Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 6,020
- 6,161
Tunafaidika nini na huu Uzi wako?Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
January tena [emoji134] ILa hakunaga tarehe iliyo pangwa ambayo haijawahi kufika. Ni swala la muda tu ngoja tusubiri hakuna namna.Hata wa magereza Bado hawaja shortlist ndio maswali yanatungwa it obvious mpaka January loh. So msiwe na haraka
Hata CHADEMA na CCM!inategemea kwako unamaanisha mshahara mkubwa ni sh ngapi. kwa mimi hapo sioni hata taasisi moja inayolipa mshahara mkubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, ila likubwa ni kujua viwango vya mshahara wanavyopokeatafadhali, hebu ondoa takukuru, tuna wake zetu huko tunajua kila kitu. tafadhali.
Acha uongo wewe, kama hujui uliza, we unadhani watu hawafanyi kazi kwenye hizo ofisi? Yaan miaka 15 uwe na elimu kubwa yaan Masters afu ulipwe pungufu ya mil 3. Kuanzia miaka 15 uzoefu TRA unakuwa na sifa ya kuwa PRINCIPAL....Wapo wengi tu Sasa tena aliomba connection akahamishwa hyo sehemu na anakatibia kustaafu, nikiona watu wanadaganyana kuhusu salary humu nasema hiiiiii
Namsemea huyo ninaye mjua ni vizuri na wewe ume share ya kwako maana huyo Maza namjua ndio kahamia taasisi flani akapandaAcha uongo wewe, kama hujui uliza, we unadhani watu hawafanyi kazi kwenye hizo ofisi? Yaan miaka 15 uwe na elimu kubwa yaan Masters afu ulipwe pungufu ya mil 3. Kuanzia miaka 15 uzoefu TRA unakuwa na sifa ya kuwa PRINCIPAL....
Nimeshawaambia huyo mtu msameheni tu, hakuna analojua.Acha uongo wewe, kama hujui uliza, we unadhani watu hawafanyi kazi kwenye hizo ofisi? Yaan miaka 15 uwe na elimu kubwa yaan Masters afu ulipwe pungufu ya mil 3. Kuanzia miaka 15 uzoefu TRA unakuwa na sifa ya kuwa PRINCIPAL....
Yes yaweza kuwa JanuaryJanuary tena [emoji134] ILa hakunaga tarehe iliyo pangwa ambayo haijawahi kufika. Ni swala la muda tu ngoja tusubiri hakuna namna.
Unajidanganya sanaHata huko tra sio hivo Kuna watumishi wako kazini more than 15 years na hawafiki milion tatu mkuu tena na elimu juu. Msiwe wabishi bana
Nimeamua kumuacha tuHuyo nshakwambia achana nae mkuu
tupeni za TRC kw degree
Hajui loloteNimeamua kumuacha tu
TBL njaa Kali Sasa hv, TBL ilikua zamani.Inategemea na hiyo private unayoizungumzia wewe iko vipi..kuliko kuwa kwenye vijikampuni hivi vya wachina au wahindi bora niwe serikalini tu..private ukiwa kwenye NGO za kimataifa na makampuni makubwa kama TBL,serengeti, TCC na mengine ya aina hiyo naweza kushawishika kuwa huko kuna maisha ila sio umeajiriwa kwa kampuni za wachina nawe eti unawavimbia watu walioko government,tunajua mishahara ya wachina huwa haizidi laki 4.
Nina jamaa yangu alikuwa anafanya kazi hapo, kaacha kaingia serikalini.1.2m ka unaanza ajira mpya
Hii ni standard kwa vyuo vikuu vyote nchini au.?TA 1.77milion
Ass Lecturer 2.54m
Lecture 3.8milion
Senior Lecturer 4.8+
Professor 6 milion