Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1.TPDC
2. TCRA
4.Ngorongoro
3.Ewura
4. WCF
5.TBS
5.TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7.SSRA
8.NSSF/PSSSF
9.BOT
9.Bunge
9.ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10.TASAC
10. TRA
11.MSD
11.TAKUKURU
11. EGA
12.NHIF
13.TPA
13. TIC
14.KADCO
15.TANESCO
16.TANROAD
17.TAA
Dah so hapo TPDC maximum ni ngapi na minimum ni ngapi na TAA je nako kukoje
 
Mtoa mada nikupe tu TAARIFA WATUMISHI wengi NI WATUMISHI wa kawaida wasokua na vyeo

Na mshahara wa MWISHO wa mtumishi wa serikali NI sh 2,727,500/- unless km ana cheo km mkuu wa KITENGO au idara au mkuu wa taasisi msikaririshane Mambo ambayo hayapo na nkupe tu TAARIFA huyo ambaye yupo TRA mwenye degree anaeanza Kazi Hana tofauti na mwenye degree ya maendeleo ya JAMII wa Moshi vijijini

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uwongo, mshahara uliotaja hata kada za walimu wanapata. Kama jambo hulijui kaa kimya tu. Sisi tumekaa kimya humu sio kwamba hatujui chochote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada nikupe tu TAARIFA WATUMISHI wengi NI WATUMISHI wa kawaida wasokua na vyeo

Na mshahara wa MWISHO wa mtumishi wa serikali NI sh 2,727,500/- unless km ana cheo km mkuu wa KITENGO au idara au mkuu wa taasisi msikaririshane Mambo ambayo hayapo na nkupe tu TAARIFA huyo ambaye yupo TRA mwenye degree anaeanza Kazi Hana tofauti na mwenye degree ya maendeleo ya JAMII wa Moshi vijijini


Kweli kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza sikia mtu anasema "jana nimekula chakula kitamu sijawahi ona"

ukaja kumuuliza ulikula chakula gani, akakujibu "ugali,mlenda na chunga pembeni"

ukabaki unatoa macho tu,ila ukweli ni kwamba kila mtu ana jua n kwann chakula flani n ktamu

kila mtu ana sifa zake na vipaumbele vyake mpk kufikia kusema chakula flani ni kitamu

Mh.Tajiri Mapesa kwako wewe hizo ndio taasis zako zinazomwaga pesa (sikupingi kabisa)

maana sijui kwako Mipesa inaanzia sh.ngapi,ila ki upande wangu Hapo hujataja hata 1

ya Taasis zinazomwaga mi pesa,hii ni kwasababu tumetofautiana ktk maono ya kujua pesa inaanzia sh.ngapi.
 
Unaweza sikia mtu anasema "jana nimekula chakula kitamu sijawahi ona"

ukaja kumuuliza ulikula chakula gani, akakujibu "ugali,mlenda na chunga pembeni"

ukabaki unatoa macho tu,ila ukweli ni kwamba kila mtu ana jua n kwann chakula flani n ktamu

kila mtu ana sifa zake na vipaumbele vyake mpk kufikia kusema chakula flani ni kitamu

Mh.Tajiri Mapesa kwako wewe hizo ndio taasis zako zinazomwaga pesa (sikupingi kabisa)

maana sijui kwako Mipesa inaanzia sh.ngapi,ila ki upande wangu Hapo hujataja hata 1

ya Taasis zinazomwaga mi pesa,hii ni kwasababu tumetofautiana ktk maono ya kujua pesa inaanzia sh.ngapi.
Duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bunge hapana!
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1.TPDC
2. TCRA
4.Ngorongoro
3.Ewura
4. WCF
5.TBS
5.TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7.SSRA
8.NSSF/PSSSF
9.BOT
9.Bunge
9.ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10.TASAC
10. TRA
11.MSD
11.TAKUKURU
11. EGA
12.NHIF
13.TPA
13. TIC
14.KADCO
15.TANESCO
16.TANROAD
17.TAA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza sikia mtu anasema "jana nimekula chakula kitamu sijawahi ona"

ukaja kumuuliza ulikula chakula gani, akakujibu "ugali,mlenda na chunga pembeni"

ukabaki unatoa macho tu,ila ukweli ni kwamba kila mtu ana jua n kwann chakula flani n ktamu

kila mtu ana sifa zake na vipaumbele vyake mpk kufikia kusema chakula flani ni kitamu

Mh.Tajiri Mapesa kwako wewe hizo ndio taasis zako zinazomwaga pesa (sikupingi kabisa)

maana sijui kwako Mipesa inaanzia sh.ngapi,ila ki upande wangu Hapo hujataja hata 1

ya Taasis zinazomwaga mi pesa,hii ni kwasababu tumetofautiana ktk maono ya kujua pesa inaanzia sh.ngapi.
You are very right boss.
According to your level, can you mention at least 2. I am interested to know

Msaada tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada nikupe tu TAARIFA WATUMISHI wengi NI WATUMISHI wa kawaida wasokua na vyeo

Na mshahara wa MWISHO wa mtumishi wa serikali NI sh 2,727,500/- unless km ana cheo km mkuu wa KITENGO au idara au mkuu wa taasisi msikaririshane Mambo ambayo hayapo na nkupe tu TAARIFA huyo ambaye yupo TRA mwenye degree anaeanza Kazi Hana tofauti na mwenye degree ya maendeleo ya JAMII wa Moshi vijijini


Kweli kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu acha masiara .

Hivi unajua Afsa wa makadirio TRA pale analipwa ngapi?? Mwenye diploma? Tuanzie hapa!! Acheni kuropoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom