Mpandisha mishahara
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 1,742
- 1,558
Ni Taasisi isiyo ya Kiraia.Asa TPDENGA ni Taasisi shekhee?[emoji1732][emoji1732]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Taasisi isiyo ya Kiraia.Asa TPDENGA ni Taasisi shekhee?[emoji1732][emoji1732]
Kadco [emoji39][emoji39][emoji39]Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Ndo wanavyopenda kutegeana kazi private wako nondoSasa private una grow hata career yako ukiwa vizuri ajira hazisumbui maana kuwa tu private ni bonge la risk taker tofauti na serikalini wamebweteka hata utendaji wao wa kazi Haina ubunifu ni Bora liende tu
Na walioko private wakishakuwa wazoefu huanzisha kampuni zao na kuajiri wengine tofauti na wanaosubiria kustaafu ndio wajengeNdo wanavyopenda kutegeana kazi private wako nondo
Vijana mkiwa chuoni huwa mnadaganyana sanaSister, usibishe tembea uone
Mshahara wenyewe huongezewa 15000Mwakani sio mbali, mambo yatakuwa sawa.
Mbona na hao walioko private wakisikia ajira za taasisi za Serikali wanakimbilia faster ijapokuwa huko private wanalipwa vizuriNa walioko private wakishakuwa wazoefu huanzisha kampuni zao na kuajiri wengine tofauti na wanaosubiria kustaafu ndio wajenge
Inategemea na hiyo private unayoizungumzia wewe iko vipi..kuliko kuwa kwenye vijikampuni hivi vya wachina au wahindi bora niwe serikalini tu..private ukiwa kwenye NGO za kimataifa na makampuni makubwa kama TBL,serengeti, TCC na mengine ya aina hiyo naweza kushawishika kuwa huko kuna maisha ila sio umeajiriwa kwa kampuni za wachina nawe eti unawavimbia watu walioko government,tunajua mishahara ya wachina huwa haizidi laki 4.Mshahara wenyewe huongezewa 15000
Hizo kamba mkuu hyo hela ni mshahara wa Dr tena mhadhiri wa chuo kikuu
Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile appUna maanisha JWTZ?? Kama ndio hivyo haipo mzee.. Jamaa wanalipwa pesa ya kawaida tu.
Hiyo labda annual increment.Mshahara wenyewe huongezewa 15000
Ndio ukweli mkuu Mimi na ndugu wako huko serikalini baada ya kuona hyo nilishangaaHiyo labda annual increment.
Mishahara huwezi kuongeza kiasi hicho.
[emoji23][emoji23][emoji23]mtanishambulia sana ila huo ni ukweli mkuu, Yani mtumishi ulipwe zaidi ya DED au DC[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ni muongo na huna ushahidi.
Mkuu huko kwa wachina sijui wahindi huko sio kazi ni utumwa, mie nasemea organization kubwa na recognized na sio hao wachina na wahindi maana hata leseni za kazi zao ni magumashi matupuInategemea na hiyo private unayoizungumzia wewe iko vipi..kuliko kuwa kwenye vijikampuni hivi vya wachina au wahindi bora niwe serikalini tu..private ukiwa kwenye NGO za kimataifa na makampuni makubwa kama TBL,serengeti, TCC na mengine ya aina hiyo naweza kushawishika kuwa huko kuna maisha ila sio umeajiriwa kwa kampuni za wachina nawe eti unawavimbia watu walioko government,tunajua mishahara ya wachina huwa haizidi laki 4.
Kwani Ded na Dc wanalipwa bei gani vile.....![emoji23][emoji23][emoji23]mtanishambulia sana ila huo ni ukweli mkuu, Yani mtumishi ulipwe zaidi ya DED au DC[emoji23][emoji23][emoji23]
NimekupataMkuu huko kwa wachina sijui wahindi huko sio kazi ni utumwa, mie nasemea organization kubwa na recognized na sio hao wachina na wahindi maana hata leseni za kazi zao ni magumashi matupu
[emoji23][emoji23][emoji23] nikisema hapa nitashambuliwa bure tuKwani Ded na Dc wanalipwa bei gani vile.....!
Hapana. Ulichokiona kinaitwa annual increment.Ndio ukweli mkuu Mimi na ndugu wako huko serikalini baada ya kuona hyo nilishangaa