Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Tunafaidika nini na huu Uzi wako?
 
Hata wa magereza Bado hawaja shortlist ndio maswali yanatungwa it obvious mpaka January loh. So msiwe na haraka
January tena [emoji134] ILa hakunaga tarehe iliyo pangwa ambayo haijawahi kufika. Ni swala la muda tu ngoja tusubiri hakuna namna.
 
Wapo wengi tu Sasa tena aliomba connection akahamishwa hyo sehemu na anakatibia kustaafu, nikiona watu wanadaganyana kuhusu salary humu nasema hiiiiii
Acha uongo wewe, kama hujui uliza, we unadhani watu hawafanyi kazi kwenye hizo ofisi? Yaan miaka 15 uwe na elimu kubwa yaan Masters afu ulipwe pungufu ya mil 3. Kuanzia miaka 15 uzoefu TRA unakuwa na sifa ya kuwa PRINCIPAL....
 
Acha uongo wewe, kama hujui uliza, we unadhani watu hawafanyi kazi kwenye hizo ofisi? Yaan miaka 15 uwe na elimu kubwa yaan Masters afu ulipwe pungufu ya mil 3. Kuanzia miaka 15 uzoefu TRA unakuwa na sifa ya kuwa PRINCIPAL....
Namsemea huyo ninaye mjua ni vizuri na wewe ume share ya kwako maana huyo Maza namjua ndio kahamia taasisi flani akapanda
 
Acha uongo wewe, kama hujui uliza, we unadhani watu hawafanyi kazi kwenye hizo ofisi? Yaan miaka 15 uwe na elimu kubwa yaan Masters afu ulipwe pungufu ya mil 3. Kuanzia miaka 15 uzoefu TRA unakuwa na sifa ya kuwa PRINCIPAL....
Nimeshawaambia huyo mtu msameheni tu, hakuna analojua.
 
wakuu meshindwa kabisa kunijulisha kuhusu SHIRIKA LA NDEGE TANZANIA (ATCL) kiwango chao sh ngp kwanz ya diploma
 
Inategemea na hiyo private unayoizungumzia wewe iko vipi..kuliko kuwa kwenye vijikampuni hivi vya wachina au wahindi bora niwe serikalini tu..private ukiwa kwenye NGO za kimataifa na makampuni makubwa kama TBL,serengeti, TCC na mengine ya aina hiyo naweza kushawishika kuwa huko kuna maisha ila sio umeajiriwa kwa kampuni za wachina nawe eti unawavimbia watu walioko government,tunajua mishahara ya wachina huwa haizidi laki 4.
TBL njaa Kali Sasa hv, TBL ilikua zamani.
 
1.2m ka unaanza ajira mpya
Nina jamaa yangu alikuwa anafanya kazi hapo, kaacha kaingia serikalini.

Alikuwa Afya na Mazingira ila malipo yalikuwa 500K halafu kazi nyingi mpaka usiku
 
Back
Top Bottom