Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Hao ndio pekee najua naojua mimi wana mishahara minono nchii hiiThis was my dream ila sasa nafyatua tofali dah[emoji41]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwa akina patelOrganization gani madam? Sehemu pekee ambayo kuna mishahara ya kufa mtu ni kwenye international NGO’s tu! Tena unapo sign contract tu straight away hamna cha kupoteza miaka.
Huko ndio kulipwa 4-10M ni mishahara ya kawaida kwa cadre zote.
Ila private zetu za akina Gurjit au Premsingh huko mwendo wa laki 2 tu before makato. Ukienda tena kwa akina Wu Jin Hao ama Sheng Dong ndio utasogezwa kwenye laki 4 hapo! Ni huzuni kwa kweli
Hahahah kina patel hawaoni tabu kukupa laki bili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwa akina patel
Kwa wanajeshi sidhani kama wana mishahara mizuri sana. Labda maofisa waleDuh wanajeshi nao mishahara yao ya laki 4?
WTF[emoji2] MP kwa buku 35[emoji1787]Nakumbuka mwaka 2010 nilikuwa naishi na jamaa yangu Askari Magereza ( Warder) alikuwa analipwa Tsh 119,000 basic na ration ya 100,000.
Mpaka naondoka 2012 basic yake ilikuwa Ni 175,000 na ration ya 100,000.
Baadaye Kikwete aliongeza mishahara ya Watumishi nahsis atakuwa kwenye 400,000 au 500,000.
Kuna mwingine JWTZ yeye alikuwa anapata 500,000 basic. Baadaye akaenda kufanya kozi ya MP akaongezewa 35,000 na ana degree.
Jamani mishahara ya serikali Ni midogo mno, labda uwe kwenye mashirika ya umma yanayokusanya mapato ndio mnaweza kujipangia per diem na mishahara.
Sasa unataka kutransfer kwenda sehemu ambayo huelewi maslahi yake?Sijajua.
#YNWA
Halmashauri ananza na laki 9 km basic kabla ya KodiVipi mwanasheria mwenye level ya degree anaanzia kiasi gani kwa anayefahamu.
Asante sana mkuu.Halmashauri ananza na laki 9 km basic kabla ya Kodi
Niliwahi ishi kabisa maisha yao nimeyaona wanaishi kawaida sana hakuna maajabu japo sio guarantee.
But sehemu kukiwa na pesa harufu yake unainusa t
Daktari mbwembwe tu ukiwa bado uko o level ndo unajua daktar wana kila kitu ila wengi mpaka wanapiga na private vidil vya abortion ndo vinawaweka mjini hali ngumu kwa hongo hiiYaani daktari anasota miaka 6 plus intern bado anakunja 1.5M pekee?
Mwanasheria (legal officer au officer yoyote) salary wanaanzia sawa hakuna mshahara wa legal officer mfano legal officer akiajiruwa wizarani anaanzia TGS D ambayo gross ni 710kVipi mwanasheria mwenye level ya degree anaanzia kiasi gani kwa anayefahamu.
Niliwahi ishi kabisa maisha yao nimeyaona wanaishi kawaida sana hakuna maajabu japo sio guarantee.
But sehemu kukiwa na pesa harufu yake unainusa t
Daktari mbwembwe tu ukiwa bado uko o level ndo unajua daktar wana kila kitu ila wengi mpaka wanapiga na private vidil vya abortion ndo vinawaweka mjini hali ngumu kwa hongo hiiYaani daktari anasota miaka 6 plus intern bado anakunja 1.5M pekee?
TAJIRI SERIKALI ya Leo haiajiri form 4 inaajiri professional fulani au major fulani upande wa JWTZ hawana salary kubwa hapa tunaongelea entry levelMkuu tuache utani na tuongelee uhalishia kwani la saba na form four failures wote nchi hii wanaajiriwa huko eGa and the likes? Kumbuka huyo mwanajeshi hata kama atachukua miaka mingi kuufikia usajenti lakini bado ni la saba au form four leaver sasa jiulize wenzao wenye elimu hizo uraiani wengi wao wako wapi sasa hivi au wote wako huko eGA and the likes?
Yaani unataka kuniambia mwanasheria wa ngazi ya degree alipwe mshahara mdogo kuliko mwalimu wa degree ambaye anaanzia sio chini ya 740k?Mwanasheria (legal officer au officer yoyote) salary wanaanzia sawa hakuna mshahara wa legal officer mfano legal officer akiajiruwa wizarani anaanzia TGS D ambayo gross ni 710k
Maana kuna mdau hapa amesema mwanasheria anaanzia sio chini ya 900k kuendelea.Mwanasheria (legal officer au officer yoyote) salary wanaanzia sawa hakuna mshahara wa legal officer mfano legal officer akiajiruwa wizarani anaanzia TGS D ambayo gross ni 710k
Ni Askari wa kawaida tu. Mmoja ndio MP.Mkuu wana Vyeo gani
Acha uongo wewe.....Kuna mmoja namjua analipwa 15M lakini maisha yake ya ajabu, anakugongea elfu 50 hadi uñajiukiza huyu MTU analipwa hiyo hela kwel
Sent using Jamii Forums mobile app