Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Kwenye lile tangazo la juzi umeomba nafasi gani kwenye SELF - Microfinance?Na taasisi kama Self microfinance ni ngapi mkuu?
Pia TIB kama unajua
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye lile tangazo la juzi umeomba nafasi gani kwenye SELF - Microfinance?Na taasisi kama Self microfinance ni ngapi mkuu?
Pia TIB kama unajua
Pesa ya kawaida wakati mtu mwenye diploma tu anakula 2M+ we unaiita hela ya kawaida hio kwa level ya mishahara ya kibongo?Una maanisha JWTZ?? Kama ndio hivyo haipo mzee.. Jamaa wanalipwa pesa ya kawaida tu.
Yaani Wakuu wa Idara walipwe 3M na DED naye alipwe 3M wakati Wakuu wa Idara wanafanya kazi chini ya DED??3.6M kwa DC. Nje ya marupurupu na upigaji.
3M kwa DED.
Organization gani madam? Sehemu pekee ambayo kuna mishahara ya kufa mtu ni kwenye international NGO’s tu! Tena unapo sign contract tu straight away hamna cha kupoteza miaka.Tena kwa organization mtu wa bachelor anakula hata zaidi ya milion tano kumzidi Prof wa chuo kikuu usishangae tembea uone. Hata huko sijui TRA sijui wapi hyo milion mbili na kitu si mishahara ya Senior wa zaidi ya miaka kumi na tano kazini
Mkuu, hii mishahara ya wanajeshi mnayoweka hapa mnaitoa wapi aisee?Pesa ya kawaida wakati mtu mwenye diploma tu anakula 2M+ we unaiita hela ya kawaida hio kwa level ya mishahara ya kibongo?
Duh wanajeshi nao mishahara yao ya laki 4?Mkuu, hii mishahara ya wanaishi mnayoweka hapa mnaitoa wapi aisee?
Kwanza Jeshini hawalipi kwa Elimu.
Elimu Jeshini inakusaidia tu kupanda cheo baada ya kufanya kozi, hicho cheo ndio Chenye mshahara.
Mkuu sikudanganyi, Mimi ninao washkaji zangu nimemaliza na form 4 wengi sana wako Jeshini. Kuanzia Lugalo, Makongo, Kunduchi, Navy Kigamboni, Abdallah Twalipo Kurasini kote hakuna sehemu Sina jamaa niliyesoama naye. Police na magereza ndio usiseme.
Mimi sikupenda tu kuwa Askari.
Tena wengine wanna degree kabisa.
Mishahara ya Askari Ni ya kawaida kabisa. Na kibaya zaidi hawana Uhuru, wako busy mnooo.
Hio mishahara ni mikubwa ukifanya average ya mishahara ya watumishi anaelipwa 2.6M anaishi maisha comfortably sana. Gari utaendesha na kodi utalipa ya nyumba standard na nzuri tu.2.340M ni entry level kwa mtu mwenye Degree na overtime ya 234000 ambayo hutalipwa kama upo likizo tuuu so entry level ni kama 2.6M kwa bachelor Diploma ni 1.856M Mama Junior akiongeza May inaweza kuwa taasisi inayolipa vizuri zaidi.
Nakumbuka mwaka 2010 nilikuwa naishi na jamaa yangu Askari Magereza ( Warder) alikuwa analipwa Tsh 119,000 basic na ration ya 100,000.Duh wanajeshi nao mishahara yao ya laki 4?
Hahahah af watu wanasema serikalini hamna ishu! Inategemea upo wapi mkuu!Mkuu hao TPDC ni mwisho kuna mdau yupo pale mwaka mmoja tu ila loan bord kashamalizana nao mapema na mijengo ya maaana
Customer service ulipwe mshahara kuliko Mkurugenzi? 😅15,567,858.7000
Sajent darasa la Saba au form four ila mishahara yao utafananisha na msomi wa kada nyingine na mwenye ujuzi, bado mwenye nyota kwenda juu.
Tatizo watu wakisikia jeshi wanawaza vile vyeo vya chini tu! Kuna jamaa mmoja ni sajenti alikuwa anawaambia raia eti wasiwashadadie sana maofisa na kuwadharau wao maaskari!
Sababu hao maofisa wengi huwa wanapenda starehe na anasa hawajui kutumia pesa zao vizuri! Na wakati mwingine wakifulia wanawakopa maaskari ambao raia wanawadharau!
Akawa anaelezea mafanikio yake kibiashara pamoja na kwamba ni mwanajeshi wa cheo cha chini! So unaona kabisa kwamba tatizo siyo mshahara bali ni matumizi ya mtu binafsi!
Wanajeshi wanapaishwa sana mishahara yao sio mikubwa kama watu mnavyosema humu ndani.Kuna captain wa jeshi leo kanikopa elfu 20,sasa sijui huo mshahara wake huwa haumtoshi au vipi?
Sasa kazi ambayo huwezi hata kubadilisha muonekano ni kazi au upumbavu? Mtu anataka akulipe laki 2 bila kujiuliza utaishi vipi? Ni dharau kubwa mno na inhuman!Vijana wengi hatutafuti kazi ila tunatafuta mishahara minono
Ndio maanaake mzee, hapo hata jamaa yako mliekuwa mkishinda kijiweni akiajiriwa ndani ya mwaka tu utashangaa anatembelea premio T 723 ESF na kiwanja kanunua Goba ukianza mwaka mpya anaanza ujenzi ndani ya miezi 6 tu..Hujakaa sawa na mishe mishe za kuoa zinaanza😅! TRA paacheni tu kuna mengi mazuri!Tra ndio maana inapendwa sana na graduates wanatangaza nafasi 7 watu wanaomba zaidi ya 3900, maana yake tra inaonyesha pengine labda kuna pesa.
Hio kampuni head lazma awe mzungu tu na kampuni ya madini labda au Supplies Co. inayofanya kazi na kampuni kubwa ama serikali.Kwenye kila Kampuni kuna range ya mishahara kuanzia ya chini mpaka ya juu!! Hivi vikampuni vidogo vidogo ndio vinavyolipa mishahara minono sana kuliko mijikampuni yenye majina makubwa!! Kuna Dogo wa kitaani ameajiriwa kampuni ndogo to anakunja "MIGUU SITA" aka MILIO 6 aka Meter 6 hiyo inayoingia BANKWA.
Watu basi wanazungumziaga gross salaries! Ndio maana inaonekana kama udanganyifu.A
fiSa II wa TRA yoyote anaanzia 2.7 hiyo ndo tra scale ya sasa 4.1 scale, unakatwa laki 4 ya tra hapo hpo, inabaki 2.3 nfo makato mengine yanafuata baada ya makato ni around 1.68 mil take home hiyo, naongea nikiwa nasoma mkataba wa mwaka huu wa mshikaji wangu wa karibu sana.
Tuzidi kusaidiana kwa data zaidi ili tuujue ukweli, jamani nataka kujua kuhusu hawa NAOT najua mshahara tgs E ni wq kawaiiida sana, vip posho zip jamani mwenye data halisi tusaidiane ikiwezekana nataka nitoke private nalipwa 900,000 niingile setikalin database audit, kabla sijaanza kujiumiza na hizi interview ningependa nipate data kwa wazalendo wenzangu kutoka kwenye hii forum.
Uko sahihi mkuu.. kuna taasisi kama 7 nafahamu hizo ndo salary zake hapoKwa Ifficer 2 hii ndio gross salary zao in accordance with the row
1. TPDC 1.8m 2. TCRA 3.5m 4. Ngorongoro 1.8m 3. Ewura 1.8m 4. WCF 2.0m 5. TBS 1.8m 5. TANAPA 1.8m 5. Tume ya madini hawa below 1.5m 6. Mamlaka ya chakula na dawa 1.7m 7. SSRA 2m 8. NSSF/PSSSF 2m 9. BOT 1.8m 9. Bunge Hawa below 1m 9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali Hawa sijajua 10. TASAC 2m 10. TRA 2.3m 11. MSD 1.8m 11. TAKUKURU Sijajua bado 11. EGA 3.07m 12. NHIF 1.7m 13. TPA 1.6m 13. TIC Sijui bado 14. KADCO hawa below 1.5m 15. TANESCO 1.2m 16. TANROAD Sijui bado 17. TAA 1.35m
Kuna maeneo kadri ukiwa na elimu ndio mishahara inakuwa mikubwa ila its worthless kama upo nje ya mfumo!Niliajiriwa kampuni moja, nilikuwa nalipwa hela kiduchu tu na degree yangu(600k) take home plus accommodation (nyumba,chakula,umeme, maji)
Hiyo sio story wadau!!
Aisee nilikuta kuna jamaa wanavuta mpunga mrefu sana na wengi wabongo tu....Nilibahatika kuwa rafiki na human resources manager alikuwa ananihamasisha sana... Alivunja maadili ya kazi yake na kuniambia mishahara ya wadau nilichoka kuna mbongo tulikuwa naye alikuwa anavuta dola elfu 10.
Huyu boss wangu mwenyewe alikuwa anavuta 8m alikuw na Masters by then na akawa ameomba kupiga PhD. Na hiyo 8m sio kwamba ni mkongwe kazini hapana alikuwa na kama mwaka tu alikuja pale kwenye kampuni akitokea Barrick.
Hatimaye mkataba ulipoisha niliamua kutembea. Kikubwa nilichojifunza kwa boss wangu ili ulipwe vizuri inabidi uwe na qualifications konki, wakati naondoka alinisisitiza sana sana nisome [emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshahara mkubwa ndio hio 1.5m? Hebu kuwa serious kidogo basi mkuu...Toka naskia habari za hawa MD sijawahi kuona mahali imeandikwa hata wanalipwa 2MKatika degree zote hapa Tanzania degree yenye mshahara mkubwa mkiajiriwa serikalini ni udaktari ndo inaongoza
Kuna Md,Dds,Dvm then wanafuata manesi(bsc nursing) na engineers
Hii ni kwa sabab serikalini scale ya mshahara ya kuanzia huwa wanaangalia degree uliyosoma ni ya miaka mingap
Ndo maana madaktari( Md,Dds na Dvm) ndo huwa wana mshahara Mkubwa kuliko degree zingine kama engineers ambazo ni miaka minne
So kama daktari na engineer wataajiriwa sehem moja kwa wakat mmoja ie halmashauri daktari atakuwa na mshahara mkubwa kidogo kuliko mhandisi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tukomae mwanangu [emoji3]Wakati kwa wenzetu hizo pesa ni kazi ya siku 2 au 3 tu[emoji28]
Bongo raha ni uhuru tu ila maisha magumu kingeseTukomae mwanangu [emoji3]