cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Sio hukupemda hyo kauli ulitaka usikie wanalipwa mafezwa mengi kuliko uhalisiaMimi sikupenda ile kauli ya kusema hizo ni kamba, kwanini nidanganye ktk platfom kama hii?
Ukisema salary zipo chini nakubali ila usipinge baadha ya sehemu mishahara yao.
Mwisho kabisa, kafatilie hata mishahara ofisi ya mkemia mkuu, Gvt kuna sehemu na sehemu.