Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Wewe amka.Hvi kuna sehemu ina malupulupu(allowances) nyingi kuzidi jwtz kweli.?
taka apa muongo wewe leutenant analipwa mshahara sawa na mkuu wako wa mkoaHawa wanajeshi ni wapumbavu sana
Wanahitaji elimu ya matumizi sahihi ya fedha
Lugalo wanajeshi wenye kadi za ATM wanahesabika.
Wengi ziko kwa wadau
Kumbe hata waoHawa wanajeshi ni wapumbavu sana
Wanahitaji elimu ya matumizi sahihi ya fedha
Lugalo wanajeshi wenye kadi za ATM wanahesabika.
Wengi ziko kwa wadau
Acheni kudanganyana my fellow job seekerstaka apa muongo wewe leutenant analipwa mshahara sawa na mkuu wako wa mkoa
Kazi ya jeshi hasa bongo ni mbaya heri uticha.Kumbe hata wao
Una akili timamu?taka apa muongo wewe leutenant analipwa mshahara sawa na mkuu wako wa mkoa
Muwe mnazitaja na majinaWewe amka.
Jwtz wanalipwa chenji tu sema mapolisi na askari Magereza kutwa kutwa kuwamezea mate jwtz.
Imagine kuna taasisi kima cha chini kabisa ni sh. 1.5m huyo hata diploma hana je, mshahara wa Eng. ?
Google, ingia kwenye website yaoNaomba kufahamu TANTRADE
Classmate wangu wa chuoDaaahh, anatumia title yake kujineemesha kwa kuumiza wengine
Dawasa ni salary tu, hakuna privilege
Kufikiri unamuamini mtu hata kama mumeisgi naye pamoja kwa muda mrefu nalo ni tatizo.Classmate wangu wa chuo
Huko ni noma sana, aisee.Dawasa Engineers wanakula maisha sio kitoto muzee
Jamaa kanipa funzo kubwa sanaKufikiri unamuamini mtu hata kama mumeisgi naye pamoja kwa muda mrefu nalo ni tatizo.
Mimi niliwahi kumkopesha jamaa ambaye tulisoma shule moja(mimi nilipokuwa Olevel, yeye alikuwa Advance), Enzi hizo za shule alikuwa ni kama Kaka yangu kutokana na care za hapa na pale shuleni.
Sasa nikiwa Chuo, yeye akiwa mtaani aliniomba nimkopeshe hela kidogo, nikampa kutoka kwenye boom.
Mwamba alinilipa nusu nyingine akalala naye mbele hadi sasa hivi ninavyoandika hii reply. Nimemdai hadi nimeacha kumdai
Huko ni noma sana, aisee.
Yaani mamlaka zote za maji ambazo ni kubwa zilizopo kwenye majiji, mambo ni mazuri sana.
Acha kuchonganisha watumishi na raia wakatuona sisi ni matajiriKuna mashirika ya umma
Salary scale ni 2.6m
Posho ya Nyumba 800,000/-
Extraduty 900,000/-
Transport 450,000/-
Huku ukiingia na uhakika wa ajira permanent kutoka ni ngumu sana.
Kuna Posho nyingi mkuu auHuko ni noma sana, aisee.
Yaani mamlaka zote za maji ambazo ni kubwa zilizopo kwenye majiji, mambo ni mazuri sana.