Wambie bana et luteni kamili alipwe 2.3 sasa siwatu tungejazana huko ata kwa kuroga--unataka kulazimisha ulingane na TRA wenzako wako juu 2.7M ndiyo salary ukiwa na CPA unalipwa 3.2 M (bado posho) ambao ni mishahara ya maluteni wawili
-Unataka matrafiki wakuonyeshe mali zako ukawasemee TAKUKURU kwamba wanamiliki mali zaidi ya kipato?
-Wanaojenga magorofa labda majenerali lakini lakini siyo junior officers
-
--Kamishna wa Forodha unajua kicheo ni yeye ndiye kiongozi wa kitengo cha Forodha nchi nzima?Kwa sababu umesema "unalazimisha ulingane na TRA" hivyo clearly ulimaanisha mimi ni mwanajeshi, halafu huku TRA hakuna pesa hiyo unayoiropoka mzee labda kwa wale viongozi wa juu ila siyo kwa afisa mwenye degree ambaye ndiyo anaanza kazi na hiki ndiyo kiini cha mada! Kimshahara Meja wa jeshi anamzidi Kamishna wa forodha ila ukitaka tuende kwenye taasisi zinazoongoza kwenye pesa za magumashi inabidi sasa ulete list yako nyingine tofauti kabisa ndiyo tuanze kuijadili!
- Magumashi ndiyo yamewafanya watu wajenge magorofa mitaani.Mkuu mada inazungumzia magumashi au mishahara? Mbona umeanzisha mada yako nyingine halafu unalazimisha iwe ni sehemu ya mada hii?
--wa vyeo gani? Ni makoplo, masajenti auSasa hiyo ni mada nyingine mkuu! Na hata tukija kwenye magumashi hivi unajua wale wanajeshi walioko kwenye kamandi ya jkt wanapiga kiasi gani kwenye miradi ya ujenzi?
kama unataka kuwa mkweli, itoe TBS hapo, wana njaa ile mbayaWakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
TRA sio halmashauri mkuu, unaweza kukuta salary ya meja Ni responsibility allowance ya Kamishna wa Forodha,We jamaa bhana unalinganisha vyeo au kipato? Tatizo ni kwamba haujui mshahara na marupurupu ya meja ndiyo maana unaongea tu kwahiyo unadhani mtu akiwa mkubwa kwenye taasisi fulani basi automatically kamzidi mshahara mtu ambaye pia ni mkubwa kwenye taasisi nyingine ila tu hajamfikia huyo kwa ukubwa siyo?
siyo kweli serikali ingefilisika, hahahahaWambie bana et luteni kamili alipwe 2.3 sasa siwatu tungejazana huko ata kwa kuroga
Sent using Jamii Forums mobile app
wacha ikae hivyoBora niendelee kulima tu.
nafahamu, jeshi ni miongoni mwataasisi nyeti kabisa hapa nchini.Halafu siyo vizuri kufananisha taasisi za serikali, kila taasisi inayo umuhimu wake na ndiyo maana ilianzishwa.Ingefilisika kwani unafikiri maofisa jeshini wako wengi yaani ninyi mnadhani maofisa jeshini wako wengi kama wale maaskari, kupata uofisa jeshini siyo kazi rahisi wengi mule wanaingia kwa connection! By the way sijui kama unaijua bajeti ya wizara ya ulinzi likiwemo jeshi, ushawahi sikia bajeti ya jeshi inajadiliwa popote hata bungeni?
Sasa kama Mengi angejuwa mwajiriwa wa Ewura au TRA angekuwa na utajiri aliokuwa nao.Biashara zipi unazozizungumzia mkuu kwa hapa bongo? Hizi hizi za uchuuzi na umachinga au nawe unataka kuwatolea mfano kina Mengi na Dewji kwamba ndiyo tuwaige hao siyo?
Mbona unajicontradict, mara ukatae na hapo hapo unakubali.Mkuu umeielewa kweli point yangu? Ni wapi nimesema hao ni wachuuzi hebu rudia tena kusoma?
Nimekuuliza biashara hizi hizi za uchuuzi na umachinga wanazofanya vijana ndiyo zinakufanya udharau ajira? Yaani kwa akili yako unaona hao matajiri wachache ndiyo wa kutolea mfano kati ya watanzania zaidi ya milioni 60?
Basi sawa twende kwenye ajira umesema hakuna anayeweza tajirika kupitia ajira kuna wakurugenzi wa taasisi na wabunge mbona wengi wao wanatajirika kupitia hizo nafasi! Hapo vipi?
Vitengo gani hivyo? Au kuiba cement na mabati?Cheo chochote as long as umepangwa kwenye mradi wa ujenzi wa jkt na ukawa na akili ya kujiongeza! Kama unadhani kwamba eti jeshini wanaopiga pesa ni wakubwa tu basi pole maana hata hao wadogo nao kuna vitengo wakiwekwa wanapiga vizuri tu ila huku uraiani mnawaona wanalia njaa kumbe hakuna mnalojua!
-Hoja yangu Ni TRA siyo traffic huko kwenye traffic tulishamaliza na ukakubali kwamba Wana help za magumashi,"Unaweza kukuta", si unaona sasa yaani wewe unaongea vitu kwa kuotea wakati mimi naongea kutokana na uhalisia! Basi tu sitaki kwenda deep zaidi kwa faida ya hivi vyombo vya ulinzi, ila ningekutajia mshahara na marupurupu ya meja labda ndiyo ungeacha kubisha, mimi nawafahamu mameja wanaokula maisha mkuu wewe endelea kusifia kishabiki hao matraffic wako, ambao unadai wana utajiri wa kujificha kiasi kwamba hata sisi wengine tunaoishi nao tusione wakijenga hayo maghorofa unayosema!
--hapa umeonesha kwamba ww huelewi chochote, na huna uelewa wa kutosha ya Mambo, bajeti ya Jeshi inapitishwa na Bunge na kujadiliwa na bunge Kama ilivyo bajeti ya Tamisemi, na hesabu za Tpdf zinakaguliwa Kama za halmashauri tu, inaonekana labda elimu yako Form 6 huna uelewa na Mambo ya public finance.Ingefilisika kwani unafikiri maofisa jeshini wako wengi yaani ninyi mnadhani maofisa wako wengi kama maaskari, kupata uofisa jeshini siyo kazi rahisi wengi wanaingia kwa connection! By the way sijui kama unaijua bajeti ya wizara ya ulinzi, ushawahi sikia bajeti ya jwtz inajadiliwa popote pale hata bungeni?
-bajeti ya Jeshi inajadiliwa Bungeni na mwaka huu Ni trilioni 2.3, bajeti ya wizara ya ulinzi inajadiliwa na bunge Zima Wizara ya ulinzi Ni Fungu 57, Ngome Ni Fungu 38, Jkt Ni Fungu 39,Hivi umeelewa swali? Nani asiyejua kwamba inapitishwa bungeni mimi nimeuliza umeshawahi kuisikia inajadiliwa bungeni kwa umma kama bajeti zingine we jamaa mbona kichwa ngumu sana?
--taratibu umeanza kukubali kwamba Kamishna wa Forodha Yuko juu,"Ana uwezo", yaani hata uhakika huna! Unaonekana hamnazo unapokomaa kumlinganisha kamishna wa forodha na meja wa jeshi wakati unajua kabisa hapo mmoja ni mkubwa na mwingine ni mdogo, kwanini huyo kamishna wa forodha usimlinganishe na mameja jenerali huko ambao ndiyo wenzie ili twende sawia?
Usindani huo uhusishe kwenye mada kisha tueleweshePamoja na kwamba UZI ni wa siku nyingi na baadhi ya taasisi hazipo tena (SSRA being one of them ) lakini nimeangalia kwa HARAKA HARAKA (kama mleta uzi amefanya utafiti wake vizuri ) over 90% ya hizo taasisi ni service providers, sio production institutes, yaan zinategemea kuchukua either ruzuku au kuchuna sehemu ndio zilipane, mfano SSRA, EWURA nk. Tunawalipa kidogo watu wa muhimu (madaktari, walimu ) halafu tunalipa pesa nyingi kwa taasisi ambazo hata zikifutwa leo wala hazina impact yoyote kwa nchi. Natolea mfano mmoja wa kijinga; hivi mnafahamu over 10 years nauli za mabasi zipo chini zaidi kuliko bei elekezi ya serikali? Lingine fanya hili, tumia tu simu yako ya mkononi, uliza bei za mafuta sehemu uliopo, angalia bei elekezi ya EWURA halafu tembelea baadhi tu ya vituo vya mafuta, utagundua kwamba bei wanayo UZA ipo chini na bei pendekezwa; sababu ya hayo yote ni moja tu, ushindani wa soko unasababisha only wenye mitaji mikubwa kuendelea ku savaivu so why are we paying all of that salaries to those people? I am not saying wafutwe but tuangalie umuhimu wa sekta.
--hiyo miradi imeajiri askari wangapi? Iko miradi mingapi? Iko maeneo gani hapa Nchini?Halafu eti unalazimisha kwamba nimekubaliana na wewe! Hakuna nilichokubaliana na wewe bro twende taratibu tutaelewana tu kuhusu matraffic nimeshakuambia hakuna hela ya magumashi wanayopata kulinganisha na hela za magumashi wanazopata wanajeshi walioko kwenye miradi ya ujenzi ya jkt!