Parabora
JF-Expert Member
- Jul 6, 2019
- 1,504
- 2,203
Mama nimekutafuta sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama nimekutafuta sana
kwenye hilo siwezi kukubishia ,mkuu,sina uhakika nalo.BOT huo sio mshahara wa degree, atakuwa Bado analipwa kwa cheti
Duh wanazidiwa na TMP wa Tanescosio kweli
kuna jamaa zangu wako tra wameajiriwa mwaka 2017,wanalipwa basic 960k,kuna mwana mwingine yuko kadco analipwa basic 900k.BOT kuna jamaa yangu yeye ni security officer kazi yake ni kusindikiza pesa kufikia mwaka juzi 2018 salary ilikuwa 900k.ukiangalia hiyo mishahara ni ya kawaida sana mkuu.
Office attendant wa KADCO anakula ngap?Hapa kuna kampuni ya usafi,ktk hao kuna wanaospecialize kwenye ofisi za wakuu so mshahara analipwa na kampuni mara nying ni mdogo
😂😂😂 umeona kama vile wanachelewa kukuuliza au sio
labda huko halmashauri. Wadau wanavuta Milioni 6, 9 wengi tu.Mshahara wa selikarini mpka utingishe mtaa basi ww ni mpiga deals(mwizi/fisadi) mzuri tu pasina shaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Namuona tu hapa, kuna watu wapo serikalini wapo sehemu nzuri tu na wanavuta zaidi ya milioni 12Muongo, yawezekana hujui unachoongea
Hii inajihusisha na nini mkuuBinafsi nimesoma nikaishia tu kushangaa
Nadhani kuna namna tunaishi kwa kukaririshwa sana.
Mleta mada hajajua kuna taasisi zinalipa vizuri hizo alizozitaja hapo zinasubiri..
Mfano mdogo ni CMSA..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwamba kaamua kujilipua mwenyewe😂😂😂 umeona kama vile wanachelewa kukuuliza au sio
Atoe wapi
Broo umenitisha sanaaaa mpunga km huo unaukataa??ila Kama Una kigezo/taaluma ya juu/uwezo wa juu zaidi Una kiburi mbona mambele wanacchukua mzigo wa maana......Mkuu
Mkuu mimi Niko sensitive sana na mshahara, kazi yangu ya kwanza nilikua nalipwa laki nane na nusu take home, huku nimepewa nyumba, gharama za umeme plus maji lakini nilifanya kazi mwaka mmoja tu nikaandika barua ya kuacha kazi nikaomba kazi mahali pengine