Bachelor OG
JF-Expert Member
- Aug 27, 2022
- 878
- 1,195
Sio laki 60 ni laki 6Si haba, utajenga kabisa
716k kabla ya 23%Hiyo TGTS D ni kiasi gani?
Sio TGTS nadhani ni TGSHiyo TGTS D ni kiasi gani?
Yupo sawa mishahara ya walimu Ina T kabla ya S ikimaanisha teacherSio TGTS nadhani ni TGS
sawa sawaYupo sawa mishahara ya walimu Ina T kabla ya S ikimaanisha teacher
Hiyo TGTS D inakuaga kama 760000 baada ya ongezeko la mwaka huuYupo sawa mishahara ya walimu Ina T kabla ya S ikimaanisha teacher
TZ mishahara ni modogo sana sana yaani max hapo ni 3.5...Kwa Ifficer 2 hii ndio gross salary zao in accordance with the row
Attach files
1. TPDC 1.8m 2. TCRA 3.5m 4. Ngorongoro 1.8m 3. Ewura 1.8m 4. WCF 2.0m 5. TBS 1.8m 5. TANAPA 1.8m 5. Tume ya madini hawa below 1.5m 6. Mamlaka ya chakula na dawa 1.7m 7. SSRA 2m 8. NSSF/PSSSF 2m 9. BOT 1.8m 9. Bunge Hawa below 1m 9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali Hawa sijajua 10. TASAC 2m 10. TRA 2.3m 11. MSD 1.8m 11. TAKUKURU Sijajua bado 11. EGA 3.07m 12. NHIF 1.7m 13. TPA 1.6m 13. TIC Sijui bado 14. KADCO hawa below 1.5m 15. TANESCO 1.2m 16. TANROAD Sijui bado 17. TAA 1.35m
Hiyo sifuri kwenye 6 hata sikuiwaza, nilielewa tu laki 6Sio laki 60 ni laki 6
Hiyo T mbele ya G ina maanisha Teacher/Teaching kama ilivyo kwenye TGH ambapo H ni Health.Sio TGTS nadhani ni TGS
Za mboga hizi, maendeleo utayapush kwa michongo ya pembeniHiyo TGTS D inakuaga kama 760000 baada ya ongezeko la mwaka huu
CSMA wanalipa shillingi ngapi AuditorBinafsi nimesoma nikaishia tu kushangaa
Nadhani kuna namna tunaishi kwa kukaririshwa sana.
Mleta mada hajajua kuna taasisi zinalipa vizuri hizo alizozitaja hapo zinasubiri..
Mfano mdogo ni CMSA..
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂Michongo ndo inasaidia sana bila hivyo unakuwa mwalimu kabisaZa mboga hizi, maendeleo utayapush kwa michongo ya pembeni
Mie Kwa kweli kazi za Chini ya halimashauri siombi🤣🤣🤣😂😂😂😂Michongo ndo inasaidia sana bila hivyo unakuwa mwalimu kabisa
😂😂😂😂Hahhhhh zile na ualimu ni sawa tuMie Kwa kweli kazi za Chini ya halimashauri siombi🤣🤣🤣
Noma mzeee mishahara inacheza 700k humo na wanadgreee nawazidi hadi mie huku🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂Hahhhhh zile na ualimu ni sawa tu
Sema IT wa halimashauri wanakula hela kinoma😂😂😂😂Noma mzeee mishahara inacheza 700k humo na wanadgreee nawazidi hadi mie huku🤣🤣🤣🤣
🤣🤣 🤣🤣 Acha wale maisha tuSema IT wa halimashauri wanakula hela kinoma😂😂😂😂
Saiz TGTS D1 ni 760KHiyo TGTS D ni kiasi gani?
Mkuu tafadhali.Operations Clerk C ni TPGS 2 ambayo ni 960k, sijafahamu baada ya increment wanalipwa kiasi gani kwa sasa, so hiyo TPGS 1 huenda ikawa chini kidogo ya hapo, yaan kati ya 800k na 900k
Ukiwa na sehem inakulipa vzr ,,hutaomba ila ukiwa jobless,, inafika kipindi unaitamani hyo 760k hakuna namna ... Wengine WANATAFUTA gap then utajua unajiongeza vp huko kazin iwe kielimu ka masterz, n.kMie Kwa kweli kazi za Chini ya halimashauri siombi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]