Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

This was my dream ila sasa nafyatua tofali dah[emoji41]
Hao ndio pekee najua naojua mimi wana mishahara minono nchii hii

Na inapanda kwa elimu na tafiti yaani we piga kitabu piga tafiti zako na paper publications mshahara utapanda tu.

Wengine wote labda wapewe uafisa mtendaji mkuu wa taasisi.

Komaa mzee uwe una kula PUTS zako [emoji2]
 
Organization gani madam? Sehemu pekee ambayo kuna mishahara ya kufa mtu ni kwenye international NGO’s tu! Tena unapo sign contract tu straight away hamna cha kupoteza miaka.

Huko ndio kulipwa 4-10M ni mishahara ya kawaida kwa cadre zote.

Ila private zetu za akina Gurjit au Premsingh huko mwendo wa laki 2 tu before makato. Ukienda tena kwa akina Wu Jin Hao ama Sheng Dong ndio utasogezwa kwenye laki 4 hapo! Ni huzuni kwa kweli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwa akina patel
 
Nakumbuka mwaka 2010 nilikuwa naishi na jamaa yangu Askari Magereza ( Warder) alikuwa analipwa Tsh 119,000 basic na ration ya 100,000.

Mpaka naondoka 2012 basic yake ilikuwa Ni 175,000 na ration ya 100,000.

Baadaye Kikwete aliongeza mishahara ya Watumishi nahsis atakuwa kwenye 400,000 au 500,000.

Kuna mwingine JWTZ yeye alikuwa anapata 500,000 basic. Baadaye akaenda kufanya kozi ya MP akaongezewa 35,000 na ana degree.

Jamani mishahara ya serikali Ni midogo mno, labda uwe kwenye mashirika ya umma yanayokusanya mapato ndio mnaweza kujipangia per diem na mishahara.
WTF[emoji2] MP kwa buku 35[emoji1787]
 
Vipi mwanasheria mwenye level ya degree anaanzia kiasi gani kwa anayefahamu.
 
wa wanajeshi sidhani kama wana mishahara mizuri sana. Labda maofisa wale
Niliwahi ishi kabisa maisha yao nimeyaona wanaishi kawaida sana hakuna maajabu japo sio guarantee.

But sehemu kukiwa na pesa harufu yake unainusa t

Yaani daktari anasota miaka 6 plus intern bado anakunja 1.5M pekee?
Daktari mbwembwe tu ukiwa bado uko o level ndo unajua daktar wana kila kitu ila wengi mpaka wanapiga na private vidil vya abortion ndo vinawaweka mjini hali ngumu kwa hongo hii

Ila akitoka nje anashika parefu ninao wana wanapiga bongo wanakunja 1.5mil halafu ni madaktri tegemezi
 
Vipi mwanasheria mwenye level ya degree anaanzia kiasi gani kwa anayefahamu.
Mwanasheria (legal officer au officer yoyote) salary wanaanzia sawa hakuna mshahara wa legal officer mfano legal officer akiajiruwa wizarani anaanzia TGS D ambayo gross ni 710k
 
wa wanajeshi sidhani kama wana mishahara mizuri sana. Labda maofisa wale
Niliwahi ishi kabisa maisha yao nimeyaona wanaishi kawaida sana hakuna maajabu japo sio guarantee.

But sehemu kukiwa na pesa harufu yake unainusa t

Yaani daktari anasota miaka 6 plus intern bado anakunja 1.5M pekee?
Daktari mbwembwe tu ukiwa bado uko o level ndo unajua daktar wana kila kitu ila wengi mpaka wanapiga na private vidil vya abortion ndo vinawaweka mjini hali ngumu kwa hongo hii

Ila akitoka nje anashika parefu ninao wana wanapiga bongo wanakunja 1.5mil halafu ni madaktri tegemezi
 
Mkuu tuache utani na tuongelee uhalishia kwani la saba na form four failures wote nchi hii wanaajiriwa huko eGa and the likes? Kumbuka huyo mwanajeshi hata kama atachukua miaka mingi kuufikia usajenti lakini bado ni la saba au form four leaver sasa jiulize wenzao wenye elimu hizo uraiani wengi wao wako wapi sasa hivi au wote wako huko eGA and the likes?
TAJIRI SERIKALI ya Leo haiajiri form 4 inaajiri professional fulani au major fulani upande wa JWTZ hawana salary kubwa hapa tunaongelea entry level
 
Immigration, fire, police, FFU, and all walio Wizara ya mambo ya ndani kwa mtu mwenye bachelor unaanza na gross ya -800k unless Kuna posho ya degree maalum example md, nurse, it, engineering,and et cetera
 
Mwanasheria (legal officer au officer yoyote) salary wanaanzia sawa hakuna mshahara wa legal officer mfano legal officer akiajiruwa wizarani anaanzia TGS D ambayo gross ni 710k
Yaani unataka kuniambia mwanasheria wa ngazi ya degree alipwe mshahara mdogo kuliko mwalimu wa degree ambaye anaanzia sio chini ya 740k?
 
Mwanasheria (legal officer au officer yoyote) salary wanaanzia sawa hakuna mshahara wa legal officer mfano legal officer akiajiruwa wizarani anaanzia TGS D ambayo gross ni 710k
Maana kuna mdau hapa amesema mwanasheria anaanzia sio chini ya 900k kuendelea.
 
Back
Top Bottom