Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1.TPDC
2. TCRA
4.Ngorongoro
3.Ewura
4. WCF
5.TBS
5.TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7.SSRA
8.NSSF/PSSSF
9.BOT
9.Bunge
9.ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10.TASAC
10. TRA
11.MSD
11.TAKUKURU
11. EGA
12.NHIF
13.TPA
13. TIC
14.KADCO
15.TANESCO
16.TANROAD
17.TAA
Hiv mtukufu rais na watuwe wako taasis ipi hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na serikalini kinachowaokoa WATUMISHI baadhi ya taasisi NI maposho na upigaji taasisi km NAOT pale MISHAHARA NI ya kawaida

ila Kazi zao NI za field trip Sana hivyo kinawabeba posho

SERIKALINI watu wanafanyia njaa tu lakini hakuna MISHAHARA ya namna hiyo ila NI vimishahara vya kizalendo tu ili vipunguze gap la walonacho na wasonacho na ndio maana kuna walimu hawawez jenga mpk wapate pension unakuta mwalimu huyo kaishia 1,480,000/- pamoja na kufanya Kazi miaka 40 au 35

Bro Mambo yaone nje tu ila ndani balaa MISHAHARA mpk Sasa miaka 5 Sasa inakaribia hakuna MISHAHARA mipya


Sent using Jamii Forums mobile app
Acha Tu broo unaniumiza roho
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1.TPDC
2. TCRA
4.Ngorongoro
3.Ewura
4. WCF
5.TBS
5.TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7.SSRA
8.NSSF/PSSSF
9.BOT
9.Bunge
9.ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10.TASAC
10. TRA
11.MSD
11.TAKUKURU
11. EGA
12.NHIF
13.TPA
13. TIC
14.KADCO
15.TANESCO
16.TANROAD
17.TAA

Hakuna hata moja inayolipa vyema. Mshahara wa Afisa katika Taasisi zote hizo ni chini ya 1.7 bila makato. Ukiweka makato mpokeaji anapokea kati ya 1Mil To 800K inategemea kama alikopa Bodi.

Nadhani ulipaswa kusema Taasisi zenye mianya ya kupiga pesa kwa njia ya udokozi bila kudakwa kwa kipindi kirefu.

Na sio zote katika hizo. Ni chache kama vile tume ya madini, Ngorongoro, TPA, Takukuru MSD, GPSA, TRA.



Mk54
 
Hakuna hata moja inayolipa vyema. Mshahara wa Afisa katika Taasisi zote hizo ni chini ya 1.7 bila makato. Ukiweka makato mpokeaji anapokea kati ya 1Mil To 800K inategemea kama alikopa Bodi.

Nadhani ulipaswa kusema Taasisi zenye mianya ya kupiga pesa kwa njia ya udokozi bila kudakwa kwa kipindi kirefu.

Na sio zote katika hizo. Ni chache kama vile tume ya madini, Ngorongoro, TPA, Takukuru MSD, GPSA, TRA.



Mk54
kwa maelezo yako mkuu inaonyesha huna uhakika ulichokiandika!
ulishafanya proff yoyote ukajua kiasi wanacholipwa ngorongoro?
ook hivi hujui Afisa tuu wa TRA mwenye dip anavuta mpunga mrefu!!? Mbali na hayo makando kando uliyoyaorodhesha!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na serikalini kinachowaokoa WATUMISHI baadhi ya taasisi NI maposho na upigaji taasisi km NAOT pale MISHAHARA NI ya kawaida

ila Kazi zao NI za field trip Sana hivyo kinawabeba posho

SERIKALINI watu wanafanyia njaa tu lakini hakuna MISHAHARA ya namna hiyo ila NI vimishahara vya kizalendo tu ili vipunguze gap la walonacho na wasonacho na ndio maana kuna walimu hawawez jenga mpk wapate pension unakuta mwalimu huyo kaishia 1,480,000/- pamoja na kufanya Kazi miaka 40 au 35

Bro Mambo yaone nje tu ila ndani balaa MISHAHARA mpk Sasa miaka 5 Sasa inakaribia hakuna MISHAHARA mipya


Sent using Jamii Forums mobile app

Ni sahihi kabisa. Nimefanya kazi taasisi ya Serikali, Mshahara wangu wa kwanza ulikuwa 1.5K. Take home ilikuwa laki 9. Miaka 3 baadae nikaenda kwenye NGO, nikawa nalipwa 3.8Mil kwa mwezi na safari kila wakati.

Baada ya miaka 3 wazungu hao hao wakatoa Post kwa wanaotaka kufanya kazi nchi za nje. Tukafanya interview tukapita wachache sana mwishowe tukabaki 3 tu.

Wakatupa shavu kufanya internship Uholanzi mwaka mmoja, baada ya hapo tukapelekwa kwenye vituo vya kazi, mimi nikapangiwa Nambia. Salary yangu niliyoanza nayo ilikuwa ni USD 9, 400 plus house and transport allowance.

Je kuna Afisa anayelipwa hivo serikalini ?

Wakurugenzi (DG)wa taasisi tajwa wengi wanacheza kati ya 15M hadi 20 M plus risk ya kutumbuliwa muda wowote kama Nehemia.

Wenzangu niliowaacha Serikali I am sure mpaka leo bado hawajafika salary ya 4M, tena sidhani kabisa maana sijasikia kupanda kwa madaraja wala salary.

Kibaya zaidi taasisi zote kwa sasa wanatakiwa kufuata sheria za Utumishi wa Umma Kwenye kupandisha salary na madaraja.

Tofauti na mwanzo; taasisi kama MSD, NHIF, TPA zilikuwa zinaajiri wenyewe na wanaviwango vyao vya mishahara na madaraja na ndio maana ukienda hizo taasisi unakuta Mkurugenzi, Manager, Afisa Wote wana Masters yaaani wapo sawa; tofauti yao ni aliyekaa muda mwingi ofisini na mwenye performance nzur.

Yaani hupaswi kuwa jeuri maana inawezekana leo nina report kwako but in few years Wewe uta report kwangu na utakuwa chini yangu.

Hakuna watu wana njaa kama watumishi wa umma; na ndio maana wakurugenzi wa hizo taasisi wanaishi kwa ku deal fake na rushwa. Unashangaa Yaani unakamatwa na Takukuru; ili akuachie Wanakuomba Rushwa lol [emoji23] .




Mk54
 
kwa maelezo yako mkuu inaonyesha huna uhakika ulichokiandika!
ulishafanya proff yoyote ukajua kiasi wanacholipwa ngorongoro?
ook hivi hujui Afisa tuu wa TRA mwenye dip anavuta mpunga mrefu!!? Mbali na hayo makando kando uliyoyaorodhesha!?

Sent using Jamii Forums mobile app

What do you mean by Mpunga mrefu, please state maana isijekuwa unamaanisha basic ya 3M ndio mpunga mrefu kwako.


Mk54
 
Ni sahihi kabisa. Nimefanya kazi taasisi ya Serikali, Mshahara wangu wa kwanza ulikuwa 1.5K. Take home ilikuwa laki 9. Miaka 3 baadae nikaenda kwenye NGO, nikawa nalipwa 3.8Mil kwa mwezi na safari kila wakati.

Baada ya miaka 3 wazungu hao hao wakatoa Post kwa wanaotaka kufanya kazi nchi za nje. Tukafanya interview tukapita wachache sana mwishowe tukabaki 3 tu.

Wakatupa shavu kufanya internship Uholanzi mwaka mmoja, baada ya hapo tukapelekwa kwenye vituo vya kazi, mimi nikapangiwa Nambia. Salary yangu niliyoanza nayo ilikuwa ni USD 9, 400 plus house and transport allowance.

Je kuna Afisa anayelipwa hivo serikalini ?

Wakurugenzi (DG)wa taasisi tajwa wengi wanacheza kati ya 15M hadi 20 M plus risk ya kutumbuliwa muda wowote kama Nehemia.

Wenzangu niliowaacha Serikali I am sure mpaka leo bado hawajafika salary ya 4M, tena sidhani kabisa maana sijasikia kupanda kwa madaraja wala salary.

Kibaya zaidi taasisi zote kwa sasa wanatakiwa kufuata sheria za Utumishi wa Umma Kwenye kupandisha salary na madaraja.

Tofauti na mwanzo; taasisi kama MSD, NHIF, TPA zilikuwa zinaajiri wenyewe na wanaviwango vyao vya mishahara na madaraja na ndio maana ukienda hizo taasisi unakuta Mkurugenzi, Manager, Afisa Wote wana Masters yaaani wapo sawa; tofauti yao ni aliyekaa muda mwingi ofisini na mwenye performance nzur.

Yaani hupaswi kuwa jeuri maana inawezekana leo nina report kwako but in few years Wewe uta report kwangu na utakuwa chini yangu.

Hakuna watu wana njaa kama watumishi wa umma; na ndio maana wakurugenzi wa hizo taasisi wanaishi kwa ku deal fake na rushwa. Unashangaa Yaani unakamatwa na Takukuru; ili akuachie Wanakuomba Rushwa lol [emoji23] .




Mk54
Mkuu hauna line za kwenye NGO yoyote nikajikite huko mkuu?!

I usually dreamt of working on NGO Projects toka sijamaliza chuo but so far nilifanikiwa kufanya na JHPIEGO na GLOBALBIKE so far baada ya ndugu yangu kusepa nchini kwenda ng'ambo nikawa nimepoteza connection.
 
Ni sahihi kabisa. Nimefanya kazi taasisi ya Serikali, Mshahara wangu wa kwanza ulikuwa 1.5K. Take home ilikuwa laki 9. Miaka 3 baadae nikaenda kwenye NGO, nikawa nalipwa 3.8Mil kwa mwezi na safari kila wakati.

Baada ya miaka 3 wazungu hao hao wakatoa Post kwa wanaotaka kufanya kazi nchi za nje. Tukafanya interview tukapita wachache sana mwishowe tukabaki 3 tu.

Wakatupa shavu kufanya internship Uholanzi mwaka mmoja, baada ya hapo tukapelekwa kwenye vituo vya kazi, mimi nikapangiwa Nambia. Salary yangu niliyoanza nayo ilikuwa ni USD 9, 400 plus house and transport allowance.

Je kuna Afisa anayelipwa hivo serikalini ?

Wakurugenzi (DG)wa taasisi tajwa wengi wanacheza kati ya 15M hadi 20 M plus risk ya kutumbuliwa muda wowote kama Nehemia.

Wenzangu niliowaacha Serikali I am sure mpaka leo bado hawajafika salary ya 4M, tena sidhani kabisa maana sijasikia kupanda kwa madaraja wala salary.

Kibaya zaidi taasisi zote kwa sasa wanatakiwa kufuata sheria za Utumishi wa Umma Kwenye kupandisha salary na madaraja.

Tofauti na mwanzo; taasisi kama MSD, NHIF, TPA zilikuwa zinaajiri wenyewe na wanaviwango vyao vya mishahara na madaraja na ndio maana ukienda hizo taasisi unakuta Mkurugenzi, Manager, Afisa Wote wana Masters yaaani wapo sawa; tofauti yao ni aliyekaa muda mwingi ofisini na mwenye performance nzur.

Yaani hupaswi kuwa jeuri maana inawezekana leo nina report kwako but in few years Wewe uta report kwangu na utakuwa chini yangu.

Hakuna watu wana njaa kama watumishi wa umma; na ndio maana wakurugenzi wa hizo taasisi wanaishi kwa ku deal fake na rushwa. Unashangaa Yaani unakamatwa na Takukuru; ili akuachie Wanakuomba Rushwa lol [emoji23] .




Mk54
wewe ni muongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wewe ni muongo

Sent using Jamii Forums mobile app

Yaani kujadili na watu wajinga and zero brain ni kupoteza muda for sure na kujishushia heshima hapa JF. Yaani Mtu anakuita Muongo ; hakufahamu , hamjawahi kuonana. Yet anakuita muongo...... are you stupid or have we ever met before,kajifunze ethics za mawasiliano.

Utabaki kuwa maskini na akili zako.


Mk54
 
Yaani kujadili na watu wajinga and zero brain ni kupoteza muda for sure na kujishushia heshima hapa JF. Yaani Mtu anakuita Muongo ; hakufahamu , hamjawahi kuonana. Yet anakuita muongo...... are you stupid or have we ever met before,kajifunze ethics za mawasiliano.

Utabaki kuwa maskini na akili zako.


Mk54
Nakujua A-Z ndiyo maana nikakuita muongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom