Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Wambie bana et luteni kamili alipwe 2.3 sasa siwatu tungejazana huko ata kwa kuroga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
--Kamishna wa Forodha unajua kicheo ni yeye ndiye kiongozi wa kitengo cha Forodha nchi nzima?
-Conclusion ni kwamba hauko TRA uko kwenye kazi nyingine ungekuwa TRA ungejua stahiki za kamishna wa Forodha, na ungejua kwamba Makamishna Wana pesa nyingi kupindukia, Meja labda umlinganishe na Meneja wa TRA Wilaya ndiyo level zao zinalingana na sio kamishna, na infact nimekuuliza swali la mtego na ww ukanasa, kimuundo Kamishna wa Forodha ni mtu wa tatu kwa cheo TRA (Kama sikosei) i.e Kamishna Mkuu,Naibu Kamishna Mkuu, Makamishna wa vitengo eg.Forodha na ushuru wa bidhaa, domestic tax etc
 
Mkuu mada inazungumzia magumashi au mishahara? Mbona umeanzisha mada yako nyingine halafu unalazimisha iwe ni sehemu ya mada hii?
- Magumashi ndiyo yamewafanya watu wajenge magorofa mitaani.
 
Sasa hiyo ni mada nyingine mkuu! Na hata tukija kwenye magumashi hivi unajua wale wanajeshi walioko kwenye kamandi ya jkt wanapiga kiasi gani kwenye miradi ya ujenzi?
--wa vyeo gani? Ni makoplo, masajenti au
 
kama unataka kuwa mkweli, itoe TBS hapo, wana njaa ile mbaya
 
TRA sio halmashauri mkuu, unaweza kukuta salary ya meja Ni responsibility allowance ya Kamishna wa Forodha,
 
Ukitaka kuendelea au kutajirika achana na kazi za ajira, fanya biashara au ingia private sector huko utapata malipo kutokana na effort na ubunifu wako.

Vingimevyo utatamani kwenda huko unakoambiwa kwemye mshahara mkubwa nako hutaweza kwenda.

Cha msingi ridhika na upatacho lakini fanya kazi kwa bidii, kuna rewards kwa yeyote afanyaye kazi kwa bidii
 
nafahamu, jeshi ni miongoni mwataasisi nyeti kabisa hapa nchini.Halafu siyo vizuri kufananisha taasisi za serikali, kila taasisi inayo umuhimu wake na ndiyo maana ilianzishwa.
 
Biashara zipi unazozizungumzia mkuu kwa hapa bongo? Hizi hizi za uchuuzi na umachinga au nawe unataka kuwatolea mfano kina Mengi na Dewji kwamba ndiyo tuwaige hao siyo?
Sasa kama Mengi angejuwa mwajiriwa wa Ewura au TRA angekuwa na utajiri aliokuwa nao.

Nitajie walau mfanyakazi mmojawapo wa hayo mashirika wenye pesa kwenye sawa na Mengi au Mo (unaowaita wachuuzi).
 
Mbona unajicontradict, mara ukatae na hapo hapo unakubali.

Anyway komaa na ajira yako utakuwa kama diamond baada ya miaka mitano
 
Vitengo gani hivyo? Au kuiba cement na mabati?
 
-Hoja yangu Ni TRA siyo traffic huko kwenye traffic tulishamaliza na ukakubali kwamba Wana help za magumashi,
- unapozungumzia Kamishna wa Forodha anauwezo wa kupata hata milioni 30 (posho, mshahara,extraduty) swali Ni kwamba vipi huko kwenu kwenye batiki?
 
--hapa umeonesha kwamba ww huelewi chochote, na huna uelewa wa kutosha ya Mambo, bajeti ya Jeshi inapitishwa na Bunge na kujadiliwa na bunge Kama ilivyo bajeti ya Tamisemi, na hesabu za Tpdf zinakaguliwa Kama za halmashauri tu, inaonekana labda elimu yako Form 6 huna uelewa na Mambo ya public finance.
 
Hivi umeelewa swali? Nani asiyejua kwamba inapitishwa bungeni mimi nimeuliza umeshawahi kuisikia inajadiliwa bungeni kwa umma kama bajeti zingine we jamaa mbona kichwa ngumu sana?
-bajeti ya Jeshi inajadiliwa Bungeni na mwaka huu Ni trilioni 2.3, bajeti ya wizara ya ulinzi inajadiliwa na bunge Zima Wizara ya ulinzi Ni Fungu 57, Ngome Ni Fungu 38, Jkt Ni Fungu 39,
  • Bajeti inajadiliwa na Wabunge wote na hata wananchi tunaisikia waziri akisoma,
  • na hesabu za Jeshi zinakaguliwa na CAG anatoa hati (i.e Safi,chafu,nk) Kama Wizara ya Tamisemi.

 
--taratibu umeanza kukubali kwamba Kamishna wa Forodha Yuko juu,
 
Usindani huo uhusishe kwenye mada kisha tueleweshe
 
--hiyo miradi imeajiri askari wangapi? Iko miradi mingapi? Iko maeneo gani hapa Nchini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…