hivyo kwa manesi, wafamasia na wachunguzi wa maabara.

Ila kwa ujumla fani za afya ni miongoni mwa wanaolipwa pesa ya kawaida sana, sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kimantiki hao wanaolipwa mamilioni ya fedha 10m** wawapite hata doctors ambao kazi yao n kuokoa uhai ambao haununuliwi kW fedha yoyote.....embu tujadili kazi yao Ina tija kiasi gan kwenye nchi/jamii au wanazalisha nini(kiuchumi) mpaka walipwe hvyo???mfano TPA,TRA,NHIF,TANAPA nk
 
Mkuu mshahara kwa kiasi kikubwa unakua defined na position na sio elimu.

Daktari (MD) anaefanya kazi Halmashauri analipwa 1.48M kabla ya makato wakati yule anaefanya kwenye hospitali maalum (Muhimbili, Mlonganzila, MOI, Ocean Road) yeye yuko juu kidogo.

Hivyo hivyo kwa manesi, wafamasia na wachunguzi wa maabara.

Ila kwa ujumla fani za afya ni miongoni mwa wanaolipwa pesa ya kawaida sana, sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Katika degree zote hapa Tanzania degree yenye mshahara mkubwa mkiajiriwa serikalini ni udaktari ndo inaongoza

Kuna Md,Dds,Dvm then wanafuata manesi(bsc nursing) na engineers

Hii ni kwa sabab serikalini scale ya mshahara ya kuanzia huwa wanaangalia degree uliyosoma ni ya miaka mingap
Ndo maana madaktari( Md,Dds na Dvm) ndo huwa wana mshahara Mkubwa kuliko degree zingine kama engineers ambazo ni miaka minne

So kama daktari na engineer wataajiriwa sehem moja kwa wakat mmoja ie halmashauri daktari atakuwa na mshahara mkubwa kidogo kuliko mhandisi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
TRA labda kuibia watu ila slip zao mishahara ya kawaida sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe binafsi unapokea kiasi gani kwa mwezi kama ni mwajiriwa na kama sio mwajiriwa tueleze wastani wa mapato yako kwa mwezi, mana kila mtu ana maoni yake linapokuja swala la kipato cha mtu na mara nyingi wengi tunapenda kulinganisha kile tunachopata na kinachosemwa kwa wengine. Ikiwa wewe kipato chako kwa mwezi ni zaidi ya mil 3 basi una haki ya kusema wana mishahara ya kawaida kwa upande wako, note: mil 3 ni mshahara wa ofisa wa kawaida ambaye ndio ana anaanza kazi au ana mwaka mmoja kazini. Alaf tujiulize the general life standard kwa watumishi hapa Tanzania either wa umma au sekta binafsi mtumishi anae pokea mil 3 kwa mwezi tunamweka ktk income standard ipi?! Mana the fact is ata huko sekta binafsi taasisi au mashirika yanayolipa kuanzia mil 3 kwa mwajiriwa mpya zipo chache sana
 
Wewe binafsi unapokea kiasi gani kwa mwezi kama ni mwajiriwa na kama sio mwajiriwa tueleze wastani wa mapato yako kwa mwezi, mana kila mtu ana maoni yake linapokuja swala la kipato cha mtu na mara nyingi wengi tunapenda kulinganisha kile tunachopata na kinachosemwa kwa wengine. Ikiwa wewe kipato chako kwa mwezi ni zaidi ya mil 3 basi una haki ya kusema wana mishahara ya kawaida kwa upande wako, note: mil 3 ni mshahara wa ofisa wa kawaida ambaye ndio ana anaanza kazi au ana mwaka mmoja kazini. Alaf tujiulize the general life standard kwa watumishi hapa Tanzania either wa umma au sekta binafsi mtumishi anae pokea mil 3 kwa mwezi tunamweka ktk income standard ipi?! Mana the fact is ata huko sekta binafsi taasisi au mashirika yanayolipa kuanzia mil 3 kwa mwajiriwa mpya zipo chache sana

Nani amekudanganya ofisa wa kawaida tra analipwa milion 3... net ya ofisa anaeanza kazi Tra hata milioni moja haifiki.. peleleza vizuri.. nimefanya kazi saccos ya tra .. nimecheza sana na salary slips zao.. milioni 3 na zaidi ya milion 3 wapo wanaolipwa ila ni wachache sana maana ni wale mabosi
 
Nani amekudanganya ofisa wa kawaida tra analipwa milion 3... net ya ofisa anaeanza kazi Tra hata milioni moja haifiki.. peleleza vizuri.. nimefanya kazi saccos ya tra .. nimecheza sana na salary slips zao.. milioni 3 na zaidi ya milion 3 wapo wanaolipwa ila ni wachache sana maana ni wale mabosi
😂😂Kumbe ulifanya kazi Tra saccos, kibarua chako pale Tra saccos kilikoma mwaka gani? nianzie hapo kwanza mana kwa majibu wa maelezo yako bila shaka kwa sasa sio mtumishi wa Tra saccos, ila tu kwa kukusaidia waulize wale maofisa wa Tra saccos kama bado una connection nao scale ya Tras 3/1, Tras 3/2, Tras 4/1 after lawson wanapokea kiasi gani hao ni maofisa wa kawaida sana na highest scale inagotea 12 huko usifike. Na none officers wote naamanisha ma office attendants na nk net salary yao not less than 800k.
 
Mkuu me nakupinga kuna tofauti kubwa ya mshahara kati ya mtumishi alioajiriwa Local government na mtumishi alioajiriwa kwny izi tasisi mtumishi mwny degree ambaye yupo local government (izi halmashauri zetu ) basic salary yke ni 710,000/ wakati kwny tasisi mwny degree wanaanza kuchukua 1.5m hadi 1.8m kutegemeana na taasisi

Sent using Jamii Forums mobile app
Usiendelee kubishana nae.

Unaweza ukawa nurse amana hospital ila ukalipwa tofauti sana na taasisi kama ya saratani ocean road.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂Kumbe ulifanya kazi Tra saccos, kibarua chako pale Tra saccos kilikoma mwaka gani? nianzie hapo kwanza mana kwa majibu wa maelezo yako bila shaka kwa sasa sio mtumishi wa Tra saccos, ila tu kwa kukusaidia waulize wale maofisa wa Tra saccos kama bado una connection nao scale ya Tras 3/1, Tras 3/2, Tras 4/1 after lawson wanapokea kiasi gani hao ni maofisa wa kawaida sana na highest scale inagotea 12 huko usifike. Na none officers wote naamanisha ma office attendants na nk net salary yao not less than 800k.
Kufikia mwaka 2018,mshahara wa officer anaeanza kazi Tra mwenye degree ulikua 960,000/=. kwa sasa sijui wanalipwaje
 
Mkuu mshahara kwa kiasi kikubwa unakua defined na position na sio elimu.

Daktari (MD) anaefanya kazi Halmashauri analipwa 1.48M kabla ya makato wakati yule anaefanya kwenye hospitali maalum (Muhimbili, Mlonganzila, MOI, Ocean Road) yeye yuko juu kidogo.

Hivyo hivyo kwa manesi, wafamasia na wachunguzi wa maabara.

Ila kwa ujumla fani za afya ni miongoni mwa wanaolipwa pesa ya kawaida sana, sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati muhasibu anakula 700,000/-
 
Back
Top Bottom