Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Hao ndio pekee najua naojua mimi wana mishahara minono nchii hiiThis was my dream ila sasa nafyatua tofali dah[emoji41]
Na inapanda kwa elimu na tafiti yaani we piga kitabu piga tafiti zako na paper publications mshahara utapanda tu.
Wengine wote labda wapewe uafisa mtendaji mkuu wa taasisi.
Komaa mzee uwe una kula PUTS zako [emoji2]