Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Vipi wale Waliokuwa wanalipwa 45milioni kwa mwezi, ambao hayati kawapunguza Hadi 15milioni?
 
Sijapata ,sema nipo kwenye ajira ya ualimu nikiwa na TGTS D,sasa nilipoona tangazo TPA nineomba sasa nataka kujua hapa nilipo na nilipo omba wap panaunafu
Okay sawa sawa ngoja waje wakupe muongozo
 
Sijapata ,sema nipo kwenye ajira ya ualimu nikiwa na TGTS D,sasa nilipoona tangazo TPA nineomba sasa nataka kujua hapa nilipo na nilipo omba wap panaunafu
Hiyo TGTS D ni kiasi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…